Yeah Sonyo ni mkubwa,miaka aliyosema jamaa hapo juu 2001/4 alikuwa anaonekana mtu mzima kwa kumtizama alikuwa na kama 36/39 so kwa vyovyote amesogea kiasi chake.wewe huna umri wa kumuita Marehemu dogo, watu wote mnaoandika maneno kama "lkn" , "miaka ya" hamjazidi miaka 30. Sonyo na baba yako wapo sawa.
Anamzungumzia ZombokoNadhani Waziri Sonyo ni mtu wa Tanga if i am not mistaken.
hivi sister kwa umaarufu aliokuwa nao atakosa magonjwa mengine kama HIV, DIABETES, e.t.c, Je hayo magonjwa yanaambukiza?Inawezekana alikuwa nayo tayari.Shida ni huko kaambukiza wangapi huko mpirani,@,kwenye daladala.R.IP Waziri Sonyo. Halafu wanene inawaondoa faster.
Baba yangu anaingiaje hapa? Umekosa tusi mpaka umtaje baba? Au nimuambie alianzishe?wewe huna umri wa kumuita Marehemu dogo, watu wote mnaoandika maneno kama "lkn" , "miaka ya" hamjazidi miaka 30. Sonyo na baba yako wapo sawa.
AiseeeRekodi yake ya kuhama bendi bado haijavunjwa .
Apumzike kwa amani
Be careful when you write because it will remain on record.Nadhani Waziri Sonyo ni mtu wa Tanga if i am not mistaken.
Mavumbi ya kokoto huyaoni? Ukiyaona ujue umekuasikosagi mkuu nyimbo za zomboko nilivyo kuwa mdogo wazazi na mabro walikuwa wakizisikiliza nilikuwa sizipendi,
Nashangaa nimeanza kuzipenda kipindi hiki kinoma,,,,sijui nimekuwa mzee?
Wote ulio wataja nawakubali lkn uongo mbaya. Twanga walikua juu. Usinikumbushe enzi za Mango, beer nyingi na Malaya wa KinondoniUnaifahamu TOT Plus iliyokuwa na Sonyo, Banza, Misambano na Toto Tundu!! Kama siyo kusambaratishwa mapema walipotoa album moja tu, hakuna band ingetia mguu pale!!
Twanga walikuja kuwa vyema baada ya kuanza kusambaratisha band zingine na kununua wasanii!! Akamchukua Mwinjuma, Banza, Ado Mbinga ndipo band ikasimama vyema ambapo band pinzani zikajifia!!
Hajui asemacho mkuu[emoji3]Mkuu ile TOT ya banza stone na albamj yake ya elimu ya mjinga ni majungu ilikuwa ni kiboko, african stars walikuwa wanatafuta pa kuhemea, baada ya banza kusepa ndio twanga wakaanza kutamba tena..
African stars walitoa ngoma nzuri ila sio kali kama za tot ya banza, yule jamaa alikuwa ni mwalimj wa walimu.. Noma sana kile kiumbe.
Omar mkali yupo wapi siku hiziChuchu sound nyimbo zao siwezi choka waliondoka na vipaji vyao.kama DDC mlimani park
Chuchu sound
Mao santiago
Omary mkali
Waziri sonyo
Na wengine
Da kweli maisha ni safari
Jambazi gani na hicho kisautiZamani zamani kwenye magazeti huyu jamaa aliwahi kuripotiwa kuwa alikuwa jambazi na alikwenda mpaka jela. Allah ampe makazi anayostahili.
Kinachoogopewa sio sauti. Ni mguu wa kukuJambazi gani na hicho kisauti
jamaa walisababisha mpaka nikapiga div three a level kwa kukesha Vatican city kucheza chuchuChuchu sound nyimbo zao siwezi choka waliondoka na vipaji vyao.kama DDC mlimani park
Chuchu sound
Mao santiago
Omary mkali
Waziri sonyo
Na wengine
Da kweli maisha ni safari