Mwanangu Makonda, umeichoka na kuikinai nafasi yako chamani?

Mwanangu Makonda, umeichoka na kuikinai nafasi yako chamani?

Jana nilikusikia na kukusikitikia sana. Jinsi unavyojikaanga kwa mafuta yako mwenyewe. Jinsi unavyoonesha kuchoka na kukinai nafasi uliyonayo kwasasa chamani. Pale ulipozungumzia kuhusu mdahalo na viongozi wa CHADEMA.

Ngoja nikusaidie kwakuwa nilikuwa kiongozi mwandamizi chamani kabla yako. Naujua msimamo wa CCM juu ya midahalo. Ni kwamba, CCM si mfuasi na wala mpenda midahalo. Hata wagombea wetu wa Urais tangu kuanza kwa vyama vingi hukwepa midahalo, isipokuwa Hayati Benjamin Mkapa.

Mdahalo si lelemama. Mdahalo si mchezo. Ni rahisi kuchanganya msimamo wa chama na hisia binafsi mdahaloni na kuharibu bila ya kutibu. Hata kutubu huwa tabu. Mdahalo na CHADEMA, chama kikuu cha upinzani ni kuwatangaza na kuwapa umaarufu.

CHADEMA watakuwa huru kusema kwa kukosoa kila lifanywalo na Serikali inayoundwa na CCM. Jazba inaweza kutokea; makosa ya kitakwimu yanaweza kutokea; usahaulifu unaweza kutokea; kujichanganya kunaweza kutokea na hivyo CCM huepuka midahalo baada ya kuyatazama mambo hayo na mengine kwa kina.

Mwanangu Makonda, acha kutafuta kiki zisizo na mpango. Midahalo inayohusisha CCM kama taasisi ilishapigwa marufuku. Mfuate Komredi Anamringi Macha, Kaimu Katibu Mkuu akuoneshe kumbukumbu nyeti za kichama kuhusu hilo.

Halafu, Mwenezi napaswa kusemezana na Mwenezi. Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti au Katibu Mkuu wa chama chochote cha siasa nchini si 'level' yako. Hautasifiwa na yeyote ukimtaja na kumtaka Mbowe au Lissu kwenye mdahalo. Ni kiki tu. Kama umechoka tuambie tuchukue hatua za kichama.

Mabadiliko ya sheria za uchaguzi yatanguliwe na mabadiliko ya katiba!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Burigi, Chato)
Chama kikongwe cha siasa kinaogopa midahalo,sasa icho ni chama au genge la Wahuni.
Vyama vikongwe kama Labor na Conservative vya Uingereza na Republican na Democrat vya Marekani haviogopi midahalo, kwanini CCM?
Waziri Mkuu Mstaafu Cleopa Msuya alishasema kuwa CHADEMA ni Wajenzi wa hoja wazuri kuliko CCM (tuishi humu)

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Jana nilikusikia na kukusikitikia sana. Jinsi unavyojikaanga kwa mafuta yako mwenyewe. Jinsi unavyoonesha kuchoka na kukinai nafasi uliyonayo kwasasa chamani. Pale ulipozungumzia kuhusu mdahalo na viongozi wa CHADEMA.

Ngoja nikusaidie kwakuwa nilikuwa kiongozi mwandamizi chamani kabla yako. Naujua msimamo wa CCM juu ya midahalo. Ni kwamba, CCM si mfuasi na wala mpenda midahalo. Hata wagombea wetu wa Urais tangu kuanza kwa vyama vingi hukwepa midahalo, isipokuwa Hayati Benjamin Mkapa.

Mdahalo si lelemama. Mdahalo si mchezo. Ni rahisi kuchanganya msimamo wa chama na hisia binafsi mdahaloni na kuharibu bila ya kutibu. Hata kutubu huwa tabu. Mdahalo na CHADEMA, chama kikuu cha upinzani ni kuwatangaza na kuwapa umaarufu.

CHADEMA watakuwa huru kusema kwa kukosoa kila lifanywalo na Serikali inayoundwa na CCM. Jazba inaweza kutokea; makosa ya kitakwimu yanaweza kutokea; usahaulifu unaweza kutokea; kujichanganya kunaweza kutokea na hivyo CCM huepuka midahalo baada ya kuyatazama mambo hayo na mengine kwa kina.

Mwanangu Makonda, acha kutafuta kiki zisizo na mpango. Midahalo inayohusisha CCM kama taasisi ilishapigwa marufuku. Mfuate Komredi Anamringi Macha, Kaimu Katibu Mkuu akuoneshe kumbukumbu nyeti za kichama kuhusu hilo.

Halafu, Mwenezi napaswa kusemezana na Mwenezi. Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti au Katibu Mkuu wa chama chochote cha siasa nchini si 'level' yako. Hautasifiwa na yeyote ukimtaja na kumtaka Mbowe au Lissu kwenye mdahalo. Ni kiki tu. Kama umechoka tuambie tuchukue hatua za kichama.

Mabadiliko ya sheria za uchaguzi yatanguliwe na mabadiliko ya katiba!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Burigi, Chato)
Huwa nakufananisha na mzee mkama!
 
Jana nilikusikia na kukusikitikia sana. Jinsi unavyojikaanga kwa mafuta yako mwenyewe. Jinsi unavyoonesha kuchoka na kukinai nafasi uliyonayo kwasasa chamani. Pale ulipozungumzia kuhusu mdahalo na viongozi wa CHADEMA.

Ngoja nikusaidie kwakuwa nilikuwa kiongozi mwandamizi chamani kabla yako. Naujua msimamo wa CCM juu ya midahalo. Ni kwamba, CCM si mfuasi na wala mpenda midahalo. Hata wagombea wetu wa Urais tangu kuanza kwa vyama vingi hukwepa midahalo, isipokuwa Hayati Benjamin Mkapa.

Mdahalo si lelemama. Mdahalo si mchezo. Ni rahisi kuchanganya msimamo wa chama na hisia binafsi mdahaloni na kuharibu bila ya kutibu. Hata kutubu huwa tabu. Mdahalo na CHADEMA, chama kikuu cha upinzani ni kuwatangaza na kuwapa umaarufu.

CHADEMA watakuwa huru kusema kwa kukosoa kila lifanywalo na Serikali inayoundwa na CCM. Jazba inaweza kutokea; makosa ya kitakwimu yanaweza kutokea; usahaulifu unaweza kutokea; kujichanganya kunaweza kutokea na hivyo CCM huepuka midahalo baada ya kuyatazama mambo hayo na mengine kwa kina.

Mwanangu Makonda, acha kutafuta kiki zisizo na mpango. Midahalo inayohusisha CCM kama taasisi ilishapigwa marufuku. Mfuate Komredi Anamringi Macha, Kaimu Katibu Mkuu akuoneshe kumbukumbu nyeti za kichama kuhusu hilo.

Halafu, Mwenezi napaswa kusemezana na Mwenezi. Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti au Katibu Mkuu wa chama chochote cha siasa nchini si 'level' yako. Hautasifiwa na yeyote ukimtaja na kumtaka Mbowe au Lissu kwenye mdahalo. Ni kiki tu. Kama umechoka tuambie tuchukue hatua za kichama.

Mabadiliko ya sheria za uchaguzi yatanguliwe na mabadiliko ya katiba!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Burigi, Chato)
Mdahalo ni hoja! Na hoja ni mpaka ziwepo!!

CHADEMA wamelambishwa asali na Chama Cha anayeutaka mdahalo!!

Viongozi wa CHADEMA wameneemeka na Ruzuku, magorofa yameshamiri Kila Kona mpaka kule Umachameni!!

CHADEMA wameomba wawepo wabunge wawili Kila jimbo, Watanzania wamewashangaa na kuwapuuza; nguvu ya hoja inatoka wapi?

Pale mikocheni imebainika Chama kimepangishwa kwenye jengo la Mbowe; likiibuka hilo huoni namna macho ya wanamdahalo yatakavyopoteza mwelekeo?

Hayo ni machache katika mengi tunayoweza kuyaweka mezani na mdahalo ukawa mwiba kwa CHADEMA.

CCM siyo wajinga, jichanganyeni mkakutane na Form Four ambaye hana subra!!

Namshauri Lissu aendelee kuukimbia mcdahalo kama alivyoyakimbia maandamano ya januari 24!
 
Jana nilikusikia na kukusikitikia sana. Jinsi unavyojikaanga kwa mafuta yako mwenyewe. Jinsi unavyoonesha kuchoka na kukinai nafasi uliyonayo kwasasa chamani. Pale ulipozungumzia kuhusu mdahalo na viongozi wa CHADEMA.

Ngoja nikusaidie kwakuwa nilikuwa kiongozi mwandamizi chamani kabla yako. Naujua msimamo wa CCM juu ya midahalo. Ni kwamba, CCM si mfuasi na wala mpenda midahalo. Hata wagombea wetu wa Urais tangu kuanza kwa vyama vingi hukwepa midahalo, isipokuwa Hayati Benjamin Mkapa.

Mdahalo si lelemama. Mdahalo si mchezo. Ni rahisi kuchanganya msimamo wa chama na hisia binafsi mdahaloni na kuharibu bila ya kutibu. Hata kutubu huwa tabu. Mdahalo na CHADEMA, chama kikuu cha upinzani ni kuwatangaza na kuwapa umaarufu.

CHADEMA watakuwa huru kusema kwa kukosoa kila lifanywalo na Serikali inayoundwa na CCM. Jazba inaweza kutokea; makosa ya kitakwimu yanaweza kutokea; usahaulifu unaweza kutokea; kujichanganya kunaweza kutokea na hivyo CCM huepuka midahalo baada ya kuyatazama mambo hayo na mengine kwa kina.

Mwanangu Makonda, acha kutafuta kiki zisizo na mpango. Midahalo inayohusisha CCM kama taasisi ilishapigwa marufuku. Mfuate Komredi Anamringi Macha, Kaimu Katibu Mkuu akuoneshe kumbukumbu nyeti za kichama kuhusu hilo.

Halafu, Mwenezi napaswa kusemezana na Mwenezi. Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti au Katibu Mkuu wa chama chochote cha siasa nchini si 'level' yako. Hautasifiwa na yeyote ukimtaja na kumtaka Mbowe au Lissu kwenye mdahalo. Ni kiki tu. Kama umechoka tuambie tuchukue hatua za kichama.

Mabadiliko ya sheria za uchaguzi yatanguliwe na mabadiliko ya katiba!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Burigi, Chato)
Amazing
 
Jana nilikusikia na kukusikitikia sana. Jinsi unavyojikaanga kwa mafuta yako mwenyewe. Jinsi unavyoonesha kuchoka na kukinai nafasi uliyonayo kwasasa chamani. Pale ulipozungumzia kuhusu mdahalo na viongozi wa CHADEMA.

Ngoja nikusaidie kwakuwa nilikuwa kiongozi mwandamizi chamani kabla yako. Naujua msimamo wa CCM juu ya midahalo. Ni kwamba, CCM si mfuasi na wala mpenda midahalo. Hata wagombea wetu wa Urais tangu kuanza kwa vyama vingi hukwepa midahalo, isipokuwa Hayati Benjamin Mkapa.

Mdahalo si lelemama. Mdahalo si mchezo. Ni rahisi kuchanganya msimamo wa chama na hisia binafsi mdahaloni na kuharibu bila ya kutibu. Hata kutubu huwa tabu. Mdahalo na CHADEMA, chama kikuu cha upinzani ni kuwatangaza na kuwapa umaarufu.

CHADEMA watakuwa huru kusema kwa kukosoa kila lifanywalo na Serikali inayoundwa na CCM. Jazba inaweza kutokea; makosa ya kitakwimu yanaweza kutokea; usahaulifu unaweza kutokea; kujichanganya kunaweza kutokea na hivyo CCM huepuka midahalo baada ya kuyatazama mambo hayo na mengine kwa kina.

Mwanangu Makonda, acha kutafuta kiki zisizo na mpango. Midahalo inayohusisha CCM kama taasisi ilishapigwa marufuku. Mfuate Komredi Anamringi Macha, Kaimu Katibu Mkuu akuoneshe kumbukumbu nyeti za kichama kuhusu hilo.

Halafu, Mwenezi napaswa kusemezana na Mwenezi. Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti au Katibu Mkuu wa chama chochote cha siasa nchini si 'level' yako. Hautasifiwa na yeyote ukimtaja na kumtaka Mbowe au Lissu kwenye mdahalo. Ni kiki tu. Kama umechoka tuambie tuchukue hatua za kichama.

Mabadiliko ya sheria za uchaguzi yatanguliwe na mabadiliko ya katiba!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Burigi, Chato)
Kwanza ni Makonda au Bashite ?
 
Jana nilikusikia na kukusikitikia sana. Jinsi unavyojikaanga kwa mafuta yako mwenyewe. Jinsi unavyoonesha kuchoka na kukinai nafasi uliyonayo kwasasa chamani. Pale ulipozungumzia kuhusu mdahalo na viongozi wa CHADEMA.

Ngoja nikusaidie kwakuwa nilikuwa kiongozi mwandamizi chamani kabla yako. Naujua msimamo wa CCM juu ya midahalo. Ni kwamba, CCM si mfuasi na wala mpenda midahalo. Hata wagombea wetu wa Urais tangu kuanza kwa vyama vingi hukwepa midahalo, isipokuwa Hayati Benjamin Mkapa.

Mdahalo si lelemama. Mdahalo si mchezo. Ni rahisi kuchanganya msimamo wa chama na hisia binafsi mdahaloni na kuharibu bila ya kutibu. Hata kutubu huwa tabu. Mdahalo na CHADEMA, chama kikuu cha upinzani ni kuwatangaza na kuwapa umaarufu.

CHADEMA watakuwa huru kusema kwa kukosoa kila lifanywalo na Serikali inayoundwa na CCM. Jazba inaweza kutokea; makosa ya kitakwimu yanaweza kutokea; usahaulifu unaweza kutokea; kujichanganya kunaweza kutokea na hivyo CCM huepuka midahalo baada ya kuyatazama mambo hayo na mengine kwa kina.

Mwanangu Makonda, acha kutafuta kiki zisizo na mpango. Midahalo inayohusisha CCM kama taasisi ilishapigwa marufuku. Mfuate Komredi Anamringi Macha, Kaimu Katibu Mkuu akuoneshe kumbukumbu nyeti za kichama kuhusu hilo.

Halafu, Mwenezi napaswa kusemezana na Mwenezi. Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti au Katibu Mkuu wa chama chochote cha siasa nchini si 'level' yako. Hautasifiwa na yeyote ukimtaja na kumtaka Mbowe au Lissu kwenye mdahalo. Ni kiki tu. Kama umechoka tuambie tuchukue hatua za kichama.

Mabadiliko ya sheria za uchaguzi yatanguliwe na mabadiliko ya katiba!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Burigi, Chato)
Mtu mwenye tuhuma chafu kama Makonda anaomba mdahalo na mtu kama Lissu?!
 
Jana nilikusikia na kukusikitikia sana. Jinsi unavyojikaanga kwa mafuta yako mwenyewe. Jinsi unavyoonesha kuchoka na kukinai nafasi uliyonayo kwasasa chamani. Pale ulipozungumzia kuhusu mdahalo na viongozi wa CHADEMA.

Ngoja nikusaidie kwakuwa nilikuwa kiongozi mwandamizi chamani kabla yako. Naujua msimamo wa CCM juu ya midahalo. Ni kwamba, CCM si mfuasi na wala mpenda midahalo. Hata wagombea wetu wa Urais tangu kuanza kwa vyama vingi hukwepa midahalo, isipokuwa Hayati Benjamin Mkapa.

Mdahalo si lelemama. Mdahalo si mchezo. Ni rahisi kuchanganya msimamo wa chama na hisia binafsi mdahaloni na kuharibu bila ya kutibu. Hata kutubu huwa tabu. Mdahalo na CHADEMA, chama kikuu cha upinzani ni kuwatangaza na kuwapa umaarufu.

CHADEMA watakuwa huru kusema kwa kukosoa kila lifanywalo na Serikali inayoundwa na CCM. Jazba inaweza kutokea; makosa ya kitakwimu yanaweza kutokea; usahaulifu unaweza kutokea; kujichanganya kunaweza kutokea na hivyo CCM huepuka midahalo baada ya kuyatazama mambo hayo na mengine kwa kina.

Mwanangu Makonda, acha kutafuta kiki zisizo na mpango. Midahalo inayohusisha CCM kama taasisi ilishapigwa marufuku. Mfuate Komredi Anamringi Macha, Kaimu Katibu Mkuu akuoneshe kumbukumbu nyeti za kichama kuhusu hilo.

Halafu, Mwenezi napaswa kusemezana na Mwenezi. Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti au Katibu Mkuu wa chama chochote cha siasa nchini si 'level' yako. Hautasifiwa na yeyote ukimtaja na kumtaka Mbowe au Lissu kwenye mdahalo. Ni kiki tu. Kama umechoka tuambie tuchukue hatua za kichama.

Mabadiliko ya sheria za uchaguzi yatanguliwe na mabadiliko ya katiba!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Burigi, Chato)
Ni kweli. Juzi hapa Dar nilimkuta kijana mjanja kwa viwango vya mtaani. Nikamwuliza kama anasoma shule? Akanijibu kisha maliza shule! Nikamwuliza kamaliza shule gani? Akanijibu darasa la saba. Nikamwambia unasema umemaliza shule mbona ndiyo unaanza? Akanijibu kuwa yeye kisha maliza shule na kama siamini nimwulize swali lo lote nione kama atashindwa kujibu!! Ikabidi nimwache, sikummuliza swali!!
 
Samahan mzee wangu. Kwa hio wasiwas wako ni kuwa makonda atachanganya mafile. Nadhan debate ni nzuri mbona marekan trump kila siku debate na anakuwa muda mwinginwle anachemka
 
Jana nilikusikia na kukusikitikia sana. Jinsi unavyojikaanga kwa mafuta yako mwenyewe. Jinsi unavyoonesha kuchoka na kukinai nafasi uliyonayo kwasasa chamani. Pale ulipozungumzia kuhusu mdahalo na viongozi wa CHADEMA.

Ngoja nikusaidie kwakuwa nilikuwa kiongozi mwandamizi chamani kabla yako. Naujua msimamo wa CCM juu ya midahalo. Ni kwamba, CCM si mfuasi na wala mpenda midahalo. Hata wagombea wetu wa Urais tangu kuanza kwa vyama vingi hukwepa midahalo, isipokuwa Hayati Benjamin Mkapa.

Mdahalo si lelemama. Mdahalo si mchezo. Ni rahisi kuchanganya msimamo wa chama na hisia binafsi mdahaloni na kuharibu bila ya kutibu. Hata kutubu huwa tabu. Mdahalo na CHADEMA, chama kikuu cha upinzani ni kuwatangaza na kuwapa umaarufu.

CHADEMA watakuwa huru kusema kwa kukosoa kila lifanywalo na Serikali inayoundwa na CCM. Jazba inaweza kutokea; makosa ya kitakwimu yanaweza kutokea; usahaulifu unaweza kutokea; kujichanganya kunaweza kutokea na hivyo CCM huepuka midahalo baada ya kuyatazama mambo hayo na mengine kwa kina.

Mwanangu Makonda, acha kutafuta kiki zisizo na mpango. Midahalo inayohusisha CCM kama taasisi ilishapigwa marufuku. Mfuate Komredi Anamringi Macha, Kaimu Katibu Mkuu akuoneshe kumbukumbu nyeti za kichama kuhusu hilo.

Halafu, Mwenezi napaswa kusemezana na Mwenezi. Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti au Katibu Mkuu wa chama chochote cha siasa nchini si 'level' yako. Hautasifiwa na yeyote ukimtaja na kumtaka Mbowe au Lissu kwenye mdahalo. Ni kiki tu. Kama umechoka tuambie tuchukue hatua za kichama.

Mabadiliko ya sheria za uchaguzi yatanguliwe na mabadiliko ya katiba!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Burigi, Chato)
Asante kwa kulinda heshima na sifa ya chama chetu.maana asiyesikia la mkuu uvunjika mguu.
 
Jana nilikusikia na kukusikitikia sana. Jinsi unavyojikaanga kwa mafuta yako mwenyewe. Jinsi unavyoonesha kuchoka na kukinai nafasi uliyonayo kwasasa chamani. Pale ulipozungumzia kuhusu mdahalo na viongozi wa CHADEMA.

Ngoja nikusaidie kwakuwa nilikuwa kiongozi mwandamizi chamani kabla yako. Naujua msimamo wa CCM juu ya midahalo. Ni kwamba, CCM si mfuasi na wala mpenda midahalo. Hata wagombea wetu wa Urais tangu kuanza kwa vyama vingi hukwepa midahalo, isipokuwa Hayati Benjamin Mkapa.

Mdahalo si lelemama. Mdahalo si mchezo. Ni rahisi kuchanganya msimamo wa chama na hisia binafsi mdahaloni na kuharibu bila ya kutibu. Hata kutubu huwa tabu. Mdahalo na CHADEMA, chama kikuu cha upinzani ni kuwatangaza na kuwapa umaarufu.

CHADEMA watakuwa huru kusema kwa kukosoa kila lifanywalo na Serikali inayoundwa na CCM. Jazba inaweza kutokea; makosa ya kitakwimu yanaweza kutokea; usahaulifu unaweza kutokea; kujichanganya kunaweza kutokea na hivyo CCM huepuka midahalo baada ya kuyatazama mambo hayo na mengine kwa kina.

Mwanangu Makonda, acha kutafuta kiki zisizo na mpango. Midahalo inayohusisha CCM kama taasisi ilishapigwa marufuku. Mfuate Komredi Anamringi Macha, Kaimu Katibu Mkuu akuoneshe kumbukumbu nyeti za kichama kuhusu hilo.

Halafu, Mwenezi napaswa kusemezana na Mwenezi. Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti au Katibu Mkuu wa chama chochote cha siasa nchini si 'level' yako. Hautasifiwa na yeyote ukimtaja na kumtaka Mbowe au Lissu kwenye mdahalo. Ni kiki tu. Kama umechoka tuambie tuchukue hatua za kichama.

Mabadiliko ya sheria za uchaguzi yatanguliwe na mabadiliko ya katiba!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Burigi, Chato)
Wakati Kikwete wanamchomoa jukwaani katikati ya mdahalo baada ya kuanza kumung'unya maneno huyu mtoto alikuwa shule.
 
Back
Top Bottom