Mwananchi waomba radhi baada ya wananchi wengi kupiga kura ya kuridhishwa na Sera za Uchumi za Magufuli dhidi ya marais wengine

Mwananchi waomba radhi baada ya wananchi wengi kupiga kura ya kuridhishwa na Sera za Uchumi za Magufuli dhidi ya marais wengine

Wewe mwenyewe mjinga tu!

Hili zoezi hata likirudia sasa na wewe upige kura, bado mtaangukia pua, wajinga nyinyi
Mimi sio mjinga ndio maana sio supporter wa JPM. Issue hapa sio kura ila ni kutokujua unapigia nini kura. Ni sawa na mtu aseme unaonaje sera ya uchumi ya ACT na CHAUMMA ipi ni bora? Sasa hapo unapigia aina ya uongozi au sera!!

Hapo wengi wanapiga kura wakifikiria utumbuaji, kujenga miundombinu ni sera!! Na ndio hao wajinga nao waongelea hapa.

Lakini sera zingefafanuliwa, ya JPM ni contractual yaani kodi juu, matumizi machache, kuzuia ajira ili kupunguza wage bill, serikali kufanya biashara, unapangwa na serikali kuu n.k

Ila Mama Samia sera yake ni expansionary policy yaani mzunguko wa pesa unaongezwa kupitia matumizi makubwa ya serikali, ajira kuongezwa, sekta binafsi kuhusishwa kwenye kuchochea uchumi, kuruhusu ushindani wa private sector dhidi ya taasisi za serikali na mambo kibao.

Sasa hapa kwa mwenye akili timamu atachagua nini?

Sasa watu wanapigia kura aina ya uongozi sio sera ndio maana nawaona hao ni wajinga tu sababu hawajui wanapigia kura nini.
 
Mimi sio mjinga ndio maana sio supporter wa JPM. Issue hapa sio kura ila ni kutokujua unapigia nini kura. Ni sawa na mtu aseme unaonaje sera ya uchumi ya ACT na CHAUMMA ipi ni bora? Sasa hapo unapigia aina ya uongozi au sera!!

Hapo wengi wanapiga kura wakifikiria utumbuaji, kujenga miundombinu ni sera!! Na ndio hao wajinga nao waongelea hapa.

Lakini sera zingefafanuliwa, ya JPM ni contractual yaani kodi juu, matumizi machache, kuzuia ajira ili kupunguza wage bill, serikali kufanya biashara, unapangwa na serikali kuu n.k

Ila Mama Samia sera yake ni expansionary policy yaani mzunguko wa pesa unaongezwa kupitia matumizi makubwa ya serikali, ajira kuongezwa, sekta binafsi kuhusishwa kwenye kuchochea uchumi, kuruhusu ushindani wa private sector dhidi ya taasisi za serikali na mambo kibao.

Sasa hapa kwa mwenye akili timamu atachagua nini?

Sasa watu wanapigia kura aina ya uongozi sio sera ndio maana nawaona hao ni wajinga tu sababu hawajui wanapigia kura nini.
Hata mume wenu mbowe akiwekwa dhidi ya JPM lazima aliwe kichwa na wananchi
 
Mifano ya walioporwa wako wengi sana na Mimi nawajua Baadhi Yao.

Pili Serikali imekiri mara kadhaa na ndio maana imewarudishia wale wa Burea de change

Tatu wewe unakumbuka mambo ya hela za plea bargain na CAG alisema hazikuingia kwenye account za serikali na wanaufaika unawafahamu.

Mwisho kulalamika Kwa Kiongozi ni kuwatahadharisha kama kawaida ila hujaskia Serikali inawapora na kuwakomoa,unajua Kwa nini? Kwa sababu inajua mazingira ya biashara Tzn ni magumu inatakiwa akili ku deal nao vinginevyo Mapato hata hayo mafogo yatapotea.

Mwisho wa siku Mapato yameongezeka mara 2 kuliko miaka 5 ya Magufuli ila nyie hater hamuwezi zungumzia haya.

Nasisitiza Nina sababu Milioni za kusapoti Samia over Magufuli by any metric Samia anafanya vizuri zaidi.
Wewe uko kwenye payroll, hii nchi sio ya kikundi cha wezi na wahujumu uchumi wasiozidi hata million 3 ya whole population.

There is about 58 million lives for fvcks sake who also need to live a good life with atleast attaining 50% life standard of the 3 million segment. Do you really think this kind of leadership will lead us there?

Regardless of the fvcked up Constitution and the gluttons that feed on the national bread and butter most of us yearn for a President that will give a shiyt about the godamn residents at large. A president that not only clings to a Cartel of gangsters that co-operate to steal the governments hard earned money backed up by Statutory Taxes that are collected through the citizens or other government agencies and authorities.

For the clarity, we don't have that kind of President for now, just to be precise. Sorry but i gotta to tell you this, its going to be really hard for you and your fellow motherfvckers to win peoples hearts especially the oppressed. You still have cards for the 3% rich society tho!!!
 
Utafiti gani? Kwamba ulikua hauoni online polls zikikosolewa humu mkidai wapiga kura hawako twitter ila vijijini? Ila cha ajabu JPM akishinda online poll ya watu buku pekee mnaifanya big deal..... huu unafiki unawasaidia nini? Kama mnajiamini why mlivuruga uchaguzi? Si mngeacha aende toe to toe na upinzani tujue mbivu na mbichi?

Bunch of cowards and lunatics!!
Ha ha.

Kunywa uji tu kwa leo. Live to fight another day.
 
PSRC ili privatize 176 public firms hata hayo uliyonitajia hapo juu Umma unamiliki hisa ngapi? Ben mwenye kwenye kitabu alikiri utaratibu ulikuwa mbovu halafu wewe unatetea.
Sasa kati ya makampuni 176 yaliyokuwa yanatia hasara yakauzwa, na kati ya hayo 5 yanakupa kodi na dividend ya kutosha, kwa nini usiridhike na hayo matano?

Mkapa alikubali kwenye kitabu chake kuwa alikosea kuweka mfumo wa M & E katika kuhakikisha mashirika yanafanya kile kilichokuwa kinafanyika kabla ya kuuzwa.

Lakini hoja ya kuuza mashirika ilikuwa hana namna lazima ayauze tu
 
Watu elfu 1? Kati ya watu million 60? Haupo serious. Hiyo sampling yao ilifanyikaje? Hakuna mtu timamu atachagua contractionary monetary policy? Haikuzaa ajira wala multiplier effect kwa wananchi zaidi pesa zilikua nyingi serikalini kwa expense ya private sector.

If at all 57% walichagua JPM kweli basi nchi hii ina wajinga wengi sana.
Hela zilionekana lakini kwenye hio money policy kuliko hii ya kujaza hela kwa mafisadi.
 
Mkuu unaona hawa propagandist ni bado tu wameshikwa na butwaa.

Hawaamini, kwa fedha na rasilimali-keyboard zao nyingi walizozitumia bado wananchi wanamkumbuka J.P.M(r.i.p), itoshe, wanafadhaika.

Ni kweli usiopingika;Magufuli ni Jiwe haswa, na ni ukweli pia, Wezi na Mafisadi ndio waliofiwa kiuchumi.
Yeah na ndio maana huwezi kuona wakikubali ukweli.

Baba anayethamini marafiki zake wa kilabuni kuliko familia hawezi kukubalika kama baba anayesaidia familia yake na ndugu zake kuondokana na hali mbaya ya kimaisha.
 
Lete utafiti huo? Lisu hawezi kumzidi Magufuli kwa chochote!
Huyo Zitto unayemtumikia alojaa udini ndo maana unamuona kanyamaza licha ya masaibu ya watu kupotea na kufukuzwa kwenye makazi yao kama tunavyoshuhudia Ngorongoro!
Ngorongoro lazima Wamasai watoke. Walipelekwa kutoka Srrengeti na Mkoloni kabla ya Uhuru wa Tanganyika ili kuifanya Serengeti eneo la hifadhi. Kwa hiyo usidanganyike kuwa Ngorongoro ni kwao. Waende Handeni Serikali imewaandalia makazi yanayofanana na binadamu
 
MTANIKUMBUKA
iu
Ni kweli tunamkumbuka MURDERER
 
Tuanzishe nini? Mbona wewe Huwa unaanzisha na Bado hiyo Pua hatujawahi angukia?

Unategemea Wale waliokuwa wanaharibu Hifadhi ya Ngorongo watampogia Samia kura?

Mwendazake alikuwa Rais wa watu mafukara na wengine waliokata tamaa ya maisha.
Sawa, population ya hao unaoita mafukara na hao matajiri ikoje? Nipe uwiano wao...
 
Nani kaporwa pesa? Wafanyabiashara walikuwa hawalipi Kodi. Mfano juzi Samia alilalamika jinsi watu wanakwepa Kodi,hayo ndio Magufuli alikuwa akiyasimamia wajinga kama ww wanasema uongo kuwa Magufuli alikuwa anapokea pesa,by the way,ww hapo ulipirowa TSH, ngapi na Magu?
Taratibu tutaelewana tu, huyo mwehu hata kukutana na Magu in person hajawahi ila kakaa kishabiki mandazi tu. Mama atakuja kugundua ila ni too late kwamba alizungukwa na chui kwenye ngozi ya kondoo.
 
Common sense ipi? Wewe Kwa akili Yako ndogo tuu ukiacha hiyo akili ya Ushabiki wa kipumbavu kisa chuki binafsi unadhani aliyepandisha Mapato ya Serikali Kutoka 1.5T Hadi 2.2T nani ame deliver zaidi?

Niletee jibu kabla ya kuanza kuweka ushahidi wa takwimu.Mimi.sio punguani kama nyie na siendeshwi.kwa hisia Bali facts with evidence.
Hayo mapato una hakika gani yapo hivyo na sio data za kupikwa kama kawaida?😂 Maana za kipindi kile mlisema zimepikwa.
 
kwa Mkapa uko sahihi lkn usisahau Mkapa hakuwa mtu wa kujipiga kifua na hivyo watu wengi hata hawajui mambo ambayo Mkapa alifanya, mfano mdogo tu shule za Kata wanamsifia lowasa (RIP) wafuasi wake at least lkn hawajui kwamba ni brain ya Mkapa kupitia Paris club ambapo tulitimiza masharti na ku-qualify kusamehewa madeni na sharti lilikuwa hela ya msamaha wa madeni iende kwenye ujenzi wa Shule ndipo shule za Kata ziliposambaa nchi nzima sasa lowasa was at the right place at the right time akasema amejenga shule za Kata lkn hawaambii fedha alitoa wapi huo ni mfano tu, na hukuwahi kumsikia Mkapa akipigaia hiyo legacy alikaa kimya tu hata mradi wa maji ya Ziwa Victoria yote kazi alipiga Mkapa lkn wengine wakasema ni wao wamefanya.

Mkapa alifanya makubwa klk raisi yoyote yule sema inahitaji uelewa pia kuliona hilo, uchumi wote unaoshamiri Tanzania ni kazi ya Mkapa kuanzia Banking industry kama NMB au CRDB leo hii anasifiwa raisi samia kwa faida ya NMB, hata TRA kama ilivyo leo hii ilikuwa reformed na Mkapa, alianzisha EPZ kule barabara ya mandela Mabibo viwanda vya nguo Arusha yote Mkapa, kampuni zinazofanya vizuri leo hii TZ kama TBL kabla ya Mkapa hakuna aliyekunywa bia ya Tanzania bila kuumwa kichwa kesho yake, kiwanda cha Sigara ni success story yote brain ya Uongozi wa Mkapa kwanza unaweza kusema miaka 10 iliyofwata baada ya Mkapa ilikuwa ni lost decade.

hivyo kwa Mtanzania wa kawaida ni ngumu kuelewa kazi ya Mkapa usisahau hata waliita ukapa kipindi chake sababu ya fiscal discipline na kufight against wizi wa fedha za uma kama leo hii ambapo wanaambiwa wale kwa urefu wa kamba.

Usisahau pia Mkapa alijenga Bunge Dodoma hivyo alihamisha mhimili wa kwanza ktk Karimjee kwenda Dodoma, waliofwata walipaswa wahamishe Mahakama na Serikali lkn miaka 10 udom tu ilijengwa hata mpaka leo haijakamilika yote bado…
Kiufupi the right transition ilikuwa ni kutoka kwa Mkapa kwenda kwa Magufuli. Nchi ingekuwa imeendelea sana maana kipindi cha mkapa kulikuwa hamn upuuzi upuuzi serikalini.
 
Ila ex seminarian wa Katoke asingekuwa na vya kuua ua kisa demokrasia na kupenda kuongoza nchi kama familia ni alikuwa na uthubutu wa kutupeleka sehem!
Basi tu ujasiri bila maarifa huzaa msiba!
Kuua hizo ni propaganda sababu muda wote alikuwa on spotlight. Alimuua nani? Mtu ambaye muda wote yupo ziarani na ofisini tu. Kama waliua ni subordinates wake labda. Vya kutumbua wote tulishuhudia iwe kwa uonevu au kwa haki ila wote tuliona ila vya kuua siafikiani navyo. Ni propaganda kama zilizotumika kumuua Gadafi Libya.
 
Wewe uko kwenye payroll, hii nchi sio ya kikundi cha wezi na wahujumu uchumi wasiozidi hata million 3 ya whole population.

There is about 58 million lives for fvcks sake who also need to live a good life with atleast attaining 50% life standard of the 3 million segment. Do you really think this kind of leadership will lead us there?

Regardless of the fvcked up Constitution and the gluttons that feed on the national bread and butter most of us yearn for a President that will give a shiyt about the godamn residents at large. A president that not only clings to a Cartel of gangsters that co-operate to steal the governments hard earned money backed up by Statutory Taxes that are collected through the citizens or other government agencies and authorities.

For the clarity, we don't have that kind of President for now, just to be precise. Sorry but i gotta to tell you this, its going to be really hard for you and your fellow motherfvckers to win peoples hearts especially the oppressed. You still have cards for the 3% rich society tho!!!
Umeamua kufunguka kwa uchungu mkubwa sana!
Kuna watu wanaamini wakimponda sana JPM ndo watapata amani!
Kinana alipkuwa Mara majuzi hapa alisema siku hizi wanakusanya kodi bila kuumiza watu lakini hakusema kwa nini wanakopa sana na mambo bado magumu!
Hakika walishashindwa na JPM na itabaki hivo duniani na mbinguni!
 
Back
Top Bottom