Mwanangu wa darasa la pili hili swali kakosaje? Au mwalimu ndiye hajielewi?

Hata huko mambo hayatakuwa rahisi mkuu, hili swali sio lakitoto hata kidogo sijui ilikuwaje tu hadi akaulizwa mtoto!? Angalia maveterani wa Jf wanavyosugua bongo bila muafaka kupatikana!!
Nasubiri jibu sahihi
 
Na tulipopanda darasa tuliambiwa haiwezekani, ni lazims ukope.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…