TANZIA Mwanamuziki wa Bongo fleva Mandojo afariki Dunia

TANZIA Mwanamuziki wa Bongo fleva Mandojo afariki Dunia

Kuna jamaa aliwahi itiwa mwizi na pisi yake baada ya kukosana . bila sisi kutokea kwa haraka alikua afe..wabongo kwa kufata mkumbo hawataki kusikia sababu
Wabongo wengi wanaishi wakiwa na stress za maisha,wakiona mtu kaitiwa mwizi ndio wanaona wamepata sehemu ya kuondolea stress zao,hii ni hatari sana,

Leo kwake kesho kwako,mob justice ni hatari sana,hakuna aliye salama,u never know when it's ur turn.
 
Huwa nawachanganyaga hawa jamaa mandogo namuita domo kaya, domokaya namwita mandojo .. kama wiki nyuma nmemuona Domokaya tbc akakumbushia ngoma zao kuna ile ya dingi naikubali sana..
Apumzike kwa amani🥺 kifo cha kusikitisha sana
Ngoma, ni verse moja tu ila ni hatari, moja ya ngoma haikosekani kwenye playlist yangu.
 
Huwa nawachanganyaga hawa jamaa mandogo namuita domo kaya, domokaya namwita mandojo .. kama wiki nyuma nmemuona Domokaya tbc akakumbushia ngoma zao kuna ile ya dingi naikubali sana..
Apumzike kwa amani🥺 kifo cha kusikitisha sana
Ngoma, ni verse moja tu ila ni hatari, moja ya ngoma haikosekani kwenye playlist yangu
 
View attachment 3066818

Mungu ailaze mahali pema peponi nafsi yake Bwana alitoa Bwana ametwaa.

===

Msanii wa Bongo fleva Mandojo amefariki dunia asubuhi ya leo August 11 2024, akiwa Jijini Dodoma.

Kwa mujibu wa habari za awali Mandojo amefariki kwa kupigwa na wananchi waliodhani kuwa ni mwizi baada ya kutokea mtafaruku kati yake na mtu ambae ndio aliemuitia mwizi.

"Nimeongea na Domokaya analia tu hawezi hata kuongea vizuri, anasema tu Mandojo, Mandojo Soggy Doggy Anter ambae nimeongea nae na kuthibitisha kutokea kwa msiba huu. Innalillahi wa inna ilayhi rajiun

Tunaendelea kufatilia taarifa zaidi

DJ FETTY
wameru wa kwetu. nenda mwana kwetu. nimehuzunishwa sana. kweli afrika ni kuzimu ukimani dakika yoyote unakufa kwa uzembe wa watu
alale pema salama brother
 
Back
Top Bottom