JOHNGERVAS
JF-Expert Member
- Mar 22, 2016
- 1,011
- 1,681
wakuu mukimaliza kusoma piteni na hapa munipigie kura
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aseehhh😃😃😃😃Hela yenyewe inapatikana basi. Hali tete mno.
Ndiyo maana Tumsime kaamua kugawa tigo kisha akapata 65M. Nasikitika kwann sponsor Nawanda anakamatwa, huyu angeachwa ili akomboe wadada wengi.
Nadhani anachodaiwa sio gharama za 'kukomboa maiti' kama unavyodai ila ni gharama za matibabu alizopata akiwa anatibiwa. Kama unaona hastahili kudaiwa basi ata wagonjwa wanaokuwa wamelipa gharama za matibabu na ikatokea wakafariki basi nao ungependekeza wawe wanarudishiwa pesa wanazolipa. Binafsi naona Muhimbili wamejali uhai kwanza na ndio maana waliendelea kutoa huduma bila kujali deni limefikia kiasi gani. Kama ni kweli wahusika hawana uwezo wa kulipa kuna utaratibu mzuri tu wa kufuata ili jambo lao lifanyiwe kazi]Nisiseme mengi, mimi nimeleta humu Ili kuibua mjadala wa Sera ya Afya ya CCM na makandokando yake katika sekta na huduma za kiafya hapa nchini.
Hayo chini ndio maelezo ya ushuhuda wake aliyotuma kwa wanagrupu wenzake kule WhatsApp ili wamsaidie kumchangia pesa aweze kugomboa maiti wake ili akazike. Nimekopi na kupesti kama yalivyo. Nimeondoa majina yake na ya maiti wake.
Ufafanuzi na utambulisho wa BABA Mfiwa
"..Tunasikitika kuwataarifu kuwa tumepata msiba wa mtoto, amefia Muhimbili ICU baada ya kukaa toka 11th May, 2024 na kufa 11th June, 2024 jioni.
"Ni binti wa....... (ni kijana wa kaka yetu......... kijana wa mama mdogo wa...........).
"Alikuwa ndiye anamtunza sana Mzee pale Kong'ongo hadi Mzee alipofariki, anaishi hapo hapo na MSIBA UKO HAPO HAPO. Inawezekana maziko yakawa leo tarehe 13 saa 10 jioni kama tukifanikiwa kupewa maiti Muhimbili.
Kikwazo ni Bill ambayo million 10,695,000/=. Wametupunguzia 2,000,000/= Muhimbili hospitali.
Deni tunalodaiwa ni Tsh. 8,695,000/= Ili turuhusiwe kuitoa maiti mochwari. Tumelia sana lakini wanataka tutafute 3,000,000/= kama advance kwa sasa ili watupatie mwili kwenda kuzika.
Wametuambia pia tuache kadi ya NIDA ya baba wa mtoto (marehemu). Balance itakayobaki tumeambiwa tutalipa polepole.
Ahsanteni sana."
Why is this?
Unaweza kutafuta hela wanaishia kuzitafuna wajanja wachache. Kwa hiyo kutafuta peke yake haitoshi Bali pia usimamizi madhubuti wa Kodi inayokusanywaTutafuteni Hela wakuu.
Hapo ndio akili yako imegotaSijadili na msenge katafute bwana wa kukufira saa hizi usiniletee nuksi bure,mkundu wewe.
Serikali Kupitia Wizara ya Afya imepiga marufuku hili jambo japo inaonekana ni Lugha ya Kisiasa ila kwenye kanuni Bado linasimama kama chanzo Cha Fedha Kwa hospital hizo kama Muongozo wa Wizara unavyosema.Nisiseme mengi, mimi nimeleta humu Ili kuibua mjadala wa Sera ya Afya ya CCM na makandokando yake katika sekta na huduma za kiafya hapa nchini.
Hayo chini ndio maelezo ya ushuhuda wake aliyotuma kwa wanagrupu wenzake kule WhatsApp ili wamsaidie kumchangia pesa aweze kugomboa maiti wake ili akazike. Nimekopi na kupesti kama yalivyo. Nimeondoa majina yake na ya maiti wake.
Ufafanuzi na utambulisho wa BABA Mfiwa
"..Tunasikitika kuwataarifu kuwa tumepata msiba wa mtoto, amefia Muhimbili ICU baada ya kukaa toka 11th May, 2024 na kufa 11th June, 2024 jioni.
"Ni binti wa....... (ni kijana wa kaka yetu......... kijana wa mama mdogo wa...........).
"Alikuwa ndiye anamtunza sana Mzee pale Kong'ongo hadi Mzee alipofariki, anaishi hapo hapo na MSIBA UKO HAPO HAPO. Inawezekana maziko yakawa leo tarehe 13 saa 10 jioni kama tukifanikiwa kupewa maiti Muhimbili.
Kikwazo ni Bill ambayo million 10,695,000/=. Wametupunguzia 2,000,000/= Muhimbili hospitali.
Deni tunalodaiwa ni Tsh. 8,695,000/= Ili turuhusiwe kuitoa maiti mochwari. Tumelia sana lakini wanataka tutafute 3,000,000/= kama advance kwa sasa ili watupatie mwili kwenda kuzika.
Wametuambia pia tuache kadi ya NIDA ya baba wa mtoto (marehemu). Balance itakayobaki tumeambiwa tutalipa polepole.
Ahsanteni sana."
Why is this?
Umesoma thread hadi mwisho? Umeelewa?Point yako ni ipi?
😁😁😁 unaota ndoto gan ww?Hela yenyewe inapatikana basi. Hali tete mno.
Ndiyo maana Tumsime kaamua kugawa tigo kisha akapata 65M. Nasikitika kwann sponsor Nawanda anakamatwa, huyu angeachwa ili akomboe wadada wengi.
Kama wameshindwa kumtibu kuokoa uhai wake na keshafariki, bill yote hiyo ya nini tena?Watanzania muwe waelewa hiyo ni bill ya matibabu kwa mwezi mzima aliohudumiwa hapo hospital sio hela kutoa maiti mortuary.
Duuh, kwa hiyo kuna tozo mpya iitwayo "tozo ya kukomboa maiti!!??" au siyo?Hiyo pesa imejumuishwa kwenye bajeti ya pato la serikali 2024/2025, tukifa wengi serikali yetu itapata pato kubwa, tuoneshe uzalendo.
Lakini ndugu TIMING umeanza kumrushia mwenzako matusi mazito na mabaya kabisa👆👆👆 Naye kakujibu kwa matusi mazito zaidi.Mpumbavu wewe, mama yako, baba yako, bibi zako, babu zako, kichwa chako, diagnosis zako zote, treatments zote ulizopata, Kama una vitoto navyo vipumbavu…. Pumbavu hadi vyombo ubagyotumia kula na kila kitu kinachokuhusu.. hata hiyo mishipa uliyobana ni pumbavu
Kuna packages mbalimbali za bima inategemea ndugu zako wanakuchangia kiasi gani
Na Kama hutaki nhif kuna nyingine za strategis, alliances etc
Mara bima Acha upumbavu
Hutaki bima funga nyoro
Nalaaabuk wahed
Kama
Ni kopo la matusi hao ndio home
Ukishamaliza kugawa rudi tujadili…
Sio unaropoka wakati huna ujualo zaidi ya ulalamishi
I pity everything you touch
Lunatic
HapanaLakini ndugu TIMING umeanza kumrushia mwenzako matusi mazito na mabaya kabisa👆👆👆 Naye kakujibu kwa matusi mazito zaidi.
Uzuri ni kuwa, umegundua kuwa kujadiliana kwa kutukanana ni kuumizana bila sababu
Asante kwa kujirudi mwenyewe👇👇. Next time ukiona mtu hana hoja na badala yake anatumia lugha ya matusi kujadiliana, achana naye, nyamaza kimya!
Probably, YES.Nadhani anachodaiwa sio gharama za 'kukomboa maiti' kama unavyodai ila ni gharama za matibabu alizopata akiwa anatibiwa. Kama unaona hastahili kudaiwa basi ata wagonjwa wanaokuwa wamelipa gharama za matibabu na ikatokea wakafariki basi nao ungependekeza wawe wanarudishiwa pesa wanazolipa. Binafsi naona Muhimbili wamejali uhai kwanza na ndio maana waliendelea kutoa huduma bila kujali deni limefikia kiasi gani. Kama ni kweli wahusika hawana uwezo wa kulipa kuna utaratibu mzuri tu wa kufuata ili jambo lao lifanyiwe kazi]
Thank you.Hapana
Nilikua najibu
Fuatilia matusi yalianzia wapi
Yes.Nasubiri hoja tupate kutanua wigo wa kuelewa sera hiyo na maboresho yake
Kama makubaliano kati yake na hospital yalikuwa ni kama hivyo unavyosema, mimi ni nani nibishe wakati sikuwepo!Probably, YES.
Lakini wameshindwa kuokoa uhai wa mtoto huyu, amefariki na kazi ya hospitali/madaktari ni kuokoa uhai.
Ktk scenario hii, wanapata wapi uhalali wa kudai bill ya matibabu? Wametibu nini?
Hapa kwa kuwa uhai hayupo na badala yake ipo mati, there's no way utasema hii ni bill ya matibabu. Usahihi ni kuwa, hii ni bill ya kugomboa maiti!
Hapo kuna makubaliano kwani ndugu?Kama makubaliano kati yake na hospital yalikuwa ni kama hivyo unavyosema, mimi ni nani nibishe wakati sikuwepo!