Mwananchi: Kwenye daftari la mazishi ya vifo vya COVID19 Jina la babangu lilikuwa namba 256 (Amana Hospital-Ilala)

Mwananchi: Kwenye daftari la mazishi ya vifo vya COVID19 Jina la babangu lilikuwa namba 256 (Amana Hospital-Ilala)

CHADEMA YAZIDI KUPASUKA PASUKA.
-BAVICHA wahaha kudandia matukio ya kupooza machungu.
-Wananchi wasema chadema imejizika yenyewe.
 
Tafuta connection ..

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi pia huwa nasapoti serikali itoe takwimu..,ila hiyo idadi ya vifo kwa hicho kipindi hadi kufikia sasa ingekuwa haina haja ya connection kabisa sababu impact yake huku kitaa tungeiona wazi kabisa... Halafu why zile video zilikuwa zinaonekana mwanzo halafu sahivi iwe mpaka connection!!! Haya mnayoyafanya ili kuikomoa serikali hapana,it isn't fair.
 
Hapo sasa tutasikia:

"Kwa nini Al Jazeera hawa report vifo vya kwenye hiyo nchi iliko?" Ataendelea, "ndiyo maana nawaambia hivi ni vita vinaelekezwa kwetu!" Mwisho wa kumnukuu.

Hiiiii bagosha!
Hapo Chacha
tapatalk_1589279509724.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaishi pori gani mkuu?
Mimi pia huwa nasapoti serikali itoe takwimu..,ila hiyo idadi ya vifo kwa hicho kipindi hadi kufikia sasa ingekuwa haina haja ya connection kabisa sababu impact yake huku kitaa tungeiona wazi kabisa... Halafu why zile video zilikuwa zinaonekana mwanzo halafu sahivi iwe mpaka connection!!! Haya mnayoyafanya ili kuikomoa serikali hapana,it isn't fair.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanamchukulia poa KGG kwa kutoa taarifa za watu waliokufa na KORONA ila takwimu alizozitoa jana ni kwamba mpaka sasa watu 1293 wameshakata moto kwa covid19 ,,DSM na Atown zinaongoza na nimeongea na jamaa yangu wa njiro anasema ni hatari kitaani kwao wamepukutika kwa corona.

Kuficha ndio kunazidi kutuangamiza maana watu wanachukulia poa,kinga ya mwili haingalii umri,watu wana magonjwa nyemelezi mengi tu,ukipata kovid na ikakukuta na kinga dhaifu/magonjw nyemelezi % kubwa lazima itambae na wewe!!
Mitaa gani hiyo boss?
 
Sijazungumzia kuhusu idadi kuwa ni sahihi au sio sahihi bali nimezungumzia utoaji wa taarifa. Wakati wenzetu wakitoa taarifa kila siku, huku kwetu kwanzia itolewe taarifa ni wiki ngapi zimepita? Je hakuna wagonjwa wapya na vifo vipya?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hili ni jambo asiloweza kamwe kulielewa huyo unayemjibu.
Hebu angalia alivyotiririka toka huko juu hadi kwenye mchango wake huo uliompa ukweli ambao hawezi kuuelewa!

Analeta hadithi za nyuki na sufuria za maji moto, wakati anajifanya hajui ulipoanzia ugonjwa wamefanya nini.
 
Usimchukulia poa KGG mkuu anatoa issue ambazo ni ngumu kuzipata!! Na yupo Ahead ya taarifa,issue hata ikitokea saa nane usiku yeye ashaipata na kuipost na wahusika wanakuja kuitoa baada ya siku 1 au mbili kupita.
kigogo hajabezwa,ila tunapima uwezo wake.

kama anashindwa jambo dogo hivi,hayo mengine anayatoaga wapi???
 
Back
Top Bottom