Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Hahaha lini?By the way alishajichanganya.....nasikia akaropoka eti 'Mbowe ni mnufaika coz alifutiwa kesi za kisiasa....', yaani unajifunga own goal wakati unashambulia....😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha lini?By the way alishajichanganya.....nasikia akaropoka eti 'Mbowe ni mnufaika coz alifutiwa kesi za kisiasa....', yaani unajifunga own goal wakati unashambulia....😁😁😁
Chama kikongwe cha siasa kinaogopa midahalo,sasa icho ni chama au genge la Wahuni.Jana nilikusikia na kukusikitikia sana. Jinsi unavyojikaanga kwa mafuta yako mwenyewe. Jinsi unavyoonesha kuchoka na kukinai nafasi uliyonayo kwasasa chamani. Pale ulipozungumzia kuhusu mdahalo na viongozi wa CHADEMA.
Ngoja nikusaidie kwakuwa nilikuwa kiongozi mwandamizi chamani kabla yako. Naujua msimamo wa CCM juu ya midahalo. Ni kwamba, CCM si mfuasi na wala mpenda midahalo. Hata wagombea wetu wa Urais tangu kuanza kwa vyama vingi hukwepa midahalo, isipokuwa Hayati Benjamin Mkapa.
Mdahalo si lelemama. Mdahalo si mchezo. Ni rahisi kuchanganya msimamo wa chama na hisia binafsi mdahaloni na kuharibu bila ya kutibu. Hata kutubu huwa tabu. Mdahalo na CHADEMA, chama kikuu cha upinzani ni kuwatangaza na kuwapa umaarufu.
CHADEMA watakuwa huru kusema kwa kukosoa kila lifanywalo na Serikali inayoundwa na CCM. Jazba inaweza kutokea; makosa ya kitakwimu yanaweza kutokea; usahaulifu unaweza kutokea; kujichanganya kunaweza kutokea na hivyo CCM huepuka midahalo baada ya kuyatazama mambo hayo na mengine kwa kina.
Mwanangu Makonda, acha kutafuta kiki zisizo na mpango. Midahalo inayohusisha CCM kama taasisi ilishapigwa marufuku. Mfuate Komredi Anamringi Macha, Kaimu Katibu Mkuu akuoneshe kumbukumbu nyeti za kichama kuhusu hilo.
Halafu, Mwenezi napaswa kusemezana na Mwenezi. Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti au Katibu Mkuu wa chama chochote cha siasa nchini si 'level' yako. Hautasifiwa na yeyote ukimtaja na kumtaka Mbowe au Lissu kwenye mdahalo. Ni kiki tu. Kama umechoka tuambie tuchukue hatua za kichama.
Mabadiliko ya sheria za uchaguzi yatanguliwe na mabadiliko ya katiba!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Burigi, Chato)
Hao Wazee wenye mawazo mgando ndiyo wanapaswa kuondolewa ndani ya CCM!Acha kijana afanye mdahalo, zama zinabadilika, acha kumwingiza kijana baridi
Hilo ni miongoni mwa maswali ambayo CCM hawataki kusikia![emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe unaweza fanya mdahalo na chadema!!?hata kikwete hawezi wewe unaweza!!?
Ukiulizwa sababu za kuhamishwa wamasai ngorongoro utajibu nini!!?
Huwa nakufananisha na mzee mkama!Jana nilikusikia na kukusikitikia sana. Jinsi unavyojikaanga kwa mafuta yako mwenyewe. Jinsi unavyoonesha kuchoka na kukinai nafasi uliyonayo kwasasa chamani. Pale ulipozungumzia kuhusu mdahalo na viongozi wa CHADEMA.
Ngoja nikusaidie kwakuwa nilikuwa kiongozi mwandamizi chamani kabla yako. Naujua msimamo wa CCM juu ya midahalo. Ni kwamba, CCM si mfuasi na wala mpenda midahalo. Hata wagombea wetu wa Urais tangu kuanza kwa vyama vingi hukwepa midahalo, isipokuwa Hayati Benjamin Mkapa.
Mdahalo si lelemama. Mdahalo si mchezo. Ni rahisi kuchanganya msimamo wa chama na hisia binafsi mdahaloni na kuharibu bila ya kutibu. Hata kutubu huwa tabu. Mdahalo na CHADEMA, chama kikuu cha upinzani ni kuwatangaza na kuwapa umaarufu.
CHADEMA watakuwa huru kusema kwa kukosoa kila lifanywalo na Serikali inayoundwa na CCM. Jazba inaweza kutokea; makosa ya kitakwimu yanaweza kutokea; usahaulifu unaweza kutokea; kujichanganya kunaweza kutokea na hivyo CCM huepuka midahalo baada ya kuyatazama mambo hayo na mengine kwa kina.
Mwanangu Makonda, acha kutafuta kiki zisizo na mpango. Midahalo inayohusisha CCM kama taasisi ilishapigwa marufuku. Mfuate Komredi Anamringi Macha, Kaimu Katibu Mkuu akuoneshe kumbukumbu nyeti za kichama kuhusu hilo.
Halafu, Mwenezi napaswa kusemezana na Mwenezi. Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti au Katibu Mkuu wa chama chochote cha siasa nchini si 'level' yako. Hautasifiwa na yeyote ukimtaja na kumtaka Mbowe au Lissu kwenye mdahalo. Ni kiki tu. Kama umechoka tuambie tuchukue hatua za kichama.
Mabadiliko ya sheria za uchaguzi yatanguliwe na mabadiliko ya katiba!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Burigi, Chato)
Mdahalo ni hoja! Na hoja ni mpaka ziwepo!!Jana nilikusikia na kukusikitikia sana. Jinsi unavyojikaanga kwa mafuta yako mwenyewe. Jinsi unavyoonesha kuchoka na kukinai nafasi uliyonayo kwasasa chamani. Pale ulipozungumzia kuhusu mdahalo na viongozi wa CHADEMA.
Ngoja nikusaidie kwakuwa nilikuwa kiongozi mwandamizi chamani kabla yako. Naujua msimamo wa CCM juu ya midahalo. Ni kwamba, CCM si mfuasi na wala mpenda midahalo. Hata wagombea wetu wa Urais tangu kuanza kwa vyama vingi hukwepa midahalo, isipokuwa Hayati Benjamin Mkapa.
Mdahalo si lelemama. Mdahalo si mchezo. Ni rahisi kuchanganya msimamo wa chama na hisia binafsi mdahaloni na kuharibu bila ya kutibu. Hata kutubu huwa tabu. Mdahalo na CHADEMA, chama kikuu cha upinzani ni kuwatangaza na kuwapa umaarufu.
CHADEMA watakuwa huru kusema kwa kukosoa kila lifanywalo na Serikali inayoundwa na CCM. Jazba inaweza kutokea; makosa ya kitakwimu yanaweza kutokea; usahaulifu unaweza kutokea; kujichanganya kunaweza kutokea na hivyo CCM huepuka midahalo baada ya kuyatazama mambo hayo na mengine kwa kina.
Mwanangu Makonda, acha kutafuta kiki zisizo na mpango. Midahalo inayohusisha CCM kama taasisi ilishapigwa marufuku. Mfuate Komredi Anamringi Macha, Kaimu Katibu Mkuu akuoneshe kumbukumbu nyeti za kichama kuhusu hilo.
Halafu, Mwenezi napaswa kusemezana na Mwenezi. Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti au Katibu Mkuu wa chama chochote cha siasa nchini si 'level' yako. Hautasifiwa na yeyote ukimtaja na kumtaka Mbowe au Lissu kwenye mdahalo. Ni kiki tu. Kama umechoka tuambie tuchukue hatua za kichama.
Mabadiliko ya sheria za uchaguzi yatanguliwe na mabadiliko ya katiba!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Burigi, Chato)
AmazingJana nilikusikia na kukusikitikia sana. Jinsi unavyojikaanga kwa mafuta yako mwenyewe. Jinsi unavyoonesha kuchoka na kukinai nafasi uliyonayo kwasasa chamani. Pale ulipozungumzia kuhusu mdahalo na viongozi wa CHADEMA.
Ngoja nikusaidie kwakuwa nilikuwa kiongozi mwandamizi chamani kabla yako. Naujua msimamo wa CCM juu ya midahalo. Ni kwamba, CCM si mfuasi na wala mpenda midahalo. Hata wagombea wetu wa Urais tangu kuanza kwa vyama vingi hukwepa midahalo, isipokuwa Hayati Benjamin Mkapa.
Mdahalo si lelemama. Mdahalo si mchezo. Ni rahisi kuchanganya msimamo wa chama na hisia binafsi mdahaloni na kuharibu bila ya kutibu. Hata kutubu huwa tabu. Mdahalo na CHADEMA, chama kikuu cha upinzani ni kuwatangaza na kuwapa umaarufu.
CHADEMA watakuwa huru kusema kwa kukosoa kila lifanywalo na Serikali inayoundwa na CCM. Jazba inaweza kutokea; makosa ya kitakwimu yanaweza kutokea; usahaulifu unaweza kutokea; kujichanganya kunaweza kutokea na hivyo CCM huepuka midahalo baada ya kuyatazama mambo hayo na mengine kwa kina.
Mwanangu Makonda, acha kutafuta kiki zisizo na mpango. Midahalo inayohusisha CCM kama taasisi ilishapigwa marufuku. Mfuate Komredi Anamringi Macha, Kaimu Katibu Mkuu akuoneshe kumbukumbu nyeti za kichama kuhusu hilo.
Halafu, Mwenezi napaswa kusemezana na Mwenezi. Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti au Katibu Mkuu wa chama chochote cha siasa nchini si 'level' yako. Hautasifiwa na yeyote ukimtaja na kumtaka Mbowe au Lissu kwenye mdahalo. Ni kiki tu. Kama umechoka tuambie tuchukue hatua za kichama.
Mabadiliko ya sheria za uchaguzi yatanguliwe na mabadiliko ya katiba!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Burigi, Chato)
Kwanza ni Makonda au Bashite ?Jana nilikusikia na kukusikitikia sana. Jinsi unavyojikaanga kwa mafuta yako mwenyewe. Jinsi unavyoonesha kuchoka na kukinai nafasi uliyonayo kwasasa chamani. Pale ulipozungumzia kuhusu mdahalo na viongozi wa CHADEMA.
Ngoja nikusaidie kwakuwa nilikuwa kiongozi mwandamizi chamani kabla yako. Naujua msimamo wa CCM juu ya midahalo. Ni kwamba, CCM si mfuasi na wala mpenda midahalo. Hata wagombea wetu wa Urais tangu kuanza kwa vyama vingi hukwepa midahalo, isipokuwa Hayati Benjamin Mkapa.
Mdahalo si lelemama. Mdahalo si mchezo. Ni rahisi kuchanganya msimamo wa chama na hisia binafsi mdahaloni na kuharibu bila ya kutibu. Hata kutubu huwa tabu. Mdahalo na CHADEMA, chama kikuu cha upinzani ni kuwatangaza na kuwapa umaarufu.
CHADEMA watakuwa huru kusema kwa kukosoa kila lifanywalo na Serikali inayoundwa na CCM. Jazba inaweza kutokea; makosa ya kitakwimu yanaweza kutokea; usahaulifu unaweza kutokea; kujichanganya kunaweza kutokea na hivyo CCM huepuka midahalo baada ya kuyatazama mambo hayo na mengine kwa kina.
Mwanangu Makonda, acha kutafuta kiki zisizo na mpango. Midahalo inayohusisha CCM kama taasisi ilishapigwa marufuku. Mfuate Komredi Anamringi Macha, Kaimu Katibu Mkuu akuoneshe kumbukumbu nyeti za kichama kuhusu hilo.
Halafu, Mwenezi napaswa kusemezana na Mwenezi. Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti au Katibu Mkuu wa chama chochote cha siasa nchini si 'level' yako. Hautasifiwa na yeyote ukimtaja na kumtaka Mbowe au Lissu kwenye mdahalo. Ni kiki tu. Kama umechoka tuambie tuchukue hatua za kichama.
Mabadiliko ya sheria za uchaguzi yatanguliwe na mabadiliko ya katiba!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Burigi, Chato)
Kunya mavi ujipake!Mimi naweza kufanya mdahalo na kamati kuu nzima ya CHADEMA iliyojiandaa kwa mwezi mzima na nikaikalisha na kuipa darasa na Elimu ya kutosha juu ya masuala mbalimbali ya kisiasa ,kijamii ,kiuchumi n.k.
Mtu mwenye tuhuma chafu kama Makonda anaomba mdahalo na mtu kama Lissu?!Jana nilikusikia na kukusikitikia sana. Jinsi unavyojikaanga kwa mafuta yako mwenyewe. Jinsi unavyoonesha kuchoka na kukinai nafasi uliyonayo kwasasa chamani. Pale ulipozungumzia kuhusu mdahalo na viongozi wa CHADEMA.
Ngoja nikusaidie kwakuwa nilikuwa kiongozi mwandamizi chamani kabla yako. Naujua msimamo wa CCM juu ya midahalo. Ni kwamba, CCM si mfuasi na wala mpenda midahalo. Hata wagombea wetu wa Urais tangu kuanza kwa vyama vingi hukwepa midahalo, isipokuwa Hayati Benjamin Mkapa.
Mdahalo si lelemama. Mdahalo si mchezo. Ni rahisi kuchanganya msimamo wa chama na hisia binafsi mdahaloni na kuharibu bila ya kutibu. Hata kutubu huwa tabu. Mdahalo na CHADEMA, chama kikuu cha upinzani ni kuwatangaza na kuwapa umaarufu.
CHADEMA watakuwa huru kusema kwa kukosoa kila lifanywalo na Serikali inayoundwa na CCM. Jazba inaweza kutokea; makosa ya kitakwimu yanaweza kutokea; usahaulifu unaweza kutokea; kujichanganya kunaweza kutokea na hivyo CCM huepuka midahalo baada ya kuyatazama mambo hayo na mengine kwa kina.
Mwanangu Makonda, acha kutafuta kiki zisizo na mpango. Midahalo inayohusisha CCM kama taasisi ilishapigwa marufuku. Mfuate Komredi Anamringi Macha, Kaimu Katibu Mkuu akuoneshe kumbukumbu nyeti za kichama kuhusu hilo.
Halafu, Mwenezi napaswa kusemezana na Mwenezi. Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti au Katibu Mkuu wa chama chochote cha siasa nchini si 'level' yako. Hautasifiwa na yeyote ukimtaja na kumtaka Mbowe au Lissu kwenye mdahalo. Ni kiki tu. Kama umechoka tuambie tuchukue hatua za kichama.
Mabadiliko ya sheria za uchaguzi yatanguliwe na mabadiliko ya katiba!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Burigi, Chato)
Mleta mada kasema Makonda yeye ni mwenezi kwa hiyo aombe mdahalo mwenezi mwenzake siyo na mwenyekiti au katibu mkuu.Acha kijana afanye mdahalo, zama zinabadilika, acha kumwingiza kijana baridi
hapa ndipo napokukubaligi mzee wetu, unajua kupiga mumo kwa mumo bila kupepesa macho. Hapa umeeleweka kabisa.Mabadiliko ya sheria za uchaguzi yatanguliwe na mabadiliko ya katiba!
Ni kweli. Juzi hapa Dar nilimkuta kijana mjanja kwa viwango vya mtaani. Nikamwuliza kama anasoma shule? Akanijibu kisha maliza shule! Nikamwuliza kamaliza shule gani? Akanijibu darasa la saba. Nikamwambia unasema umemaliza shule mbona ndiyo unaanza? Akanijibu kuwa yeye kisha maliza shule na kama siamini nimwulize swali lo lote nione kama atashindwa kujibu!! Ikabidi nimwache, sikummuliza swali!!Jana nilikusikia na kukusikitikia sana. Jinsi unavyojikaanga kwa mafuta yako mwenyewe. Jinsi unavyoonesha kuchoka na kukinai nafasi uliyonayo kwasasa chamani. Pale ulipozungumzia kuhusu mdahalo na viongozi wa CHADEMA.
Ngoja nikusaidie kwakuwa nilikuwa kiongozi mwandamizi chamani kabla yako. Naujua msimamo wa CCM juu ya midahalo. Ni kwamba, CCM si mfuasi na wala mpenda midahalo. Hata wagombea wetu wa Urais tangu kuanza kwa vyama vingi hukwepa midahalo, isipokuwa Hayati Benjamin Mkapa.
Mdahalo si lelemama. Mdahalo si mchezo. Ni rahisi kuchanganya msimamo wa chama na hisia binafsi mdahaloni na kuharibu bila ya kutibu. Hata kutubu huwa tabu. Mdahalo na CHADEMA, chama kikuu cha upinzani ni kuwatangaza na kuwapa umaarufu.
CHADEMA watakuwa huru kusema kwa kukosoa kila lifanywalo na Serikali inayoundwa na CCM. Jazba inaweza kutokea; makosa ya kitakwimu yanaweza kutokea; usahaulifu unaweza kutokea; kujichanganya kunaweza kutokea na hivyo CCM huepuka midahalo baada ya kuyatazama mambo hayo na mengine kwa kina.
Mwanangu Makonda, acha kutafuta kiki zisizo na mpango. Midahalo inayohusisha CCM kama taasisi ilishapigwa marufuku. Mfuate Komredi Anamringi Macha, Kaimu Katibu Mkuu akuoneshe kumbukumbu nyeti za kichama kuhusu hilo.
Halafu, Mwenezi napaswa kusemezana na Mwenezi. Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti au Katibu Mkuu wa chama chochote cha siasa nchini si 'level' yako. Hautasifiwa na yeyote ukimtaja na kumtaka Mbowe au Lissu kwenye mdahalo. Ni kiki tu. Kama umechoka tuambie tuchukue hatua za kichama.
Mabadiliko ya sheria za uchaguzi yatanguliwe na mabadiliko ya katiba!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Burigi, Chato)
Na kapanyaEti chui na Nini?
Asante kwa kulinda heshima na sifa ya chama chetu.maana asiyesikia la mkuu uvunjika mguu.Jana nilikusikia na kukusikitikia sana. Jinsi unavyojikaanga kwa mafuta yako mwenyewe. Jinsi unavyoonesha kuchoka na kukinai nafasi uliyonayo kwasasa chamani. Pale ulipozungumzia kuhusu mdahalo na viongozi wa CHADEMA.
Ngoja nikusaidie kwakuwa nilikuwa kiongozi mwandamizi chamani kabla yako. Naujua msimamo wa CCM juu ya midahalo. Ni kwamba, CCM si mfuasi na wala mpenda midahalo. Hata wagombea wetu wa Urais tangu kuanza kwa vyama vingi hukwepa midahalo, isipokuwa Hayati Benjamin Mkapa.
Mdahalo si lelemama. Mdahalo si mchezo. Ni rahisi kuchanganya msimamo wa chama na hisia binafsi mdahaloni na kuharibu bila ya kutibu. Hata kutubu huwa tabu. Mdahalo na CHADEMA, chama kikuu cha upinzani ni kuwatangaza na kuwapa umaarufu.
CHADEMA watakuwa huru kusema kwa kukosoa kila lifanywalo na Serikali inayoundwa na CCM. Jazba inaweza kutokea; makosa ya kitakwimu yanaweza kutokea; usahaulifu unaweza kutokea; kujichanganya kunaweza kutokea na hivyo CCM huepuka midahalo baada ya kuyatazama mambo hayo na mengine kwa kina.
Mwanangu Makonda, acha kutafuta kiki zisizo na mpango. Midahalo inayohusisha CCM kama taasisi ilishapigwa marufuku. Mfuate Komredi Anamringi Macha, Kaimu Katibu Mkuu akuoneshe kumbukumbu nyeti za kichama kuhusu hilo.
Halafu, Mwenezi napaswa kusemezana na Mwenezi. Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti au Katibu Mkuu wa chama chochote cha siasa nchini si 'level' yako. Hautasifiwa na yeyote ukimtaja na kumtaka Mbowe au Lissu kwenye mdahalo. Ni kiki tu. Kama umechoka tuambie tuchukue hatua za kichama.
Mabadiliko ya sheria za uchaguzi yatanguliwe na mabadiliko ya katiba!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Burigi, Chato)
Ina kipi kipya? Makonda anaweza fanya mdahalo na lisu? Yule mwenyekiti wa UVCCM anaweza fanya Mdaharo na Yule wa BAVICHA? We jamaaa wewe.Mzee unawaongofya wenzio?.
CCM ya sasa sio kama ya zamani.
Wakati Kikwete wanamchomoa jukwaani katikati ya mdahalo baada ya kuanza kumung'unya maneno huyu mtoto alikuwa shule.Jana nilikusikia na kukusikitikia sana. Jinsi unavyojikaanga kwa mafuta yako mwenyewe. Jinsi unavyoonesha kuchoka na kukinai nafasi uliyonayo kwasasa chamani. Pale ulipozungumzia kuhusu mdahalo na viongozi wa CHADEMA.
Ngoja nikusaidie kwakuwa nilikuwa kiongozi mwandamizi chamani kabla yako. Naujua msimamo wa CCM juu ya midahalo. Ni kwamba, CCM si mfuasi na wala mpenda midahalo. Hata wagombea wetu wa Urais tangu kuanza kwa vyama vingi hukwepa midahalo, isipokuwa Hayati Benjamin Mkapa.
Mdahalo si lelemama. Mdahalo si mchezo. Ni rahisi kuchanganya msimamo wa chama na hisia binafsi mdahaloni na kuharibu bila ya kutibu. Hata kutubu huwa tabu. Mdahalo na CHADEMA, chama kikuu cha upinzani ni kuwatangaza na kuwapa umaarufu.
CHADEMA watakuwa huru kusema kwa kukosoa kila lifanywalo na Serikali inayoundwa na CCM. Jazba inaweza kutokea; makosa ya kitakwimu yanaweza kutokea; usahaulifu unaweza kutokea; kujichanganya kunaweza kutokea na hivyo CCM huepuka midahalo baada ya kuyatazama mambo hayo na mengine kwa kina.
Mwanangu Makonda, acha kutafuta kiki zisizo na mpango. Midahalo inayohusisha CCM kama taasisi ilishapigwa marufuku. Mfuate Komredi Anamringi Macha, Kaimu Katibu Mkuu akuoneshe kumbukumbu nyeti za kichama kuhusu hilo.
Halafu, Mwenezi napaswa kusemezana na Mwenezi. Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti au Katibu Mkuu wa chama chochote cha siasa nchini si 'level' yako. Hautasifiwa na yeyote ukimtaja na kumtaka Mbowe au Lissu kwenye mdahalo. Ni kiki tu. Kama umechoka tuambie tuchukue hatua za kichama.
Mabadiliko ya sheria za uchaguzi yatanguliwe na mabadiliko ya katiba!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Burigi, Chato)