Mwanangu Makonda, tulia kama tulivyotulia... Vumilia kama tulivyovumilia

Budi ashughulikiwe ili awe mfano kwa kizazi kijacho na walio madarakani wenye mawazo kama alivyo fanya makonda
 
Anataja makundi ya wauza madawa ya kulevya wanataka kumshughulikia....ukitazama katika ile orodha aliyowahi itaja hakuna hata mmoja zaidi ya Shikuba amembaye alifikishwa mahakamani na kupatikana na hatia, alimsababishia madhira Manji akabumba kesi mwisho wa siku akaambulia aibu....alitaka kumchafua Mzee Lowassa kwa kumsingizia kuwa ametelekeza mtoto...mwisho wa siku akaambulia aibu....Kuna wakati wa kupanda na wakati wa mavuno....atulie tu huu ni wakati wake wa mavuno....waswahili tunasema "usipande miiba kwenye njia ambayo unaweza pita usiku ukiwa miguu peku"
 
Katumia silaha yake ya mwisho kabisa.. Hana nyingine tena iliyobaki.. Sasa ni mwendo wa kukimbia mpaka kivuli chake
 


Shikuba alikamatwa awamu ya nne kwenye ule msala wake wa Lindi na yule binti wa Liumba wa BOT....Wanyamwezi walikuwa wanamtafuta kitambo wakamuomba na kumpeleka USA na kijana wake Tikotiko, Tikotiko ndio pekee alikamatwa awamu ta tano....wote wakala mvua USA japo tikotiko ameshaachiwa baada ya kutumikia....
 
Akina Le mutuz alikuwa kila siku anampost Makonda nakumsifia kwa kumuita El comendant ila leo hii kamkimbia mwenzake na kahamia kuwasifia mabilionea
 
Kwanza atuambie kwamba yeye ni Daudi Albert Bashie ama ni Paul Christian Makonda??
 
Laghai na tapeli๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ