TANZIA Mwanamuziki wa Bongo fleva Mandojo afariki Dunia

TANZIA Mwanamuziki wa Bongo fleva Mandojo afariki Dunia

Ifike hatua wananchi wawe wanatumia busara kumdhibiti kwanza mtu halfu wajiridhishe kama kweli ni mwizi kuliko kuanza kumshushia kipigo tu.

Tulishawahi kumuokoa mwana na hii hatari kupigwa na wananchi baada ya kugombana na demu na uyo demu kupiga kelele za mwizi wakati ni ugomvi wa kawaida tu kati yao.

Nina mshkaji wangu alishawahi kufa baada ya kupigiwa kelele za mwizi, alirudi kwake usiku amelewa sasa nyumba za kota zimefanana kinoma kufungua mlango haufunguki akapiga teke kumbe sio kwake dada wa kazi akapiga kelele za mwizi watu wakafika bila kuuliza wakapiga wakaua.

Wananchi waelimishwe kutumia busara wanaposikia makelele ya mwizi
 
Back
Top Bottom