TANZIA Mwanamuziki wa Bongo fleva Mandojo afariki Dunia

TANZIA Mwanamuziki wa Bongo fleva Mandojo afariki Dunia

Dodoma wana ujinga mwingi sana, nakumbuka kuna taarifa zilitoka miaka ya nyuma, wafanyakazi wa serikali kilimo, walienda kuelimisha wananchi kuhusiana na kilimo, waliwapiga mawe, wakachoma gari yao waliuwa wote kwa kuwahisi walienda aidha kunyonya damu au kuteka watu au kitu fulani hivi sikumbuki. kujichukulia sheria mkononi ni kitu kibaya sana sana na serikali ifanye uelimishaji. watu wanamkuta hata mwizi tu wanachukua sheria mkononi.mwinge anahisiwa tu wameshashambulia, mwingine una uadui naye hata wa mwanamke tu mnagombania akikuona anakuitia mwizi wanauwa yeye anabaki na mwanamke. kitu kibaya sana hiki.
 
Tupate taarifa sahihi...
Kama kweli alikuwa mporaji au lah!
 
Domokaya ana kaka yake ambaye pamoja na kuwa tuliishi nae kwa miaka mingi ila hatukuwahi kulijua jina lake halisi, mama yao alikuwa ni mfanyakazi wa UN, walikuwa wakiishi jirani kabisa na home kwetu Arusha,sasa huyo brother ake na domo alikuwa anafanana kila kitu na man dojo, hivyo tukawa tunamuita Dojo hadi walipohama arusha,nimemkumbuka sana mandojo O g, rest well budda.
 
Back
Top Bottom