Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Sasa Binti mbona kama msiba wa mandojo umekuuma sana vipi ajaacha wosia Kwa wewe mkewe upewe baadhi ya Mali zake🤣🤣🤣Nimekwambia mimi hua namkanda mamako,kua na adabu kwa sisi baba zako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Binti mbona kama msiba wa mandojo umekuuma sana vipi ajaacha wosia Kwa wewe mkewe upewe baadhi ya Mali zake🤣🤣🤣Nimekwambia mimi hua namkanda mamako,kua na adabu kwa sisi baba zako.
Kanikamulie maji ya machungwa nina kiu komaShow yao ya kwanza kuhudhuria ilikua Morogoro kipindi kile wana hit song yao nikupe nini.
yeah.Kumbe mandojo ni homeboy wetu?
Naona umesha anza kujichekesha chekesha tayari,niheshimu mimi babako coz ndio ninaye mla mamako.Sasa Binti mbona kama msiba wa mandojo umekuuma sana vipi ajaacha wosia Kwa wewe mkewe upewe baadhi ya Mali zake🤣🤣🤣
Sawa mke wa mandojoNaona umesha anza kujichekesha chekesha tayari,niheshimu mimi babako coz ndio ninaye mla mamako.
triumph Wu Tang clan ina verse moja na mbaya zaid haina hata chorus , elimu mtaani dot com, nahis unaijua ni vile tu hukujua kama ina verse mojaDingi na elimu mitaani ndio ngoma pekee najua zina verse moja.
huyo kwenye picha ndio yeye man dojo, usije ukasema alikuwa handsome jikaze tupo kwenye maombolezo mkuu.Mleta Uzi hiyo picha uliyoweka ndo yeye au Mimi nawachanganya? 😥
Mwanangu tulia nipo na mamako muda huu tunakutafutia mdogo wako.Sawa mke wa mandojo
That's song is too young to noticeBongo favour- Khaligraph
Dah what a tragic death, RIP mandojoView attachment 3066818
Mungu ailaze mahali pema peponi nafsi yake Bwana alitoa Bwana ametwaa.
===
Msanii wa Bongo fleva Mandojo amefariki dunia asubuhi ya leo August 11 2024, akiwa Jijini Dodoma.
Kwa mujibu wa habari za awali Mandojo amefariki kwa kupigwa na wananchi waliodhani kuwa ni mwizi baada ya kutokea mtafaruku kati yake na mtu ambae ndio aliemuitia mwizi.
"Nimeongea na Domokaya analia tu hawezi hata kuongea vizuri, anasema tu Mandojo, Mandojo Soggy Doggy Anter ambae nimeongea nae na kuthibitisha kutokea kwa msiba huu. Innalillahi wa inna ilayhi rajiun
Tunaendelea kufatilia taarifa zaidi
DJ FETTY
🙏 🙏 Nilikua nawachanganya okeyhuyo kwenye picha ndio yeye man dojo, usije ukasema alikuwa handsome jikaze tupo kwenye maombolezo mkuu.
Rest easy Msanii mandojo.
Sawa mke wa mandojo naona umeumia sanaMwanangu tulia nipo na mamako muda huu tunakutafutia mdogo wako.
Aisee!Ikaendeleaje na huyo "kipisi" wake baada ya hapo?Kuna jamaa aliwahi itiwa mwizi na pisi yake baada ya kukosana . bila sisi kutokea kwa haraka alikua afe..wabongo kwa kufata mkumbo hawataki kusikia sababu
Huyo aliyepiga kelele za 'mwizi' kwa chuki ashughulikiwe kisheria.View attachment 3066818
Mungu ailaze mahali pema peponi nafsi yake Bwana alitoa Bwana ametwaa.
===
Msanii wa Bongo fleva Mandojo amefariki dunia asubuhi ya leo August 11 2024, akiwa Jijini Dodoma.
Kwa mujibu wa habari za awali Mandojo amefariki kwa kupigwa na wananchi waliodhani kuwa ni mwizi baada ya kutokea mtafaruku kati yake na mtu ambae ndio aliemuitia mwizi.
"Nimeongea na Domokaya analia tu hawezi hata kuongea vizuri, anasema tu Mandojo, Mandojo Soggy Doggy Anter ambae nimeongea nae na kuthibitisha kutokea kwa msiba huu. Innalillahi wa inna ilayhi rajiun
Tunaendelea kufatilia taarifa zaidi
DJ FETTY
hivi kwanini wameru wengi wanasumbuliwa na afya ya akili?wameru wa kwetu. nenda mwana kwetu. nimehuzunishwa sana. kweli afrika ni kuzimu ukimani dakika yoyote unakufa kwa uzembe wa watu
alale pema salama brother