Kakumamoto
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 1,237
- 1,696
Wanadai mlinzi alimkuta mwana kwenye banda la mbwa, taarifa zinachanganya sanaKuna kauli ya polisi nimeona wakisema mlinzi anashikiliwa kwa kusababisha mauaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanadai mlinzi alimkuta mwana kwenye banda la mbwa, taarifa zinachanganya sanaKuna kauli ya polisi nimeona wakisema mlinzi anashikiliwa kwa kusababisha mauaji.
100%Wamemuua Watoto wa 2000 ambao hawamfahamu
Mihemuko tu ya kelele za mwiziMpaka sasa hv sijaelewa pointi ya jamaa kupigwa mpaka kufa
Hii kitu hua naogopa mno, kumkuta mtu anapigwa na ww kuanza kupiga hapana aiseeMihemuko tu ya kelele za mwizi
Kuna watu wanatokeaga tu na kuanza kupiga, hawajui kisa wala sababu wao ni kupiga tu
Ova
Hii kitu,kimbelembele huwa mbaya sanaHii kitu hua naogopa mno, kumkuta mtu anapigwa na ww kuanza kupiga hapana aisee
Mnakuja kubebwa wote kizembe tuu kisa ulishiriki kupiga mtu kofi, aisee mwnyw nakimbia mtaaHii kitu,kimbelembele huwa mbaya sana
Kuna mtu ndugu yake aliuwawa style hiyo hiyo..ya uwizi
Ndugu wakasema fine baada ya muda na wao ndugu wakafungua
Kesi ya mauaji ya waliyompiga hadi kumuua ndugu yao,hapo kitaa watu walikimbia maana wao walikuwa wanatafutwa,wapeww kesi ya mauaji
Ova
Tatizo lipo katika lugha mnayotumia,afya ya akili ni mtu kuwa timamu wa akili,changamoto ya afya ya akili ndio utimamu unakuwa na walakini.Wanasema alikuwa na afya ya akili na walinzi wa kanisa ndio walimpiga
Unasemaje Wewe? Ushahidi unao? Alikuibia Mkeo? Umemfuma nae bandani anamkanda miza?What if jamaa alikua mwizi?
Ongeza nyama ongeza nyama hii umetuwekea Mifupa mitupu Shekhe wanguWanasema alikuwa na afya ya akili na walinzi wa kanisa ndio walimpiga
Mwizi ukaibe kanisani tena siku ya jumapili ya Ibada ? Alafu unaambiwa mlinzi kamkuta marehemu kwenye Banda la mbwa hivi kweli una akili timamu ujitumbukize kwenye Banda la mbwa?What if jamaa alikua mwizi?
Kuna kaka yake alikanusha hakuwa na changamoto ya akili lakini kwa kukutwa kwenye banda la mbwa kanisani majira ya alfajiri ni wazi changamoto alikuwa nayoMwizi ukaibe kanisani tena siku ya jumapili ya Ibada ? Alafu unaambiwa mlinzi kamkuta marehemu kwenye Banda la mbwa hivi kweli una akili timamu ujitumbukize kwenye Banda la mbwa?
Kama kaka yake tumbo moja anayemjua nje ndani amesema hakuwa na changamoto ya akili wewe ni nani useme alikuwa na changamoto ya akili?Kuna kaka yake alikanusha hakuwa na changamoto ya akili lakini kwa kukutwa kwenye banda la mbwa kanisani majira ya alfajiri ni wazi changamoto alikuwa nayo
Halafu watu hudhani hiyo changamoto ni mpaka utembee uchi na kula majalalani kumbe hamna kuna wengine ni wazima kabisa ila ukipiga nae story kuna muda network ya kichwa inakata na kurudi, wanaandamwa na usahaulifu pia, huenda ndicho kilimpata huyu kaka
Ushanigeuzia kibao tena, we post yako niliyokunukuu umeandikaje? Mtu una akili timamu ujitumbukize kwenye banda la mbwa?Kama kaka yake tumbo moja anayemjua nje ndani amesema hakuwa na changamoto ya akili wewe ni nani useme alikuwa na changamoto ya akili?
Hukunielewa, nilichomaanisha ni kwamba mbwa wa taasisi kubwa kama kanisa sio mbwa Koko ujue!! ni mbwa kweli kweli kwahiyo mtu yyte mwenye akili timamu hawezi kujitumbukiza kwenye Banda la hao mbwa maana watamshughulikia tu, hiyo kauli ya marehemu kukutwa kwenye banda la mbwa ni ya polisi sio MimiUshanigeuzia kibao tena, we post yako niliyokunukuu umeandikaje? Mtu una akili timamu ujitumbukize kwenye banda la mbwa?
Haya na mimi nikuulize kwenye hilo banda ulimtumbukiza wewe?
Ooh sikuelewa, story ni nyingi wengine kwenye banda la mbwa wengine kwenye kibanda cha mlinzi, ila kwa kuunganisha story zote kuna uwezekano alikuwa na changamoto hiyo ilikuwa ikichochewa na kunywa pombe, zote ni story hatujui ukweli ni upi, apumzike mahali pemaHukunielewa, nilichomaanisha ni kwamba mbwa wa taasisi kubwa kama kanisa sio mbwa Koko ujue!! ni mbwa kweli kweli kwahiyo mtu yyte mwenye akili timamu hawezi kujitumbukiza kwenye Banda la hao mbwa maana watamshughulikia tu, hiyo kauli ya marehemu kukutwa kwenye banda la mbwa ni ya polisi sio Mimi