Mwananchi waomba radhi baada ya wananchi wengi kupiga kura ya kuridhishwa na Sera za Uchumi za Magufuli dhidi ya marais wengine

Mwananchi waomba radhi baada ya wananchi wengi kupiga kura ya kuridhishwa na Sera za Uchumi za Magufuli dhidi ya marais wengine

Samia na mfumo ulitaka matokeo yawe hivi:
Matokeo ya kura yakaonesha Kikwete kupata 1.5% sawa na Mwinyi, Mkapa kupata 2% na Magufuli kupata 2% huku Samia akipendwa kwa kishindo kikubwa sana kwa kupata 93%.
 
Shame on you. You should not conduct any other poll because you are not interested in a fair and correct outcome. Look what mess Mkapa did in the privatisation of state owned companies and corporations and Kikwete's corruption scandals like epa, richmond, and many others. On the other hand Samia is handing over ports airports and national park lands to foreigners particularly Arabs contrary to the law of the country. All these actions by the three presidents had and have negative impact on the wellbeing of common people that you ask to respond to your poll.
Safi sana mwanawane...ungambile english ili waelewe vizuri zaidi
 
Hivi kwanini tusije na system mpya ya kupiga kura Mitandaoni ya Urais, ubunge na kwenye serikali za mitaa?

Kila kura inayopigwa automatically, live inaonyeshwa kapigiwa nani, live update kila sekunde. Hapo tunaweza kupata matokeo sahihi.
 
Back
Top Bottom