Shoctopus
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 3,434
- 1,985
Hata kuwa bodigadi wa mdee au kinana hawezi?Hawezi kupewa cheo. Hivi unawajua wamarekani mzee?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kuwa bodigadi wa mdee au kinana hawezi?Hawezi kupewa cheo. Hivi unawajua wamarekani mzee?.
Hakika MkuuHata Sabaya ilikuwa hivihivi, alienda Clouds akaliamsha dude likatambaa naye 30 yrs na bado kuna mingine.
Kijana anaenda kuzeekea na kufia jela kisa Magufuli alikuwa anakupa moyo kuwa we fanya tuu mie nipo!
AiseeKimbelembele changu kiliwahi kuniponza. Niliwahi kwenda ofisini kwa Paul Makonda, alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo. Mazungumzo yenyewe yalitakiwa na yeye mwenyewe katika kujipanga na kujidai kwake kichama na kiserikali. Katika timu iliyokwenda ofisini kwake siku husika, mimi ndiye niliyekuwa mtu mzima kuliko wengine. Ilikuwa rahisi kuniona na kunitambua.
Pamoja na utumishi wangu uliotukuka kwenye chama na serikali, siku hiyo nilionja joto ya jiwe. Kila mfano mbaya nilitolewa mimi. Wazee tulionekana ndo chanzo cha kila tatizo, uozo, mzozo na gumzo. Tulionwa na Makonda pia hatufai na hatuna maana yoyote. Nilijuta hata kushiriki na kumpitisha kwenye 'vetting' yake kichama na kiserikali. Nilijisikia vibaya sana kwa kubagazwa, kutwezwa na kubezwa. Lakini, nikabaki kimya. Nikavumilia.
Baada ya kikao kile, kila mmoja wetu alitafutwa na Makonda na kuendelea kumwagiwa mambo yake. Mimi nilidhalilishwa kikauli bila nauli; nilioneshwa jeuri bila uzuri; niliambiwa mambo ya kutishwa na kutahadharishwa. Kwakuwa najiamini na najua Makonda hawezi kunifanyia lolote na popote, nilibaki kimya na kuvumilia. Nilikaa naye mbali. Hata alipowatuma watu wake kuja kuniomba ushauri kuhusu ubunge wake, niliwajibu kuwa wazee hawana uwezo wa kumshauri. Akaninunia zaidi na kunipania. Yakatokea taliyotokea.
Sasa mwanangu Makonda anakonda. Hajiamini. Anaogopa kila mlio na kila apitaye au aongeaye. Ana hofu kwa uchafu wake. Ameshasahau kebehi, jeuri, kiburi, majivuno, dhulma, hila na inda aliyotuonesha akiwa Mkuu wa Mkoa na jinsi tulivyovumilia na kutulia. Ameshau kuwa tulikuwa tukichomwa na kuumwa na kauli na matendo yake. Alidhani mambo yatabaki vile na ataendelea kubaki yule. Mambo yamebadilika. Wazee bado tupo kama vile, tunadunda.
Kwangu mimi nguli wa siasa, Makonda ametupa karata yake ya mwisho kupitia tuhuma zake za vitisho. Amenyoosha mkono ili Mama Samia na Serikali yake wamuone. Waone kuwa ipo haja ya yeye kurejeshwa Serikalini ili kumfanya kuwa salama. Yaani, Makonda ameomba kupewa cheo ili awe salama. Bado ana siasa za kilaghai na kitapeli. Ana siasa za kitoto. Ana siasa za magumashi. Bora akae atulie. Karma is real!
Mama Samia, nasi tuanze makundi na kampeni za 2025?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Misungwi, Mwanza)
Mkuu, mbona unafukua makaburi? Kunani?Aisee
Nimepishana nao njian nikaona nichungulie tena maana. Naona watu wanaanza kumtaja tajaMkuu, mbona unafukua makaburi? Kunani?
Sawa MkuuNimepishana nao njian nikaona nichungulie tena maana. Naona watu wanaanza kumtaja taja
Hata jinai ya mbowe haifi japo utawala huu umemwonea hurumaKwa jinsi Makonda alivyojaa kiburi kipindi cha Magufuli, huwezi kuamini yeye ndio anajifanya kulia sasa. Kuna uwezekano Makonda akapata kinga ya muda kwa serikali hii ya ccm, ila jinai haifi ni lazima atakuja kukutana na mkono wa sheria tu huko mbele.
Lakini kwa sasa anatakiwa avunjwe miguu yote miwili ili aone ni jinsi gani wale aliowaua na kuwaacha na vilema vya maisha wanajisikia. He should pay the price of his barbaric behaviour.
"Hakuna asiyejua, wanasiasa ni Wanafiki" Steven Wassira, 13 May, 2023Aliyekuwa mwanachama wenu mwaminifu Leo mnamsimanga Kwa viwango,hivi mwoneeni huruma ,msije mwuua Kwa msongo wa mawazo 🤭
Ndo maana Makonda sio wewe na wewe sio Makonda.Ningekuwa mie ndio Makonda a.k.a. Bashite ningesaga chupa nachanganya na sumu ya panya, DDT, dawa za kutolea mimba pamoja maji ya betri nakunywa nife niende kuzimu nikaungane na wengine humo.
Kabisa Mkuu..Kwa jinsi Makonda alivyojaa kiburi kipindi cha Magufuli, huwezi kuamini yeye ndio anajifanya kulia sasa. Kuna uwezekano Makonda akapata kinga ya muda kwa serikali hii ya ccm, ila jinai haifi ni lazima atakuja kukutana na mkono wa sheria tu huko mbele.
Lakini kwa sasa anatakiwa avunjwe miguu yote miwili ili aone ni jinsi gani wale aliowaua na kuwaacha na vilema vya maisha wanajisikia. He should pay the price of his barbaric behaviour.
Na Rais Samia akitaka kujua hasira ya watanzania kwa huyu mwehu Bashite,basi mpe hata cheo cha Mtendaji wa Kata.Kimbelembele changu kiliwahi kuniponza. Niliwahi kwenda ofisini kwa Paul Makonda, alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo. Mazungumzo yenyewe yalitakiwa na yeye mwenyewe katika kujipanga na kujidai kwake kichama na kiserikali. Katika timu iliyokwenda ofisini kwake siku husika, mimi ndiye niliyekuwa mtu mzima kuliko wengine. Ilikuwa rahisi kuniona na kunitambua.
Pamoja na utumishi wangu uliotukuka kwenye chama na serikali, siku hiyo nilionja joto ya jiwe. Kila mfano mbaya nilitolewa mimi. Wazee tulionekana ndo chanzo cha kila tatizo, uozo, mzozo na gumzo. Tulionwa na Makonda pia hatufai na hatuna maana yoyote. Nilijuta hata kushiriki na kumpitisha kwenye 'vetting' yake kichama na kiserikali. Nilijisikia vibaya sana kwa kubagazwa, kutwezwa na kubezwa. Lakini, nikabaki kimya. Nikavumilia.
Baada ya kikao kile, kila mmoja wetu alitafutwa na Makonda na kuendelea kumwagiwa mambo yake. Mimi nilidhalilishwa kikauli bila nauli; nilioneshwa jeuri bila uzuri; niliambiwa mambo ya kutishwa na kutahadharishwa. Kwakuwa najiamini na najua Makonda hawezi kunifanyia lolote na popote, nilibaki kimya na kuvumilia. Nilikaa naye mbali. Hata alipowatuma watu wake kuja kuniomba ushauri kuhusu ubunge wake, niliwajibu kuwa wazee hawana uwezo wa kumshauri. Akaninunia zaidi na kunipania. Yakatokea taliyotokea.
Sasa mwanangu Makonda anakonda. Hajiamini. Anaogopa kila mlio na kila apitaye au aongeaye. Ana hofu kwa uchafu wake. Ameshasahau kebehi, jeuri, kiburi, majivuno, dhulma, hila na inda aliyotuonesha akiwa Mkuu wa Mkoa na jinsi tulivyovumilia na kutulia. Ameshau kuwa tulikuwa tukichomwa na kuumwa na kauli na matendo yake. Alidhani mambo yatabaki vile na ataendelea kubaki yule. Mambo yamebadilika. Wazee bado tupo kama vile, tunadunda.
Kwangu mimi nguli wa siasa, Makonda ametupa karata yake ya mwisho kupitia tuhuma zake za vitisho. Amenyoosha mkono ili Mama Samia na Serikali yake wamuone. Waone kuwa ipo haja ya yeye kurejeshwa Serikalini ili kumfanya kuwa salama. Yaani, Makonda ameomba kupewa cheo ili awe salama. Bado ana siasa za kilaghai na kitapeli. Ana siasa za kitoto. Ana siasa za magumashi. Bora akae atulie. Karma is real!
Mama Samia, nasi tuanze makundi na kampeni za 2025?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Misungwi, Mwanza)
Ni kweli hasa jinai yenyewe ikiwa ya kubambikiziaHata jinai ya mbowe haifi japo utawala huu umemwonea huruma
utafanya niniNa Rais Samia akitaka kujua hasira ya watanzania kwa huyu mwehu Bashite,basi mpe hata cheo cha Mtendaji wa Kata.
ila kabla ya huo mpira Manara alikuwa kijana wa chama, kada mtiifu aliyeponea kwenye tundu la sindano kwenda lupango.Manara atulie tuu, afanye mambo ya mpira.
Kwani CCM kuna asiye mwizi? Manara ni kama wengine tuu na huko kwenye mpira ni cover up ya uchokoraa wake.ila kabla ya huo mpira Manara alikuwa kijana wa chama, kada mtiifu aliyeponea kwenye tundu la sindano kwenda lupango.
Hakuna jipya sana Mkuu, ni muda tu ndio unaobadilika.
Watanzania wengi wanafiki mkuu usitegemee sana reaction yoyote kwaoNa Rais Samia akitaka kujua hasira ya watanzania kwa huyu mwehu Bashite,basi mpe hata cheo cha Mtendaji wa Kata.
Watanzania ni wasahaulifu sanaKwani CCM kuna asiye mwizi? Manara ni kama wengine tuu na huko kwenye mpira ni cover up ya uchokoraa wake.
View attachment 2623753