Mwanamuziki wa kitanzania Aslay aanguka jukwaani Kisumu, Kenya

Alianguka kwasababu jukwaa halina viwango vyakimataifa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
we kahaba housemaid acha porojo...
 
Waarabu wamejaa kwenu hawapo hapa Kenya. Boss amekupatia chakula kweli? Umelima ekari ngapi huu mwaka? Unanyanyaswa sana. Yaani unafanya hiyo kazi yote na malipo ni chakula? Ni laana hiyo. Usiku unaungana na wenzio mashoga
Nyie ni hatari
We piga kazi ya mjengo maboss tuje kutumbua huko yaani unajengea waume zako nyumba ya mawe halafu wewe unaenda kulala kwny fulusuti la bati pole sana bora ndo maana mnakimbilia kwa waarabu angalau muonje ladha ya nyumba ya tofali
 
Hayo ya kulipia bili na kulazwa zahanatini mbona sikuyauliza Mkuu?

Mimi nimeuliza tu kuwa ameumia?

Akiwa kama binadamu mwenzio akaumia kumjali kwa matibabu ni jambo la kiungwana tu huitaji kujisifia.
No injuries sustained japo aliumia makalio kidogo akakimbizwa zahanati iliyopo karibu.alikuwa Ameshindwa kulipa bili ya hospitali lakini wakenya kwa ukarimu wao waliweza kumlipia. Usijali .Amepata afueni
 
Yaani ile ni maksudiii kabisaa wakenya mna roho za kwa nini sana...kuimba hamjui mnataka kutushushaa...hamuwezi kamwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…