Mwananchi aliyefiwa mtoto wake Muhimbili adaiwa kutakiwa kulipia Tsh. 10,695,000 ili kuikomboa maiti

Hiyo pesa imejumuishwa kwenye bajeti ya pato la serikali 2024/2025, tukifa wengi serikali yetu itapata pato kubwa, tuoneshe uzalendo.
 
Hii nayo ni hbr au chuki kwa serikali ndiyo inakusumbua. Hiyo ni bill ya matibabu, cha ajabu ni nini we bwege?
 
Tuliza makalio uelewe
 
Hata kama n mm ndio nimekufa nisingependa ndugu zangu watoe hiyo pesa ili kuuchukua mwili wangu 😎
Mimi nasemaga hata wautupe mzoga wangu porini au wauache nizikwe na greda la halmashauri ni sawa tu. Sitakuwepo. Sitasikia maumivu yo yote. Shida hizi zingine ni mbwembwe za binadamu tu.

Uzikwe na dunia nzima kama Mandela, Papa John Paul II na Princes Diana; au uliwe na simba Serengeti na mzoga wako usionekane tena - kimsingi kuna tofauti gani kwako wewe marehemu? πŸ€”πŸ€”πŸ€”
 
Suala la kukomboa maiti mahospitalini serikali ifikirie mara mbili! Serikali i-subsidize kutunza watanzania wenzetu waliotangulia mbele za haki. Inatia uchungu sana.
Ni hii serikali kupitia SSH ilihaidi timu ya taifa stars kitita cha mil100! Ikiifunga Zambia (chipolopolo). Sasa inashindwaje kulipa hiyo bill?

Povu ruksa, nimekaa hapa.
 
Unahitaji elimu ya bure

Sisi tumeamua kukata hizo kwa ndugu zetu na zinafanya kazi

Nhif wana shida ya advocacy tu… lakini vitita vipo Tena vizuri sana
 
Suala la kukomboa maiti mahospitalini serikali ifikirie mara mbili! Serikali i-subsidize kutunza watanzania wenzetu waliotangulia mbele za haki. Inatia uchungu sana.
πŸ™‹β€β™‚οΈβœοΈπŸ“πŸ‘πŸ‘ŒπŸ‘πŸ‘ŠπŸ€πŸ™πŸŽπŸ›‘οΈ
 
Mpumbavu wewe, mama yako, baba yako, bibi zako, babu zako, kichwa chako, diagnosis zako zote, treatments zote ulizopata, Kama una vitoto navyo vipumbavu…. Pumbavu hadi vyombo ubagyotumia kula na kila kitu kinachokuhusu.. hata hiyo mishipa uliyobana ni pumbavu

Kuna packages mbalimbali za bima inategemea ndugu zako wanakuchangia kiasi gani

Na Kama hutaki nhif kuna nyingine za strategis, alliances etc

Mara bima Acha upumbavu

Hutaki bima funga nyoro

Nalaaabuk wahed
 
Unafirwa wewe,unaongea vitu ambavyo huvijui unafikiri umekalia mboo hapa.
Kama
Ni kopo la matusi hao ndio home

Ukishamaliza kugawa rudi tujadili…

Sio unaropoka wakati huna ujualo zaidi ya ulalamishi

I pity everything you touch

Lunatic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…