BANDOKITITA
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,484
- 2,852
Bila kuchangia kwa mihemko na bila kujaji kwa nini unapuuzwa ebu tuanzie hapa;
1) Ilikuwaje hizo hospitali zikubali kumtibu mtoto bila PF3 ya police wakati uliwaeleza na kuwaonesha makovu ya vipigo kutoka kwa mwalimu.
2) Kwa nini hujaenda police kutoa taarifa au kwa afisa elimu wake hata wa kata.
3) Mtoto wa darasa la kwanza ni mdogo sn iweje mwalimu afikie hatua ya kumpiga hovyo hovyo hivyo tena kwa sababu ya kuchelewa. Angekuwa mkubwa km sekondari tungesema kulikuwa na majibizano mwalimu akashikwa hasira akampiga hovyo. (NB: Vyovyote mwanafunzi atakavyojibu na kumuudhi Mwalimu, Mwalimu haruhusiwi kumuadhibu hovyo).
4) Unasema mkuu alikataa kukuonesha Mwalimu mhusika. Ulitaka kumuona ili iweje. Km ungemuona ndo angepona. Hapa ndo wazazi wengi wasio na upeo hukurupuka na kutanguliza hasira mbele maarifa kubaki nyuma. Muhimu ulitakiwa ufuate taratib za kisheria ili afahamike na kukamatwa. Na nikuhakikishie hata km angekamatwa iwapo usingekuwepo wakati wa ukamataji usingemuona hata ungelia machozi ya damu police hawawezi kukupa ruhusa ya kuonana na mbaya wako kwa wakati huo labda mkifika mahakamani. Hivyo hivyo Mwalimu mkuu siyo mjinga eti akuoneshe Mwalimu mhusika. Angejuaj lengo llako, je km ulitaka kumdhuru. Kamwe hilo haliwezi kutokea kwenye taasisi kienyeji hivyo.
5) Kwanini hutaki kuamini majibu ya daktari. Je kwanini tusiamini kuwa mtoto alikuwa mgonjwa kweli na wewe tatizo hilo ulikuwa unalifahamu Ila fimbo za Mwalimu zimekuwa sababu tu.
6) Je ni mwanao tu alipigwa hivyo? Km wengine nao waliadhibiwa lakini kwa utaratibu na kuathirika kwa nini awe mwanao tu. Km waliadhibiwa kwa pamoja umeshindwa kuuliza wenzake kilichoprlekea mwanao kupigwa kiasi cha kupasuka bandama.?
7) Unasema ulazamishwa kuzika mwanao. Nani anaekushinikiza kufanya hivyo wakati kwenye bandiko lako hakuna ulikotaja police kuhusika.
Mwisho: Nakupa Pole kwa yaliyokukuta na fuata taratib za kisheria kupata haki yako kuliko kuja humu kulia. Pili, ulitakiwa utaje shule aliyokuwa anasoma.
Kuna jambo nitaeleza hapa kwa ufupi ambalo liliwahi kumtokea Mwalimu flani baada ya kumuadhibu mwanafunzi wa sekondari viboko 2 mkononi tena mbele ya kaka yake waliekuwa darasa moja lakini baada ya muda mfupi alifariki. Lakini alipopewa mzazi taarifa huku mwalimu akitafuta kukimbia, baba wa marehem alisema huyo mwalimu hana hatia aachwe. It means kulikuwa na jambo la kifamilia nyuma ya pazia. Naskia takribani miaka 6 sasa huyo mwalimu yupo hapohapo na maisha yanaendelea.
Nimemaliza; BANDOKITITA
Ebu jifunze kitu hapa.
1) Ilikuwaje hizo hospitali zikubali kumtibu mtoto bila PF3 ya police wakati uliwaeleza na kuwaonesha makovu ya vipigo kutoka kwa mwalimu.
2) Kwa nini hujaenda police kutoa taarifa au kwa afisa elimu wake hata wa kata.
3) Mtoto wa darasa la kwanza ni mdogo sn iweje mwalimu afikie hatua ya kumpiga hovyo hovyo hivyo tena kwa sababu ya kuchelewa. Angekuwa mkubwa km sekondari tungesema kulikuwa na majibizano mwalimu akashikwa hasira akampiga hovyo. (NB: Vyovyote mwanafunzi atakavyojibu na kumuudhi Mwalimu, Mwalimu haruhusiwi kumuadhibu hovyo).
4) Unasema mkuu alikataa kukuonesha Mwalimu mhusika. Ulitaka kumuona ili iweje. Km ungemuona ndo angepona. Hapa ndo wazazi wengi wasio na upeo hukurupuka na kutanguliza hasira mbele maarifa kubaki nyuma. Muhimu ulitakiwa ufuate taratib za kisheria ili afahamike na kukamatwa. Na nikuhakikishie hata km angekamatwa iwapo usingekuwepo wakati wa ukamataji usingemuona hata ungelia machozi ya damu police hawawezi kukupa ruhusa ya kuonana na mbaya wako kwa wakati huo labda mkifika mahakamani. Hivyo hivyo Mwalimu mkuu siyo mjinga eti akuoneshe Mwalimu mhusika. Angejuaj lengo llako, je km ulitaka kumdhuru. Kamwe hilo haliwezi kutokea kwenye taasisi kienyeji hivyo.
5) Kwanini hutaki kuamini majibu ya daktari. Je kwanini tusiamini kuwa mtoto alikuwa mgonjwa kweli na wewe tatizo hilo ulikuwa unalifahamu Ila fimbo za Mwalimu zimekuwa sababu tu.
6) Je ni mwanao tu alipigwa hivyo? Km wengine nao waliadhibiwa lakini kwa utaratibu na kuathirika kwa nini awe mwanao tu. Km waliadhibiwa kwa pamoja umeshindwa kuuliza wenzake kilichoprlekea mwanao kupigwa kiasi cha kupasuka bandama.?
7) Unasema ulazamishwa kuzika mwanao. Nani anaekushinikiza kufanya hivyo wakati kwenye bandiko lako hakuna ulikotaja police kuhusika.
Mwisho: Nakupa Pole kwa yaliyokukuta na fuata taratib za kisheria kupata haki yako kuliko kuja humu kulia. Pili, ulitakiwa utaje shule aliyokuwa anasoma.
Kuna jambo nitaeleza hapa kwa ufupi ambalo liliwahi kumtokea Mwalimu flani baada ya kumuadhibu mwanafunzi wa sekondari viboko 2 mkononi tena mbele ya kaka yake waliekuwa darasa moja lakini baada ya muda mfupi alifariki. Lakini alipopewa mzazi taarifa huku mwalimu akitafuta kukimbia, baba wa marehem alisema huyo mwalimu hana hatia aachwe. It means kulikuwa na jambo la kifamilia nyuma ya pazia. Naskia takribani miaka 6 sasa huyo mwalimu yupo hapohapo na maisha yanaendelea.
Nimemaliza; BANDOKITITA
Ebu jifunze kitu hapa.