Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Uzembe wa polisi kivipi kwani Polisi walimchukua akiwa anavuja damu wakaenda kumuweka lockup akafia kituo cha polisi?Kwanza jeshi la polisi, libebe lawama, inakuwaje mtu kapigwa, hali mbaya na anavuja damu nyie mnakaa nae tu ndani? Hili ni kosa, ni uzembe.
Ndugu walijua ndugu anapiga maji anakuwa miyeyusho walichukua hatua yoyote msela aache pombe.
Mchizi alikuwa na bahati mbaya, miaka kadhaa nyuma niliona kabomolewa nyumba yake na mtu aliekuwa anagombea nae eneo, kitu kama hicho.