Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naheshimu maoni yako lakini naona ugumu katika utekelezaji wake. Huyu inaonekana ni rahisi kufuta deni kwa kuwa alikuwa hajalipa. Vipi kwa ambaye anakuwa kishalipa na hadaiwi chochote ikatokea bahati mbaya akafariki, na huyo unapendekeza nndugu zake warejeshewe hela waliyolipa au wampotezee? Ila wazo lako likikubaliwa lisiishie hospitali tu liende hadi shuleni/vyuoni ambapo kama mzazi kalipa ada na mtoto akafeli basi ada irushweHapo kuna makubaliano kwani ndugu?
Walichopewa ni bill ya maiti na siyo matibabu
Kwa maoni yangu, nafikiri, ni lazima kuwe na utaratibu wa kufuta gharama yoyote ya matibabu iwapo mgonjwa atafia hospitalini..
Hawa wapewe bill ya kutunza maiti tu kule mochwari kwa siku mbili au tatu ambayo Nina hakika haizidi 300,000.
Lakini serikali kumwomba mwananchi wa kawaida kama huyu mamilioni yote hayo kwa mtu aliyekwishafariki kwa wao kushindwa kuokoa uhai wake, mimi naona sio sahihi!!
Hili la kuheshimiana na kuheshimu maoni na mitazamo ya wengine ni zuri💪Naheshimu maoni yako lakini naona ugumu katika utekelezaji wake.
Kwa wapenda pesa kama CCM, si rahisi. Wanaweza hata kuwafungulia mashitakaHuyu inaonekana ni rahisi kufuta deni kwa kuwa alikuwa hajalipa.
Hawa walikuwa na uwezo ndio maana wamelipa. Tunapotunga sera fulani, basi hiyo sera lazima isiwe na ubaguzi. Sipendekezi hiliVipi kwa ambaye anakuwa kishalipa na hadaiwi chochote ikatokea bahati mbaya akafariki, na huyo unapendekeza nndugu zake warejeshewe hela waliyolipa au wampotezee?
That's irrelevant comparison!Ila wazo lako likikubaliwa lisiishie hospitali tu liende hadi shuleni/vyuoni ambapo kama mzazi kalipa ada na mtoto akafeli basi ada irushwe
😂😂😂😂 kwanza huna faida, nitamwambia shangazi tuuze ubongo wako tupate mtajiHata kama n mm ndio nimekufa nisingependa ndugu zangu watoe hiyo pesa ili kuuchukua mwili wangu 😎
Shida sio kudaiwa Shida nikushikilia maiti kama dhamana ya deni kulipwa Hilo jambo kwako unaona ni sawa?Nadhani anachodaiwa sio gharama za 'kukomboa maiti' kama unavyodai ila ni gharama za matibabu alizopata akiwa anatibiwa. Kama unaona hastahili kudaiwa basi ata wagonjwa wanaokuwa wamelipa gharama za matibabu na ikatokea wakafariki basi nao ungependekeza wawe wanarudishiwa pesa wanazolipa. Binafsi naona Muhimbili wamejali uhai kwanza na ndio maana waliendelea kutoa huduma bila kujali deni limefikia kiasi gani. Kama ni kweli wahusika hawana uwezo wa kulipa kuna utaratibu mzuri tu wa kufuata ili jambo lao lifanyiwe kazi]
Deni tunalodaiwa ni Tsh. 8,695,000/= Ili turuhusiwe kuitoa maiti mochwari. Tumelia sana lakini wanataka tutafute 3,000,000/= kama advance kwa sasa ili watupatie mwili kwenda kuzika.Shida sio kudaiwa Shida nikushikilia maiti kama dhamana ya deni kulipwa Hilo jambo kwako unaona ni sawa?
Shauri zako, zile sala zako za kutaka mume cjui zitafika wap😂😂😂😂 kwanza huna faida, nitamwambia shangazi tuuze ubongo wako tupate mtaji
😂😂😂😂 Sala zangu siku zote zinahusu pesa, ndoa na mwanaume sio kipaumbele changuShauri zako, zile sala zako za kutaka mume cjui zitafika wap
Kama hizo pesa zinakutoa genye sawa, kila kitu lazima ziwepo ili kuweka usawa.😂😂😂😂 Sala zangu siku zote zinahusu pesa, ndoa na mwanaume sio kipaumbele changu
Liongo, haha😂😂😂😂 Sala zangu siku zote zinahusu pesa, ndoa na mwanaume sio kipaumbele changu
Kataa hivyo hivyo!! Sasa mimi nimuombe mume wa kazi gani?? Wanaume wamejaa kibao mpk wengine wameamua kuolewa ili kusaidia soko la wingi wa wanaume.!!Liongo, haha
Hahaha, haya bhn. Nimekumiss dada yangu, na hivi siku hizi umenigwaya basi kazi ninayoKataa hivyo hivyo!! Sasa mimi nimuombe mume wa kazi gani?? Wanaume wamejaa kibao mpk wengine wameamua kuolewa ili kusaidia soko la wingi wa wanaume.!!
Acha kutumia hii kauli kama zuzu...Tutafuteni Hela wakuu.
Zuzu mwingine huyu hapa...Hiyo pesa imejumuishwa kwenye bajeti ya pato la serikali 2024/2025, tukifa wengi serikali yetu itapata pato kubwa, tuoneshe uzalendo.
Mkuu shida Nini kwenye hiyo kauli? Unaniniita zuzu kisa kusema tutafuteni Hela Mzee. Well ubarikiwe.Acha kutumia hii kauli kama zuzu...