Mwanangu Makonda, tulia kama tulivyotulia... Vumilia kama tulivyovumilia

Hata Sabaya ilikuwa hivihivi, alienda Clouds akaliamsha dude likatambaa naye 30 yrs na bado kuna mingine.
Kijana anaenda kuzeekea na kufia jela kisa Magufuli alikuwa anakupa moyo kuwa we fanya tuu mie nipo!
Hakika Mkuu
 
Buuuuuuuuuuuuuuoooooo !!!! ni mlipuko au [emoji50][emoji50][emoji50]
 
Aisee
 
Hata jinai ya mbowe haifi japo utawala huu umemwonea huruma
 
Aliyekuwa mwanachama wenu mwaminifu Leo mnamsimanga Kwa viwango,hivi mwoneeni huruma ,msije mwuua Kwa msongo wa mawazo 🤭
"Hakuna asiyejua, wanasiasa ni Wanafiki" Steven Wassira, 13 May, 2023
 
Ningekuwa mie ndio Makonda a.k.a. Bashite ningesaga chupa nachanganya na sumu ya panya, DDT, dawa za kutolea mimba pamoja maji ya betri nakunywa nife niende kuzimu nikaungane na wengine humo.
Ndo maana Makonda sio wewe na wewe sio Makonda.
 
Kabisa Mkuu..
Nakazia hapo pa kumvunja mguu Bashite..au kama mchakato wa kuondoka na mguu ule ni mrefu,watu waanze hata na sikio la upande mmoja basi.
 
Na Rais Samia akitaka kujua hasira ya watanzania kwa huyu mwehu Bashite,basi mpe hata cheo cha Mtendaji wa Kata.
 
Manara atulie tuu, afanye mambo ya mpira.
ila kabla ya huo mpira Manara alikuwa kijana wa chama, kada mtiifu aliyeponea kwenye tundu la sindano kwenda lupango.

Hakuna jipya sana Mkuu, ni muda tu ndio unaobadilika.
 
ila kabla ya huo mpira Manara alikuwa kijana wa chama, kada mtiifu aliyeponea kwenye tundu la sindano kwenda lupango.

Hakuna jipya sana Mkuu, ni muda tu ndio unaobadilika.
Kwani CCM kuna asiye mwizi? Manara ni kama wengine tuu na huko kwenye mpira ni cover up ya uchokoraa wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…