Xavi Hernandez Alcantara
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 278
- 285
Mkuu huyu ni Rihanna wa Africa.Ebwana simi ni shida mkuu namkubali sana kuna mashine inaitwa Jericho. Patoranking alone shuhuli..
Dija ana ngoma flani na Patoranking imetulia mno.Katoa nyimbo mpya jana ama juzi kama sijakosea inaitwa selense kali sana,kale kasauti ni balaa,kiufupi mimi katika listi yangu ya wasanii wa kike Nigeria ni kama ifuatavyo;Tiwa savage,Simi,Dijjah yule wa lebo ya don jazzy(Marvin),Chidinma na Yemi alade.
It means wewe unamuelewa sana lakini kwa wengi haeleweki kwa kiwango wanachoeleweka akina Tiwa Savage na Yemi Alade.Dija ana ngoma flani na Patoranking imetulia mno.
Mi namuelewa sana huyu Simi. Lkn Nashangaa hapigi maViews ya kutosha Youtube Why Why?
nadhani inaitwa falling for you Kali sanaDija ana ngoma flani na Patoranking imetulia mno.
Mi namuelewa sana huyu Simi. Lkn Nashangaa hapigi maViews ya kutosha Youtube Why Why?
Aisee KweliIt means wewe unamuelewa sana lakini kwa wengi haeleweki kwa kiwango wanachoeleweka akina Tiwa Savage na Yemi Alade.
Yapnadhani inaitwa falling for you Kali sana
Ila sauti ya Simi. hakuna huku Afrika.Huyu Dada yupo vizuri mnoo. Sema jina lake ukiwaza kibazazi. Utaleta balaa..
Kuna dija wa kule kwa Don jazzy..
Nae ni motoo..
Ahahahahah we jamaa!! Simi ni Malkia wa Africa.Aiseee!? Ni nani huyo Mbna anajina la ajabu hivyo... Simi kubwa au ndogo