Mwanangu anapenda kuwa Askari polisi namsaidiaje kufuta fikra hizo?

Mwanangu anapenda kuwa Askari polisi namsaidiaje kufuta fikra hizo?

Yuko primary, ameniambia zaidi ya mara 5 kuwa anatamani sana kuwa askari polisi, ikifika jioni jioni anaanza kupiga kwata kuzunguka nyumba na kupiga saluti.

Akikutana na wenzake anataka wacheze kipolisi yeye awe askari polisi, siku nyingine anaigiza kuongoza magari na kuongoza wanafunzi kuvuka barabara.

Leo ndio funga kazi, baada ya kufunga shule kapitia kituo jirani cha polisi kaja na majarida kadhaa kuhusu mambo ya usalama wa raia inaonesha alienda kuwahoji maswali kadhaa wakampa zawadi.

AKienda shule anarudi akiwa msafi vilevile anasema polisi sio wachafu.

NAMTOAJE KWENYE HILI JANGA WAKUU BILA KUM-ATHIRI KISAIKOLOJIA?
Mpeleke kwa Mwamposa akaombewe
 
Yuko primary, ameniambia zaidi ya mara 5 kuwa anatamani sana kuwa askari polisi, ikifika jioni jioni anaanza kupiga kwata kuzunguka nyumba na kupiga saluti.

Akikutana na wenzake anataka wacheze kipolisi yeye awe askari polisi, siku nyingine anaigiza kuongoza magari na kuongoza wanafunzi kuvuka barabara.

Leo ndio funga kazi, baada ya kufunga shule kapitia kituo jirani cha polisi kaja na majarida kadhaa kuhusu mambo ya usalama wa raia inaonesha alienda kuwahoji maswali kadhaa wakampa zawadi.

AKienda shule anarudi akiwa msafi vilevile anasema polisi sio wachafu.

NAMTOAJE KWENYE HILI JANGA WAKUU BILA KUM-ATHIRI KISAIKOLOJIA?
Kwa nn usimwambie uovu wao ili ajue ukwel ? Akjua ukwel atawachukia sana!! Kama mm nakumbuka zaman nakumbuka nliwah kuona mapolis wakimpiga mjomba angu Bure ,mjomba alinichukua nikiwa dogo sana kwenda center ya karb na home ,sasa tukakutana na gari la field force lilikua kinaitwa "shika kamba" wakampiga mafimbo Yao Bure tuu,kuanzia sku iyo sjawai wakubali Hawa jamaa,bas siku moja polis wakawa wanakimbiza majambazi yaliokua yameiba gari ,jambaz moja sugu likatokea kweny dirisha la gari na kumiminia gari la polis risas ,aisee nyie nyie nlifurah sanaaa yaan nliona majambazi kama ndo kiboko ya wates wa watu ,, na Kwa akili za kitot nkawa napenda majambazi kulko polis mpka baadae sana nlipokuja kua na akili za ukubwan
 
Kweli hilo ni janga ndugu
Dogo katinga kituoni,akikutana na mwema pale kituoni atajua vitu vingi sana napia kusaidia wengine,mpeleke skauti za mashuleni itampa dira nzuri zaidi ya kuanza jua yaliombele yake
 
Yuko primary, ameniambia zaidi ya mara 5 kuwa anatamani sana kuwa askari polisi, ikifika jioni jioni anaanza kupiga kwata kuzunguka nyumba na kupiga saluti.

Akikutana na wenzake anataka wacheze kipolisi yeye awe askari polisi, siku nyingine anaigiza kuongoza magari na kuongoza wanafunzi kuvuka barabara.

Leo ndio funga kazi, baada ya kufunga shule kapitia kituo jirani cha polisi kaja na majarida kadhaa kuhusu mambo ya usalama wa raia inaonesha alienda kuwahoji maswali kadhaa wakampa zawadi.

AKienda shule anarudi akiwa msafi vilevile anasema polisi sio wachafu.

NAMTOAJE KWENYE HILI JANGA WAKUU BILA KUM-ATHIRI KISAIKOLOJIA?
Usimzuie kipawa chake ndio anaweza kuja kuleta mapinduzi makubwa ndani ya jeshi..!
 
Yuko primary, ameniambia zaidi ya mara 5 kuwa anatamani sana kuwa askari polisi, ikifika jioni jioni anaanza kupiga kwata kuzunguka nyumba na kupiga saluti.

Akikutana na wenzake anataka wacheze kipolisi yeye awe askari polisi, siku nyingine anaigiza kuongoza magari na kuongoza wanafunzi kuvuka barabara.

Leo ndio funga kazi, baada ya kufunga shule kapitia kituo jirani cha polisi kaja na majarida kadhaa kuhusu mambo ya usalama wa raia inaonesha alienda kuwahoji maswali kadhaa wakampa zawadi.

AKienda shule anarudi akiwa msafi vilevile anasema polisi sio wachafu.

NAMTOAJE KWENYE HILI JANGA WAKUU BILA KUM-ATHIRI KISAIKOLOJIA?
Astaghifilullah!Mtoto amepatwa na pepo baya sana.Mola awe na yeye tusimkose.
 
Hizi pigo za kijana wangu kabisa yaani anawakubali polisi kinoma ila nilikuja kugundua cartoon zinamfanya aone polisi wa nje walivona commitment ya kusaidia raia na bongo ndo hivo hivo.

Siku hizi nikiwa naye barabarani kama kuna foleni anachukia sana na mimi namwambia polisi ndio wanasababisha, au akiona watu wanagombana namwambia polisi hawafanyi wajibu wao naona kidogo ameanza kuwachukia.
Ahahahahahah aisee
 
Yuko primary, ameniambia zaidi ya mara 5 kuwa anatamani sana kuwa askari polisi, ikifika jioni jioni anaanza kupiga kwata kuzunguka nyumba na kupiga saluti.

Akikutana na wenzake anataka wacheze kipolisi yeye awe askari polisi, siku nyingine anaigiza kuongoza magari na kuongoza wanafunzi kuvuka barabara.

Leo ndio funga kazi, baada ya kufunga shule kapitia kituo jirani cha polisi kaja na majarida kadhaa kuhusu mambo ya usalama wa raia inaonesha alienda kuwahoji maswali kadhaa wakampa zawadi.

AKienda shule anarudi akiwa msafi vilevile anasema polisi sio wachafu.

NAMTOAJE KWENYE HILI JANGA WAKUU BILA KUM-ATHIRI KISAIKOLOJIA?
Mfundishe apende JESHI
 
Hizi pigo za kijana wangu kabisa yaani anawakubali polisi kinoma ila nilikuja kugundua cartoon zinamfanya aone polisi wa nje walivona commitment ya kusaidia raia na bongo ndo hivo hivo.

Siku hizi nikiwa naye barabarani kama kuna foleni anachukia sana na mimi namwambia polisi ndio wanasababisha, au akiona watu wanagombana namwambia polisi hawafanyi wajibu wao naona kidogo ameanza kuwachukia.
Kwasasa unajiona upo sahihi, lakini amini nakwambia unatengeneza potential criminal bila kujijua ambayo itakuja kukugharimu pakubwa hapo baadaye.
Hiyo mentality unayoitengeneza ya mtoto kuchukia Polisi na ikatokea kwa bahati mbaya huyo dogo akakutana na makundi yanayo recruit watoto kuwa terrorist amini nakwambia kitakachotokea hapo kina uwezo hata wa kugharimu maisha yako.
Wazazi muwe makini sana na ideology mnazo pandikiza kwa watoto wenu
 
Yuko primary, ameniambia zaidi ya mara 5 kuwa anatamani sana kuwa askari polisi, ikifika jioni jioni anaanza kupiga kwata kuzunguka nyumba na kupiga saluti.

Akikutana na wenzake anataka wacheze kipolisi yeye awe askari polisi, siku nyingine anaigiza kuongoza magari na kuongoza wanafunzi kuvuka barabara.

Leo ndio funga kazi, baada ya kufunga shule kapitia kituo jirani cha polisi kaja na majarida kadhaa kuhusu mambo ya usalama wa raia inaonesha alienda kuwahoji maswali kadhaa wakampa zawadi.

AKienda shule anarudi akiwa msafi vilevile anasema polisi sio wachafu.

NAMTOAJE KWENYE HILI JANGA WAKUU BILA KUM-ATHIRI KISAIKOLOJIA?
Polisi hawapaswi kuonea raia.
Muache ajiunge labda atakuja kuwa IGP na kufanya reforms
 
Mpeleke akafanyiwe maombi pepo la upolisi limtoke akuna pepo baya kama la upolisi
 
Yuko primary, ameniambia zaidi ya mara 5 kuwa anatamani sana kuwa askari polisi, ikifika jioni jioni anaanza kupiga kwata kuzunguka nyumba na kupiga saluti.

Akikutana na wenzake anataka wacheze kipolisi yeye awe askari polisi, siku nyingine anaigiza kuongoza magari na kuongoza wanafunzi kuvuka barabara.

Leo ndio funga kazi, baada ya kufunga shule kapitia kituo jirani cha polisi kaja na majarida kadhaa kuhusu mambo ya usalama wa raia inaonesha alienda kuwahoji maswali kadhaa wakampa zawadi.

AKienda shule anarudi akiwa msafi vilevile anasema polisi sio wachafu.

NAMTOAJE KWENYE HILI JANGA WAKUU BILA KUM-ATHIRI KISAIKOLOJIA?
Mfundishe maadili aje awe Polisi mwenye hofu ya Mungu anayechukia rushwa na mpenda haki na usawa na uhai wa binadamu.
 
Kazi ya Polisi ni kazi nzuri.
Mimi kama wewe. Nilikuwa nalaani kabisa mtu katika familia yetu kuwa Polisi.
Na sidhani kama yupo Polisi katika familia yetu.
Lakini now I think different.
Inaleta balance katika familia watu kuwa na proffession tofauti.
 
Polisi hawapaswi kuonea raia.
Muache ajiunge labda atakuja kuwa IGP na kufanya reforms
IGP hapo alipo anataman kufanya reform lakn anashindwa kutokana na namna jeshi la polisi lilivyo
 
Back
Top Bottom