TANZIA Mwanamuziki wa Bongo fleva Mandojo afariki Dunia

TANZIA Mwanamuziki wa Bongo fleva Mandojo afariki Dunia

Kama kaka yake tumbo moja anayemjua nje ndani amesema hakuwa na changamoto ya akili wewe ni nani useme alikuwa na changamoto ya akili?
Nafkir wanafanya hivyo kuondoa bad publicity,Lakini sasa kwa bahati mbaya kutokana mazingira ya kifo cha mandojo lazima kuna kitu kimoja kitakua ni sahihi kwa haya yanayozungumzwa, Either changamoto ya akili au mwizi,
ila mimi nahisi zaidi changamoto ya akili ndo ilimfanya akaenda huko kwenye banda la mbwa

Note:
Kama story tunayoiskia ni ya kweli
 
Nafkir wanafanya hivyo kuondoa bad publicity,Lakini sasa kwa bahati mbaya kutokana mazingira ya kifo cha mandojo lazima kuna kitu kimoja kitakua ni sahihi kwa haya yanayozungumzwa, Either changamoto ya akili au mwizi,
ila mimi nahisi zaidi changamoto ya akili ndo ilimfanya akaenda huko kwenye banda la mbwa

Note:
Kama story tunayoiskia ni ya kweli
Sawa tuseme ni mwizi.NDO APIGWE?sawa tumuite mwizi wamemkuta na nini cha wizi.?
 
Nalipenda kazi zao sana,

Mandojo na domo kaya..(Wandava Crew).

Na appreciate kazi zenu...

Hip hop banjo.

Niaje-Mandonjo & Domo kaya Ft Juma nature.

Kesho-Mandojo & Domokaya.


Pole kwa familia, ndugu na jamaa wa karibu. ..

Mandojo -Requiescat In Pace.


"We are nothing ,
See reader,
How quickly We Mortals return From nothing to nothing, "

" n. f. f. n.s. n. c"

(non fyi, fui, non sum, non curo)

I was not, I was , Iam not, I care not.




REQUIESCAT IN PACE-Mandojo.
 
Back
Top Bottom