Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Sawa mke wa mandojo naona umeumia sana bahasha wako kufaHata mamako akifa nitaumia sana kipozeo changu kunitoka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mke wa mandojo naona umeumia sana bahasha wako kufaHata mamako akifa nitaumia sana kipozeo changu kunitoka.
Elezea vizuriI remember,kwenye tank mbele pale ,jamaa flan white,mpaka anakufa yuko uchi kwa jinsi alivyopigwa
Pole kwakeDuh R.I.P hakika sisi ni wa Mungu na kwake tutarejea.
Ngoja nikasikilize lile goma linaitwa Nikupe nini mpenzi
Kwani yule mwanafunzi wa chuoMwaka 2004 kuna wimbo wa Mandojo na Domokaya nilikua nashusha mistari yote enzi hizo cassete.
Pumzika kwa amani Mandojo. Japo inanifikirisha hawa jamaa wanaishi maisha gani kiasi kufananishwa na mwizi.
Apumzike kwa amani
Hata alipokufa max zembwela aliumia saaanaRafiki yake kipenzi Domokaya ataumia sana,
Rest in peace Legendary.
Huu ndo ubaya wa Mob Justice Yaani Wanok NokView attachment 3066818
Mungu ailaze mahali pema peponi nafsi yake Bwana alitoa Bwana ametwaa.
===
Msanii wa Bongo fleva Mandojo amefariki dunia asubuhi ya leo August 11 2024, akiwa Jijini Dodoma.
Kwa mujibu wa habari za awali Mandojo amefariki kwa kupigwa na wananchi waliodhani kuwa ni mwizi baada ya kutokea mtafaruku kati yake na mtu ambae ndio aliemuitia mwizi.
"Nimeongea na Domokaya analia tu hawezi hata kuongea vizuri, anasema tu Mandojo, Mandojo Soggy Doggy Anter ambae nimeongea nae na kuthibitisha kutokea kwa msiba huu. Innalillahi wa inna ilayhi rajiun
Tunaendelea kufatilia taarifa zaidi
DJ FETTY
Kazi yake Molaa
Hii song ilikuwa ni kwa ajili ya marehemu Abdu Bonge. Leo inapigwa kwa ajili ya Dojo mwenyewe ambae alishiriki kuimba.
Kweli Abddul bonge amekufa mika ya elfu mbili kumi na kituKazi yake mola ilikuwa ni kwaajili ya Mwanahawa dada yako na wakina tale nazan huu wimbo umetoka 2002 au 2003 ...sio kwaajili ya abdu bonge mkuu
Hao ni mabaga freshMkuu umenikumbusha ule wimbo wao wanaimba "Tuna hasira kama vile tumemwagiwa maji ya betri"
Kweli mkuu tusubiri. Kuna taarifa nyingine inasema alipigwa na walinzi wa kanisa katoliki.Kwani yule mwanafunzi wa chuo
Aliyeitiwa mwizi na dem wake alikuwa mwizi!
Hii dunia uwanja wa fujo mzee
Ova