Mwanamuziki wa kitanzania Aslay aanguka jukwaani Kisumu, Kenya

Mwanamuziki wa kitanzania Aslay aanguka jukwaani Kisumu, Kenya

kahaba housemaid la kikenya lina monitor kila ninacho andika hapa jf.

liko pre-occupied na post zangu...nali keep busy.

moral of the story is, ukiona mtu anakufatilia sana basi ujue wewe ni celebrity wake.
Free wifi za waarabu zinawapa muwasho hao mabeki 3
 
Free wifi za waarabu zinawapa muwasho hao mabeki 3
hahahaha... wengi wa hawa housemaid wa kikenya wanafanya kazi katika mazingira hatarishi na kandamizi katika nchi za middle east.
 
i'm not surprised, it's something very common for kenyans in jf to pretend like they know nothing about stuff or people from tanzania. you are in a state of denial.

FYI this kid is super talented singer, an instagram verified user who has a bigger number instagram followers than nyashinski and khaligraph.

mbaya zaidi, among his 2.2 million followers are kenyans.
kujifanya humjui haitasaidia kukuondelea wivu. get the strap.
View attachment 930257View attachment 930258View attachment 930259
Can you prove that among 2.2 million followers there are Kenyans? Do you know some celebrities have over 100M followers yet remain unknown here?
 
Ingekua bora baada ya kutiririka hisia zako halafu ukatujuza habari kamili maana kuna wale tunaishia kusoma povu zako haalfu hatimaye tunabaki kapa bila kujua nini kilitendeka, weka taarifa au link tukajisomee.
Chochote chaweza kutokea maana hata Watanzania wenyewe kwa wivu wenu huwa mnafuatana hadi Kenya, nakumbuka siku meneja wa Diamond akija kumzimia Ali Kiba mike huku.
Huyo Ashley hana lolote kubwa la kufanya ahujumiwe na Wakenya, bora ungesema msanii wa kuskika kama akina Diamond, huyo Ashley ni dogo tu bado anajitutumua kuamka, binafsi hata sikua namkumbuka hadi juzi mlipoleta mada humu eti kapokelewa kule kijijini maeneo ya Turkana mkasema anapendwa zaidi ya rais ndio ikabidi nimfuate Youtube kujikumbusha ni nani, mara ya mwisho mimi kuskliza wimbo wake alikua mtoto bado, ule wimbo wa 'naenda kusema kwa mama'
Mnajua kujitetea nyie, kwamba hamna roho mbaya au?
 
kwa kenya katika hili chochote kinawezekana..... acha kumsingizia shetani.
Ulicho kisema hapa kina ukweli 100% kuna grup flani la kenya la fb yaani wanalaumu sana kwanini wasanii wa Tanzania wanapewa support kenya kuliko wanamziki Under graund wa kenya

Wasanii wa Tanzania wanapo enda kenya kufanya event wawe makini sani, kuna vita ya chini kwa chini, siku tutapoteza wasanii wa Tanzania
 
ameanguka baada ya stage aliyokuwa anatumia ku-perform kuporomoka.

i'm 100% sure hii inaweza kuwa ni sabotage. nalisema hili kwasababu siku zote mkenya hapendi kuona mtanzania ana prosper katika kazi zake.

kuna baadhi ya blind patriots wa kikenya wanaumia sana kwenye nafsi zao wanapoana vijana wanamziki toka tanzania wanapata kandarasi ya ku-perform kwenye events kubwa za kenya.

inawezekana wanafanya hivi ili kupunguza kasi ya wanamuziki wa tz kwenda kufanya show kenya.ifahamike tu kwamba hata diamond platnumz ana ratiba ya kupeleka wasafi festival ndani ya kenya na mipango yote ipo well organized.

but pia yawezekana ikawa ni sabotage within kenyan music promoters and event organizers themselves. yaani utakuta wakenya wao kwao wanafanyiana hujuma since huwa hawapendani.

pole sana aslay.


View attachment 930134

video[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Blah blah nyingi zilizojaa siasa,wanamuziki wetu wanafanya sana shows Kenya na mbona huwa hakuwi na sabotage?
 
Basi waambie wasikuje. Wanatumia ushirikina ili wafahamike/watajirike.Hivi majuzi kuna mwanamuziki Fulani bongo alizika mbuzi weupe wanne wakiwa uhai. Msituambukize uchawi. Kaeni huko huko
Pole sana demu wa mwanamuziki wa bongo aliezika mbuzi wanne weupe wakiwa hai
 
Ulicho kisema hapa kina ukweli 100% kuna grup flani la kenya la fb yaani wanalaumu sana kwanini wasanii wa Tanzania wanapewa support kenya kuliko wanamziki Under graund wa kenya

Wasanii wa Tanzania wanapo enda kenya kufanya event wawe makini sani, kuna vita ya chini kwa chini, siku tutapoteza wasanii wa Tanzania

Signature yako sijaielewa, halafu hawa wasanii wenu mnaowalilia siku wakianza kuhujumiwa sijui ndio mtaomboleza au vipi, mnalazimishia na kusukumizia, kwa sasa Wakenya huwa hawana haja na shughuli zenu huku pamoja na kwamba kutwa hamkomi kuhujumu kila kinachotuhusu na kutusema vibaya tangu chuki mliyolishwa na Nyerere, bila ya Mkenya yeyote kujibu mapigo.
 
Signature yako sijaielewa, halafu hawa wasanii wenu mnaowalilia siku wakianza kuhujumiwa sijui ndio mtaomboleza au vipi, mnalazimishia na kusukumizia, kwa sasa Wakenya huwa hawana haja na shughuli zenu huku pamoja na kwamba kutwa hamkomi kuhujumu kila kinachotuhusu na kutusema vibaya tangu chuki mliyolishwa na Nyerere, bila ya Mkenya yeyote kujibu mapigo.
Kumbe hamjajibu.....hata sisi hatujaanza
 
Sasa wewe na kadada mnaniuliza nini jamani? Yaani mnaelekeza mihemko kwangu kisa ngozi nyeupe hakuwapa hela wiki iliyopitView attachment 932182
IMG-20181109-WA0006.jpg
e
 
Generally you can't beat me in anything, but you're useless.
damn right, last time i checked you beat me/us in having sexual intercourse with animals. i can show you recent incidents if may try to deny.
 
Ulicho kisema hapa kina ukweli 100% kuna grup flani la kenya la fb yaani wanalaumu sana kwanini wasanii wa Tanzania wanapewa support kenya kuliko wanamziki Under graund wa kenya

Wasanii wa Tanzania wanapo enda kenya kufanya event wawe makini sani, kuna vita ya chini kwa chini, siku tutapoteza wasanii wa Tanzania
shukrani sana comrade kwa kueleza ukweli.

kama ikiwezekana chukua screenshot za hayo majadiliano yao halafu upload hapa jf ili tuufahamishe umma wa watanzania kuhusu hatari iliyopo kwa wanamziki wetu waendapo kenya kufanya show.
 
Back
Top Bottom