Mwanamuziki Robert Kelly (R. Kelly) afungwa kifungo cha miaka 30 jela

Mwanamuziki Robert Kelly (R. Kelly) afungwa kifungo cha miaka 30 jela

Hii kesi ni kama ya Wacko Jacko tu, ukitaka kutoka kwenye Game(Music industry) either kwa kuokoka au kuwa mcha Mungu Muslim, wakubwa wa Music Industry, mostly Jews, hawataki utoke hivi hivi lazima wakuharibie image yako hasa kama ulikua ni mtu mweusi. Behind the scene kuna figisufigisu amefanyiwa, ni kesi za kutengenezewa.
That's true mkuu
 
Hata wewe ukikutwa kwenye simu yako una picha za uchi za watoto ni kosa kuna kijana nimesoma nae alikutwa anaangalia picha za uchi sijui alizitoa wapi kafungwa miaka 20 Tabora
Kelly hsingiziwi kitu ni kweli na anastahili ni mbakaji mkubwa mbwa yule
Hii kesi si kama ya Michael Jackson lakini? At the end akakutwa hana hatia...mimi siiamini hii kesi

Itakuwa katofautiana na system
 
Duuh haya mkuu

Hili la kumuua nimeshtuka, nilidhani atajiua[emoji849][emoji848]

Pole
Najua ulimoenda kwa nyimbo zake au kwa muonekano lakini alichofanya ubadili upendo sasa maana kafanya hayo na hawakumfanyia hiyana bali evidences na witnesses na victims wameeleza yote

Ingawa kuna wengine alimalizana nao kwa kuwaahidi kitita na michongo kwenye tasnia

Najua sisi ni marafiki wa mbali ila kwa hili najua hujakubaliana na mimi ila naheshimu maamuzi yako pia

Miss you
 
Unajua hili la RK limeanza zamani sana nafikiri tulianza kujua 2007
Alikuwa anawalaghai wasichana wadogo na kuwapeleka kwenye locations tofauti tofauti na kuwa abuse
Kweli alikuwa na masharti yake akiyaita Rob’s Rules ukikiuka anabaka anawafanya anavyojua yeye na kuwaadhibu haswa

Wengi walikuwa ni Blacks na mostly underage girl and boys

Kuhusu picha za watoto wadogo wakiwa uchi
Hili linakera sana
Binadamu wengine huwa wanafanya na kupenda mambo ya ajabu sana kama jirani zetu wao wamevunja rekodi kwa kutembea na wanyama Na hata kuku

Hivi kweli kama kwa mfano unamkuta baba zima linamuangalia mtoto wa miaka mitatu uchi wake utafanya nini

Sasa hili halina tofauti na ku download picha za uchi za watoto wadogo tena infants

Kuna mda fulani walikamatwa hapa [emoji636] watu 2 mwanamke na mwanaume wakijifanya wauguzi toka hospitali wakifuatilia wanawake wenye watoto wachanga mpaka wajue wanaishi wapi

Halafu wanaenda ku visit wanajitambulisha kuwa wanapeleleza kama watoto wamekuwa abused
Wanaomba picha kama wakiwa wanaogeshwa au hata kuwaambia Kina mama wawavue nguo watoto ili waangalie majeraha

Lakini hawaishii hapo wanaomba kupiga na picha watoto wakiwa uchi eti zikachunguzwe kwa umakini kama kuna majeraha yaliyopona

Baada ya hapo wanaziuza kwenye mitandao na wapo washenzi kama hawa ndio wana download hizo picha

Ila hao wawili walikamatwa baada ya kushtukiwa wanachofanya


Kelly he’s guilty as sin na anastahili kifungo
Tena wanaweza kumuuwa jela just wait

Nilikuwa napenda sana nyimbo zake ila kwa aliyoyafanya ni mabaya sana na binadamu anaweza kufika mbali kwa fantasy
Mtu anakwambia "kuangalia images za uchi wa mtoto halafu hamfanyi kitu shida iko wapi" daaah! Ndio Jamii tunayoishi nayo hiyo, na hao ndio wanawafichia siri Wanaume zao Wabakaji na Walawiti baadae wanakuja kusema Binti wa miaka 15 alikua Malaya kapelekwa na Mzazi wake kwa R.kelly ili amnajisi wapewe pesa, [emoji119]

Kama Jamii hasa za Kiafrica tuna safari ndefu sana katika Malezi na Makuzi ya Watoto, Jamii ina ukatili mkubwa sana kwa Watoto,

Kongole kwa Mahakama kwa Kumfunga huyo pedophile, anayemuonea huruma sana amfate wafungwe wote wakalawitiane vizuri.
 
Pole
Najua ulimoenda kwa nyimbo zake au kwa muonekano lakini alichofanya ubadili upendo sasa maana kafanya hayo na hawakumfanyia hiyana bali evidences na witnesses na victims wameeleza yote

Ingawa kuna wengine alimalizana nao kwa kuwaahidi kitita na michongo kwenye tasnia

Najua sisi ni marafiki wa mbali ila kwa hili najua hujakubaliana na mimi ila naheshimu maamuzi yako pia

Miss you
Thank you so much ngoja nimtafakari tena ...miss u too best
 
Mtu anakwambia "kuangalia images za uchi wa mtoto halafu hamfanyi kitu shida iko wapi" daaah! Ndio Jamii tunayoishi nayo hiyo, na hao ndio wanawafichia siri Wanaume zao Wabakaji na Walawiti baadae wanakuja kusema Binti wa miaka 15 alikua Malaya kapelekwa na Mzazi wake kwa R.kelly ili amnajisi wapewe pesa, [emoji119]

Kama Jamii hasa za Kiafrica tuna safari ndefu sana katika Malezi na Makuzi ya Watoto, Jamii ina ukatili mkubwa sana kwa Watoto,

Kongole kwa Mahakama kwa Kumfunga huyo pedophile, anayemuonea huruma sana amfate wafungwe wote wakalawitiane vizuri.
Weweee hebu niquoute mimi ndie niliyeongea hayo ili nikujibu huyo hausiki umenielewa?
Unaanza mavijembe ya kishamba ili iweje? Fankuro Madonna!
 
Weweee hebu niquoute mimi ndie niliyeongea hayo ili nikujibu huyo hausiki umenielewa?
Unaanza mavijembe ya kishamba ili iweje? Fankuro Madonna!
Kwanini usijibu hapo ulipo quote???
Hebu shusha hiyo mistari nina muda wote wa kusoma,


Fanculo.
 
Mtu anakwambia "kuangalia images za uchi wa mtoto halafu hamfanyi kitu shida iko wapi" daaah! Ndio Jamii tunayoishi nayo hiyo, na hao ndio wanawafichia siri Wanaume zao Wabakaji na Walawiti baadae wanakuja kusema Binti wa miaka 15 alikua Malaya kapelekwa na Mzazi wake kwa R.kelly ili amnajisi wapewe pesa, [emoji119]

Kama Jamii hasa za Kiafrica tuna safari ndefu sana katika Malezi na Makuzi ya Watoto, Jamii ina ukatili mkubwa sana kwa Watoto,

Kongole kwa Mahakama kwa Kumfunga huyo pedophile, anayemuonea huruma sana amfate wafungwe wote wakalawitiane vizuri.
Sheria za Us zingeletwa bongo na viongozi wakabadilishwa nakuambia wanaume robo tatu wangeenda jela wangebaki robo tu ndio watakatifu
 
Huu uzi ndo naelewa fikra za watu, nasoma taratibu, na nafuatilia kwa umakini, nijie mbivu na mbichi.
 
He is my all time favourite.

Kama anaonewa,atatoka tu.

Na if ni kweli,basi hiyo hukumu anastahili.
 
Mtu anakwambia "kuangalia images za uchi wa mtoto halafu hamfanyi kitu shida iko wapi" daaah! Ndio Jamii tunayoishi nayo hiyo, na hao ndio wanawafichia siri Wanaume zao Wabakaji na Walawiti baadae wanakuja kusema Binti wa miaka 15 alikua Malaya kapelekwa na Mzazi wake kwa R.kelly ili amnajisi wapewe pesa, [emoji119]

Kama Jamii hasa za Kiafrica tuna safari ndefu sana katika Malezi na Makuzi ya Watoto, Jamii ina ukatili mkubwa sana kwa Watoto,

Kongole kwa Mahakama kwa Kumfunga huyo pedophile, anayemuonea huruma sana amfate wafungwe wote wakalawitiane
Shame
He’s gonna die a very painful death
 
Thank you so much ngoja nimtafakari tena ...miss u too best

Msome sana maana hawawezi kumsingizia
Wapo wanaoangushwa na kupotezwa kwa sababu ya kupinga wanachotaka kiwe
Kwa mfano Shaba Ranks alihojiwa kuhusu mashoga akawakandia sana na kusema wauwawe hawafai kwenye jamii yetu
Kiilichofuata hatukumsikia tena hata makampuni waliomdhamini waliambiwa wamtupe au nao wapotee

Ila Rk yeye kafanya unyama mbaya zaidi
Msome kwenye blogs tofauti tofauti
IMG_7193.jpg

IMG_7192.jpg
 
Inasikitisha, Robert Kelly wengi tunamkubali mno kwa kwa kazi zake za muziki ila kama mahakama imemtia hatiani kwa kuchezea watoto wadogo basi tuache atumikie adhabu yake,haya mambo ya kusema sijui Freemason wanamshughulikia sababu alitaka kuokoka wakamuwahi ni uzushi mtupu vinginevyo leteni ushahidi kama upande wa mashtaka walivyofanya,kwanza kuokoka ni sio mchakato kama wa kupata katiba mpya,kuokoka ni kitendo cha dk 2 tu,

Hawa Blacks wengi wanatabia za hovyohovyo hasa wakipata pesa nyingi,matumizi ya pombe na madawa ya kulevya,maisha ya anasa,umalaya na kutotii sheria,angalia hata wasanii wengine,hii ni kama ilivyo kwa waafrika tu huku,kwahio kwa kusikia hili wala haishangazi sana,ndio maana wengi kuingia jela na kutoka ni kawaida kwenye maisha yao,tuache kutetea uhalifu.
 
Back
Top Bottom