Mwanangu hachangamki

Atabadilika tu maana mimiwenyewe nilikuaga mzembe mzembe ila sasa iv wee nihatari
 
Huyo ni mtumishi wa Mungu, mpeleke madhabauni mapema. Mungu atasema naye sana na ataokoa kizazi chenu. Ni kina Musa hao.

Hesabu 12:3
[3]Basi huyo mtu, huyo Musa, alikuwa mpole sana zaidi ya wanadamu wote waliokuwa juu ya uso wa nchi.
Acha kuleta hekaya za vitabuni hapa.
 
Mshukuru mwalimu anamshughulisha huyo mtoto, huyo asipopata shughuli za kuchangamsha akili yake atakuwa jingajinga.

Usimlee kimayai mpe shughuli ndogondogo hapo nyumbani na ufatilie utendaji wake
 
Mchukue nenda nae sehem nzuri atakayokua na utulivu wa akili ongea nae kirafiki kabisa lazima atakwambia ni nini kinamsibu.
 
Hapana kuna katoto miaka 3 ni hacheki anabaguwa wa kumbeba sijui uko mbeleni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…