Mwanamuziki wa kitanzania Aslay aanguka jukwaani Kisumu, Kenya

Mwanamuziki wa kitanzania Aslay aanguka jukwaani Kisumu, Kenya

Unanikosea heshima kijana. Nakumbuka ulifanya nipig ban baada ya kunitusi nyani halafu ukapotea kwa muda mrefu. IDon't argue with cowards potelea mbali. Kwa taarifa yako mimi si kahaba na hakuna siku itatokea niwe. Can't afford to lose my dignity
Achana nao hao vilaza, kuna maneno mengine ambayo ni wanawake tu ndio huwa wanayatumia wakati wanurushiana vijembe wao wenyewe kwa wenyewe. Hapa Jf pekee yake ndio huwa naona wanaume ambao wanaona ni sifa kuwadhalilisha wanawake wakishalemewa kwenye hoja. Aina hiyo ya wanaume ndio watu useless kabisa.
 
Shida hao majiran wana roho mbaya sana basi tu.. majuzi walimfanyia harmonise leo aslay jaman kakijana kadogo hako wanakafanyia hayo.. wakija kwetu tunakuwa wakarimu kwao na wao wanatakiwa wafanyiwe ya ajabu kama wanavyowafanyia ndugu zetuu.. pole sana aslay pole sana mdogo wanguu..😥
 
Kumbe unamjua. Wanafiki sana nyie
sasa nisimjue kwa nini wakati dada yako ndo walikuwa wasanii wake hao,kila siku oohh nyotandogo,sijui juakali,sijui genge dah yule mwanamke japokuwa kalikuwa kazuri black beauty flani hivi dah!!
 
i'm not surprised, it's something very common for kenyans in jf to pretend like they know nothing about stuff or people from tanzania. you are in a state of denial.

FYI this kid is super talented singer, an instagram verified user who has a bigger number instagram followers than nyashinski and khaligraph.

mbaya zaidi, among his 2.2 million followers are kenyans.
kujifanya humjui haitasaidia kukuondelea wivu. get the strap.
View attachment 930257View attachment 930258View attachment 930259
umemjibu vema sana huko aliko anajiona mjinga
 
anapiga music gani? aisee... poleni sana wasanii... ni mwanamuziki wa band gani au kundi gani?
 
lile housemaid kahaba la kenya linatafuta attention kwa kutaja ID yangu.

ila mwambieni aendelee kunitaja cos she is my number one fan.
 
umemjibu vema sana huko aliko anajiona mjinga

wakenya hata siku moja hawawezi kunisumbua kwenye argument...mimi siku zote huwa nacheza na facts wakati wao wanajikita kwenye kupiga porojo.
 
kahaba housemaid la kikenya lina monitor kila ninacho andika hapa jf.

liko pre-occupied na post zangu...nali keep busy.

moral of the story is, ukiona mtu anakufatilia sana basi ujue wewe ni celebrity wake.
 
ameanguka baada ya stage aliyokuwa anatumia ku-perform kuporomoka.

i'm 100% sure hii inaweza kuwa ni sabotage. nalisema hili kwasababu siku zote mkenya hapendi kuona mtanzania ana prosper katika kazi zake.

kuna baadhi ya blind patriots wa kikenya wanaumia sana kwenye nafsi zao wanapoana vijana wanamziki toka tanzania wanapata kandarasi ya ku-perform kwenye events kubwa za kenya.

inawezekana wanafanya hivi ili kupunguza kasi ya wanamuziki wa tz kwenda kufanya show kenya.ifahamike tu kwamba hata diamond platnumz ana ratiba ya kupeleka wasafi festival ndani ya kenya na mipango yote ipo well organized.

but pia yawezekana ikawa ni sabotage within kenyan music promoters and event organizers themselves. yaani utakuta wakenya wao kwao wanafanyiana hujuma since huwa hawapendani.

pole sana aslay.


View attachment 930134

video[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]


Mimi mtanzania lakini sikubaliani na maneno yako. Hiyo ni ajali kama ajali nyingine labda waandaaji walizembea tu. Ingeweza hata ikayokea kwa Mkenya au yoyote
 
Back
Top Bottom