The Palm Beach
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 1,967
- 4,267
Nisiseme mengi, mimi nimeleta humu Ili kuibua mjadala wa Sera ya Afya ya CCM na makandokando yake katika sekta na huduma za kiafya hapa nchini.
Hayo chini ndio maelezo ya ushuhuda wake aliyotuma kwa wanagrupu wenzake kule WhatsApp ili wamsaidie kumchangia pesa aweze kugomboa maiti wake ili akazike. Nimekopi na kupesti kama yalivyo. Nimeondoa majina yake na ya maiti wake kwa kuwa sikupata idhini yake kuposti kama ilivyo.
Ufafanuzi na utambulisho wa BABA Mfiwa
"..Tunasikitika kuwataarifu kuwa tumepata msiba wa mtoto, amefia Muhimbili ICU baada ya kukaa toka 11th May, 2024 na kufa 11th June, 2024 jioni.
"Ni binti wa....... (ni kijana wa kaka yetu......... kijana wa mama mdogo wa...........).
"Alikuwa ndiye anamtunza sana Mzee pale Kong'ongo hadi Mzee alipofariki, anaishi hapo hapo na MSIBA UKO HAPO HAPO. Inawezekana maziko yakawa leo tarehe 13 saa 10 jioni kama tukifanikiwa kupewa maiti Muhimbili.
Kikwazo ni Bill ambayo million 10,695,000/=. Wametupunguzia 2,000,000/= Muhimbili hospitali.
Deni tunalodaiwa ni Tsh. 8,695,000/= Ili turuhusiwe kuitoa maiti mochwari. Tumelia sana lakini wanataka tutafute 3,000,000/= kama advance kwa sasa ili watupatie mwili kwenda kuzika.
Wametuambia pia tuache kadi ya NIDA ya baba wa mtoto (marehemu). Balance itakayobaki tumeambiwa tutalipa polepole.
Ahsanteni sana."
Why is this?
Hayo chini ndio maelezo ya ushuhuda wake aliyotuma kwa wanagrupu wenzake kule WhatsApp ili wamsaidie kumchangia pesa aweze kugomboa maiti wake ili akazike. Nimekopi na kupesti kama yalivyo. Nimeondoa majina yake na ya maiti wake kwa kuwa sikupata idhini yake kuposti kama ilivyo.
Ufafanuzi na utambulisho wa BABA Mfiwa
"..Tunasikitika kuwataarifu kuwa tumepata msiba wa mtoto, amefia Muhimbili ICU baada ya kukaa toka 11th May, 2024 na kufa 11th June, 2024 jioni.
"Ni binti wa....... (ni kijana wa kaka yetu......... kijana wa mama mdogo wa...........).
"Alikuwa ndiye anamtunza sana Mzee pale Kong'ongo hadi Mzee alipofariki, anaishi hapo hapo na MSIBA UKO HAPO HAPO. Inawezekana maziko yakawa leo tarehe 13 saa 10 jioni kama tukifanikiwa kupewa maiti Muhimbili.
Kikwazo ni Bill ambayo million 10,695,000/=. Wametupunguzia 2,000,000/= Muhimbili hospitali.
Deni tunalodaiwa ni Tsh. 8,695,000/= Ili turuhusiwe kuitoa maiti mochwari. Tumelia sana lakini wanataka tutafute 3,000,000/= kama advance kwa sasa ili watupatie mwili kwenda kuzika.
Wametuambia pia tuache kadi ya NIDA ya baba wa mtoto (marehemu). Balance itakayobaki tumeambiwa tutalipa polepole.
Ahsanteni sana."
Why is this?