TZ-1
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 4,321
- 7,501
Hbar wadau,
Awali kbsa mwanangu nilikuw nae maeneo ya bard kiasi alpofk miez 6 walihama na mama yao kwenda Zanzibar maisha kule yaliendelea ya kupambana na joto alpo fka miez 8 akaw na tabia ya kulala sakafu kimtazamo Wangu nikajua joto tu sasa tuko Dar na hasa tupo kwenye room yenye AC usiku (wakat wa kulala lakn bado akilala ktandan anakuw kama anachoka anahamia sakafuni) na akilala sakafun analalia tumbo.
Napend kujua kama kuna mtu mwenye kujua hili kuw kama kuna TATZO au ni tabia tu?
Awali kbsa mwanangu nilikuw nae maeneo ya bard kiasi alpofk miez 6 walihama na mama yao kwenda Zanzibar maisha kule yaliendelea ya kupambana na joto alpo fka miez 8 akaw na tabia ya kulala sakafu kimtazamo Wangu nikajua joto tu sasa tuko Dar na hasa tupo kwenye room yenye AC usiku (wakat wa kulala lakn bado akilala ktandan anakuw kama anachoka anahamia sakafuni) na akilala sakafun analalia tumbo.
Napend kujua kama kuna mtu mwenye kujua hili kuw kama kuna TATZO au ni tabia tu?