Ni kama vile dhalimu magu alivyopiga propaganda muda mrefu kuwa anakubalika, ilipofika wakati wa uchaguzi akapora uchaguzi!Vitu vingine huwezi kuwauliza watu... swali kama hili ukiuliza kwa siri jibu mbona halifichiki
Magufuli hayupo hai lakini bado anatikisa walio hai wengi tu. R. I. P JPM.Watakuwa wamekoromewa...
Ila ujumbe ushafika!
Na hii vita ni kubwa: Wafu vs. Walio hai!
View attachment 2974509
Message gani? Kwani JPM ni mgombea 2025? Yaani JPM akiwa better than Samia inaathiri nini 2025?
Pole Aisee.Uji wa nini? Kisa mzoga wenu?
It's still vague. The question was about policies. Magufuli didn't have policies to benchmark against the likes of Mkapa
Angekuwa anakubalika asingekufa. Huyu hakutakiwa na Mungu mwenyewe.Magufuli hayupo hai lakini bado anatikisa walio hai wengi tu. R. I. P JPM.
Hahahaha mwaka huu utakoma! Kuwa chawa ni kazi sana!Angekuwa anakubalika asingekufa. Huyu hakutakiwa na Mungu mwenyewe.
Wakati huo huo angekuwa juu mtu wenu mngetukana kwa matusi yoteMambo ya kitaalamu hayaamuliwi kwa kura, huwezi muuliza darasa la saba apigie kura sera ya uchumi wakati haelewi maana yake!! Kazi ya mwananchi ingeeleza sera ni nini na kuziainisha pale. Hakuna timamu angempigia JPM? yaani majobless enzi za JPM wampigie kura waache expansionary policy ya Mama Samia iliowaajiri mara 10 ya ajira za JPM? Get serious
Jehu lile halina ushahidi wowote ni ujinga tuWeka ushahidi wa haya madai yako ili data ziendani na hoja bila ushahidi unadhihirisha jinsi gani hauna akili.
Tena wangemtukana sana JPM hawa watu ni wanafiki sana! Mama akifanya vizuri wanamsifia akiharibu wanamsingizia JPM!Wakati huo huo angekuwa juu mtu wenu mngetukana kwa matusi yote
Unaonaje dhalimu anavyowagalagaza huku akiwa mfu?Ni kama vile dhalimu magu alivyopiga propaganda muda mrefu kuwa anakubalika, ilipofika wakati wa uchaguzi akapora uchaguzi!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Samia kapata 3!ChoiceVariable njoo hizi kura za mara ya pili,mnapigwa "backshot" na uchawa wenu. Huyu jamaa pale X kaendesha kura za maoni kama zile za gazeti la mwananchi,sasa hivi droopy eyes kapata tatu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] manina [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 2974892
?Wote wanaokufa hawakubaliki na Mungu sio? Mimi na ww tulio hai sasa hivi ndo tunakubalika na Bora zaidi ,bele za Mungu na hatutakufa milele? Akili za kindezi hizi🚮🚮Angekuwa anakubalika asingekufa. Huyu hakutakiwa na Mungu mwenyewe.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Lazima unye dagaaAngekuwa anakubalika asingekufa. Huyu hakutakiwa na Mungu mwenyewe.
Ww ni mjuaji kuliko watu zaidi ya 20,0000?It's still vague. The question was about policies. Magufuli didn't have policies to benchmark against the likes of Mkapa
Kama hakutugalagaza akiwa hai, ndio itakuwa Sasa ukiwa unamwagia Maua kwenye Kaburi lake?Unaonaje dhalimu anavyowagalagaza huku akiwa mfu?
Chawa una haha hatariMambo ya kitaalamu hayaamuliwi kwa kura, huwezi muuliza darasa la saba apigie kura sera ya uchumi wakati haelewi maana yake!! Kazi ya mwananchi ingeeleza sera ni nini na kuziainisha pale. Hakuna timamu angempigia JPM? yaani majobless enzi za JPM wampigie kura waache expansionary policy ya Mama Samia iliowaajiri mara 10 ya ajira za JPM? Get serious
Kama watanzania kwa wingi wao walikuwa wanamsifia Nyerere ni kiongozi Bora huku wanavaa viraka, hapo utatumiaje wingi wa wengi kuwa ndio mtazamo sahihi?Ww ni mjuaji kuliko watu zaidi ya 20,0000?
Hi ndio imekuwa hoja yangu tangu Mwanzo,ujue mbumbumbu Huwa ni watu punguani sana ,wanafukarishwa Kwa Watoto wao kutopata Ajira,Kilimo kinapuuzwa walikojaa,hawana uhuru wa kutoa maoni na kuhoja,wachache kwenye Utawala wanajitajirisha, mazingira ya biashara yameharibiwa walikuwa wanafunga Kila kukicha,lakini hao watu wanasema sera za Magufuli zilikiwa Bora unaishia kushangaa ila ukikumbuka kwamba Dunia na Tzn in particular imejaa wajinga wengi unawaacha hivyo hivyo.Kama watanzania kwa wingi wao walikuwa wanamsifia Nyerere ni kiongozi Bora huku wanavaa viraka, hapo utatumiaje wingi wa wengi kuwa ndio mtazamo sahihi?