TANZIA Mwanamuziki wa Bongo fleva Mandojo afariki Dunia

TANZIA Mwanamuziki wa Bongo fleva Mandojo afariki Dunia

veeq.PNG


KATAA NDOA
 
Huyu jamaa sijui ni kwamba alikua na bahati mbaya au vp, Coz kuna Nyumba yake alijenga kule Mbweni ikaja kuvunjwa sikujua sababu hasa ni nini, Lakini pia jamaa alikua mpambanaji sana, Alikua na goli lake pale K.koo mtaa wa kongo, alikua anauza viatu vya wadada, na ukimkuta pale usanii na ustar anauweka pembeni anapiga kazi kweli kweli

Anyway Amepumzike kwa Amani kifo chake kinasikitisha sana, Inanikumbusha kifo cha Steve 2K aliyekufa kwa kuchomwa kisu na Producer Casto ponela, na Kifo cha john walker aliyekufa akiwa Gereji

Na kifo cha faza nelly alichomwa visu kifuani. Tunapoteza watu wengi wazuri
 
Na kifo cha faza nelly alichomwa visu kifuani. Tunapoteza watu wengi wazuri
Natamani Steve 2k angekuwepo maana yeye ndio mchizi wangu kama pingu na denso majaribu ya leo sio majibu ya kesho alini introduce kwa Castro producer alifanya dotcom free Castro Ponera watu wake wa jela wanasema huyu mchizi ana flow
 
Kwa mujibu wa habari za awali Mandojo amefariki kwa kupigwa na wananchi waliodhani kuwa ni mwizi baada ya kutokea mtafaruku kati yake na mtu ambae ndio aliemuitia mwizi😭😭😭
View attachment 3066818

Mungu ailaze mahali pema peponi nafsi yake Bwana alitoa Bwana ametwaa.

===

Msanii wa Bongo fleva Mandojo amefariki dunia asubuhi ya leo August 11 2024, akiwa Jijini Dodoma.

Kwa mujibu wa habari za awali Mandojo amefariki kwa kupigwa na wananchi waliodhani kuwa ni mwizi baada ya kutokea mtafaruku kati yake na mtu ambae ndio aliemuitia mwizi.

"Nimeongea na Domokaya analia tu hawezi hata kuongea vizuri, anasema tu Mandojo, Mandojo Soggy Doggy Anter ambae nimeongea nae na kuthibitisha kutokea kwa msiba huu. Innalillahi wa inna ilayhi rajiun

Tunaendelea kufatilia taarifa zaidi

DJ FETTY
 
Kwa mujibu wa habari za awali Mandojo amefariki kwa kupigwa na wananchi waliodhani kuwa ni mwizi baada ya kutokea mtafaruku kati yake na mtu ambae ndio aliemuitia mwizi😭😭😭
View attachment 3066818

Mungu ailaze mahali pema peponi nafsi yake Bwana alitoa Bwana ametwaa.

===

Msanii wa Bongo fleva Mandojo amefariki dunia asubuhi ya leo August 11 2024, akiwa Jijini Dodoma.

Kwa mujibu wa habari za awali Mandojo amefariki kwa kupigwa na wananchi waliodhani kuwa ni mwizi baada ya kutokea mtafaruku kati yake na mtu ambae ndio aliemuitia mwizi.

"Nimeongea na Domokaya analia tu hawezi hata kuongea vizuri, anasema tu Mandojo, Mandojo Soggy Doggy Anter ambae nimeongea nae na kuthibitisha kutokea kwa msiba huu. Innalillahi wa inna ilayhi rajiun

Tunaendelea kufatilia taarifa zaidi

DJ FETTY
 
Kwani yule mwanafunzi wa chuo
Aliyeitiwa mwizi na dem wake alikuwa mwizi!
Hii dunia uwanja wa fujo mzee

Ova
Dah kitambo sana kuna mshikaji alikuwa na demuwanachuo pale mabibo hostel sasa akagombana nae siku ameenda hostel kumcheki demu akamuitia mwizi...mchizi alichapika kinoma mpk baadae watu kuja kujua jamaa alikuwa basha wa yule manzi...!
 
Back
Top Bottom