Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Kasikilize uchambuzi wa mpira, umekosea njia.Jazia nyama kidogo basi ,,, alikuwa anaumwa au ajali ???.. hivi kati ya mandojo au domokaya yupi hasa alofungua mradi wa soko ??..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasikilize uchambuzi wa mpira, umekosea njia.Jazia nyama kidogo basi ,,, alikuwa anaumwa au ajali ???.. hivi kati ya mandojo au domokaya yupi hasa alofungua mradi wa soko ??..
Wamjue Ili iweje atawasaidia nini.
.com hawawezi kumjua huyu.
Wimbo moja mkali sanaNgoma, ni verse moja tu ila ni hatari, moja ya ngoma haikosekani kwenye playlist yangu.
Imekuwa wa pwani wakati umesema mikoani,Nazungumzia watu wa pwani Kama watu wa pwani achana na hao wahamiaji hao ukiingia ktk 18 hautoki
Kuhusu demu wa pwani yes nipo nae
Dingi na elimu mitaani ndio ngoma pekee najua zina verse moja.Ngoma, ni verse moja tu ila ni hatari, moja ya ngoma haikosekani kwenye playlist yangu.
Juzi niliona clip ya mwizi anachomwa moto wakati walishampiga na hawezi hata kukimbia. Nikakemea sana sana kile kitendo lakini kuna watu wengi wengi sana walikuwa wanafurahia na kuhoji, ''umeshawahi kuibiwa wewe?''. Ni masikitiko sana kuona dunia ya yale mtu anaweza kuuawa katika mazingira kama haya. Kna watu wengi tu wameshawahi kuuawa kwa kudhaniwa ni wezi kumbe siyo.Ifike hatua wananchi wawe wanatumia busara kumdhibiti kwanza mtu halfu wajiridhishe kama kweli ni mwizi kuliko kuanza kumshushia kipigo tu.
Tulishawahi kumuokoa mwana na hii hatari kupigwa na wananchi baada ya kugombana na demu na uyo demu kupiga kelele za mwizi wakati ni ugomvi wa kawaida tu kati yao.
Nina mshkaji wangu alishawahi kufa baada ya kupigiwa kelele za mwizi, alirudi kwake usiku amelewa sasa nyumba za kota zimefanana kinoma kufungua mlango haufunguki akapiga teke kumbe sio kwake dada wa kazi akapiga kelele za mwizi watu wakafika bila kuuliza wakapiga wakaua.
Wananchi waelimishwe kutumia busara wanaposikia makelele ya mwizi
#TANZIA Msanii wa Bongofleva Mandojo amefariki dunia leo August 11 2024, akiwa Jijini Dodoma.
Msanii mwenzake aliyefanya naye kazi kwa ukaribu Domokaya na Soggdoggyanter wamethibitisha taarifa hiyo ya kifo cha Mandojo.
Kwa mujibu wa taarifa za awali Mandojo amefariki kwa kupigwa na wananchi waliodhani kuwa ni mwizi baada ya kutokea mtafaruku kati yake na mtu mmoja ambaye alimuitia mwizi.
#RIPMandojo
Nimeweka audio hapoHebu rudia ili tuelewe mkuuu
Kwanza jeshi la polisi, libebe lawama, inakuwaje mtu kapigwa, hali mbaya na anavuja damu nyie mnakaa nae tu ndani? Hili ni kosa, ni uzembe.Inavosemekana jamaa kumbe alikuwa na afya ya akili na waliompiga
Wewe mjane nitolee upumbavu wako hapa,usilete u***ma wako kwenye msiba,nenda kwenye jukwaa la mapishi na mitindo ya nywele,hapa umekosea njia.Wamjue Ili iweje atawasaidia nini
Alikua mmeo nini mbona umeumia sana bintiWewe mjane nitolee upumbavu wako hapa,usilete u***ma wako kwenye msiba.
Ushimen again brother,View attachment 3066818
Mungu ailaze mahali pema peponi nafsi yake Bwana alitoa Bwana ametwaa.
===
Msanii wa Bongo fleva Mandojo amefariki dunia asubuhi ya leo August 11 2024, akiwa Jijini Dodoma.
Kwa mujibu wa habari za awali Mandojo amefariki kwa kupigwa na wananchi waliodhani kuwa ni mwizi baada ya kutokea mtafaruku kati yake na mtu ambae ndio aliemuitia mwizi.
"Nimeongea na Domokaya analia tu hawezi hata kuongea vizuri, anasema tu Mandojo, Mandojo Soggy Doggy Anter ambae nimeongea nae na kuthibitisha kutokea kwa msiba huu. Innalillahi wa inna ilayhi rajiun
Tunaendelea kufatilia taarifa zaidi
DJ FETTY
Ushimen sorry brother, classmate wanapukutika tu.View attachment 3066818
Mungu ailaze mahali pema peponi nafsi yake Bwana alitoa Bwana ametwaa.
===
Msanii wa Bongo fleva Mandojo amefariki dunia asubuhi ya leo August 11 2024, akiwa Jijini Dodoma.
Kwa mujibu wa habari za awali Mandojo amefariki kwa kupigwa na wananchi waliodhani kuwa ni mwizi baada ya kutokea mtafaruku kati yake na mtu ambae ndio aliemuitia mwizi.
"Nimeongea na Domokaya analia tu hawezi hata kuongea vizuri, anasema tu Mandojo, Mandojo Soggy Doggy Anter ambae nimeongea nae na kuthibitisha kutokea kwa msiba huu. Innalillahi wa inna ilayhi rajiun
Tunaendelea kufatilia taarifa zaidi
DJ FETTY
Mimi hua namshobokea mamako tu.Alikua mmeo nini mbona unamshobokea sana
Hata DSM pia mob justice ipo.Huko mikoani sio salama Sana watu wapo immature, b'cozb most of peoples are heartless
Vipi mandojo alikua bwana Ako nini Binti naona umeumia page zote unacomenti wewe tu BintiMimi hua namshobokea mamako tu.
Nimekwambia mimi hua namkanda mamako,kua na adabu kwa sisi baba zako.Vipi mandojo alikua bwana Ako nini Binti naona umeumia page zote unacomenti wewe tu Binti
Kumbe mandojo ni homeboy wetu?wameru wa kwetu. nenda mwana kwetu. nimehuzunishwa sana. kweli afrika ni kuzimu ukimani dakika yoyote unakufa kwa uzembe wa watu
alale pema salama brother
Bongo favour- KhaligraphDingi na elimu mitaani ndio ngoma pekee najua zina verse moja.