Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Wanauana sana tu mkuu,Watu wa pwani kuuana hawana hizo tabia
Kumbuka ya Kibiti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanauana sana tu mkuu,Watu wa pwani kuuana hawana hizo tabia
Haya mambo bwana..kuna jamaa alikufa mabibo hostel enzi hizo tukiwa huko...aliitiwa mwizi na demu wake block AKuna jamaa aliwahi itiwa mwizi na pisi yake baada ya kukosana . bila sisi kutokea kwa haraka alikua afe..wabongo kwa kufata mkumbo hawataki kusikia sababu
Soko la binafsi?Huyu Mwamba ndio ana soko Mbande-Kisewe, mradi ambao alisema utamuingizia zaidi ya Laki 1 na 20 kila siku.
Shukurani kwa mikka na dj track ipo hewani shukurani kwa mpenz wangu anayenipa furaha maishaniIle ding anamwaga sufuria la ugali.
That was real african Beat.
Ni mmeru?Kumbe mandojo ni homeboy wetu?
Ebu rudia kuandika vizuri jamaa yangu.Inavosemekana jamaa kumbe alikuwa na afya ya akili na waliompiga
Nyie jamaa mnakwama The Icebreaker acheni kutukanana wazee. Nyie ni watu wazimaSawa mke wa mandojo naona umeumia sana bahasha wako kufa
Kuna ule Wimbo wake nadhani ni " Nikupe nini"Nitamiss sauti yake nzur na gitaa lake dah watu wabaya jmn.
😏Kuna ule Wimbo wake nadhani ni " Nikupe nini"
Anasema "Nikukamulie maji ya machungwa una kiu koma"
RIP
Hata mamako akifa nitaumia sana kipozeo changu kunitoka.Sawa mke wa mandojo naona umeumia sana bahasha wako kufa