Sasa mbona inakuuma ww, au alikuwa anakufir@Mumeo
Mbona mtaani hatuna hii taarifa 😂 Vp raia wapo wengi.?Uwanja wa Taifa watu wafurika kushuhudia maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano wa Tanzania mgeni rasmi akiwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
View attachment 2974260
Uzuri samia sio muuaji wa nafsiAcha longolongo zako hata uweke vigezo gani ishu ni waliopiga Kura .
Huyu mama hamna kitu anafanya na huo ndio ukweli
Ila ujumbe umefika na ukweli uko waziMatokeo ya kura yakaonesha Kikwete kupata 17% sawa na Samia, Mkapa kupata 7% na Magufuli kupata 57%.
Baada ya matokeo hayo kutoka, Mwananchi wameamua kuomba radhi kwamba uchaguzi ama vigezo vilivyotumika havikuwa sahihi wanaomba radhi
Mzee makoti wewe huna maana kwa sababu Dkt Magufuli ni mshindi na sisi watanzania we are proud of him even in his death, yaani we believe in Dkt Magufuli! Pole sana ndiyo hivyoYaani chama kisimame na killer then kipate ushindi?
WanajihamiWamekoromewa baad ya kutangaza... La sivyo wasingetangaza Matokeo!
Kuweni wazalendo si mnaona uwanja ulivyofurika leo jijini Dar es Salaam, kuonesha wananchi wanavyoafiki sera nzuri za serikali yetu.Mbona mtaani hatuna hii taarifa 😂 Vp raia wapo wengi.?
Ndo maana kinaitwa Chama Cha Mapinduzi.......Yaani chama kisimame na killer then kipate ushindi?
🤣👍Watakuwa wamekoromewa...
Ila ujumbe ushafika!
Na hii vita ni kubwa: Wafu vs. Walio hai!
Ukitaka kujua chema kinajiuza kibaya ndio kinapigiwa promo ili kiwe kizuri basi ndio kama hivyo. Hayati ameshinda tena kwa awamu ingine.Hawa wametumia module gani? Pili usitegemee watu wenye chuki binafsi za mrengo wa kidini,mfumo dume na uzanzibar wakapigia kura Samia.
Mkuu unaona hawa propagandist ni bado tu wameshikwa na butwaa.Hapo kwenye nchi tumia neno wezi/mafisadi nchini
Jiwe alikua shetan muuajiFALA kwa kichina ni mheshimiwa.
Managing EditorGazeti la mwananchi lilianzisha kura za mtandaoni ama poll ya kuuliza wadau ni sera za kiongozi yupi wa Tanzania kati ya Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia wanazozikubali.
Matokeo ya kura yakaonesha Kikwete kupata 17% sawa na Samia, Mkapa kupata 7% na Magufuli kupata 57%.
Baada ya matokeo hayo kutoka, Mwananchi wameamua kuomba radhi kwamba uchaguzi ama vigezo vilivyotumika havikuwa sahihi wanaomba radhi😂.
View attachment 2973698View attachment 2973699
Vizur, mchukueni gwaji boy akalijaze upepo amalizie ingwe yake, sisi tunasimama na madam ambae ana hofu ya MunguMzee makoti wewe huna maana kwa sababu Dkt Magufuli ni mshindi na sisi watanzania we are proud of him even in his death, yaani we believe in Dkt Magufuli! Pole sana ndiyo hivyo
Baba yako ndio alikua anapelekewaSasa mbona inakuuma ww, au alikuwa anakufir@
Sawa ndio afufuke sasa amalizie ingweMatahira 59 wenye akili 17
Kijani wanaishi kwa taabu sana, kungelikuwa na upizani strong.. Mapema sana kinyonga angegalagazwa.Watakufunga jela tena ndio ukiiweka online tu balaa zito