Mwananchi waomba radhi baada ya wananchi wengi kupiga kura ya kuridhishwa na Sera za Uchumi za Magufuli dhidi ya marais wengine

Mwananchi waomba radhi baada ya wananchi wengi kupiga kura ya kuridhishwa na Sera za Uchumi za Magufuli dhidi ya marais wengine

Uwanja wa Taifa watu wafurika raia kushuhudia maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano wa Tanzania mgeni rasmi akiwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

1714119659085.png
 
Matokeo ya kura yakaonesha Kikwete kupata 17% sawa na Samia, Mkapa kupata 7% na Magufuli kupata 57%.

Baada ya matokeo hayo kutoka, Mwananchi wameamua kuomba radhi kwamba uchaguzi ama vigezo vilivyotumika havikuwa sahihi wanaomba radhi
Ila ujumbe umefika na ukweli uko wazi
 
Hapo kwenye nchi tumia neno wezi/mafisadi nchini
Mkuu unaona hawa propagandist ni bado tu wameshikwa na butwaa.

Hawaamini, kwa fedha na rasilimali-keyboard zao nyingi walizozitumia bado wananchi wanamkumbuka J.P.M(r.i.p), itoshe, wanafadhaika.

Ni kweli usiopingika;Magufuli ni Jiwe haswa, na ni ukweli pia, Wezi na Mafisadi ndio waliofiwa kiuchumi.
 
Gazeti la mwananchi lilianzisha kura za mtandaoni ama poll ya kuuliza wadau ni sera za kiongozi yupi wa Tanzania kati ya Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia wanazozikubali.

Matokeo ya kura yakaonesha Kikwete kupata 17% sawa na Samia, Mkapa kupata 7% na Magufuli kupata 57%.

Baada ya matokeo hayo kutoka, Mwananchi wameamua kuomba radhi kwamba uchaguzi ama vigezo vilivyotumika havikuwa sahihi wanaomba radhi😂.

View attachment 2973698View attachment 2973699
Managing Editor

Alishindwa nini ku reverse matokeo kama tume ya uchaguzi
 
Wanaosema wao ndio wenye vigezo vya kutosha na vya kisayansi zaidi kuendesha zoezi hili, wabandike hapa.

Tiyone!
 
Mzee makoti wewe huna maana kwa sababu Dkt Magufuli ni mshindi na sisi watanzania we are proud of him even in his death, yaani we believe in Dkt Magufuli! Pole sana ndiyo hivyo
Vizur, mchukueni gwaji boy akalijaze upepo amalizie ingwe yake, sisi tunasimama na madam ambae ana hofu ya Mungu
 
Back
Top Bottom