- Thread starter
- #121
OoohVAR ni aid kwanye maamuzi haitoi maamuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OoohVAR ni aid kwanye maamuzi haitoi maamuzi
KivipiKakosea...
Virus.Kwa elimu yetu ya ukasuku ambayo siku ya mtihani mtoto anatakiwa kwenda kuyatapika yale aliyomezeshwa na mwalimu, na sio mawanda na mapana ya uelewa wake. Hapa mtoto wako anakuwa amekosea. Hakufundishwa hivyo.
Andika definition ya kitabuni kama unataka kufaulu mtihani- alisema professa wa Ranchodadas Chanchad!!
Kamisaa haingii uwanjani.Huenda dogo angejibu 'kamisaa'.. [emoji4][emoji4]
mkuu hiyoo ni swaga tu. ila jibu sahihi ni mwamuzi ni mwalimu mwenyewe kajichanganya kidogo kutokana na tafsiri yake kichwani kwa kingereza amejua kuwa kwa kiswahiili ndo hivyo hivyoShule za msingi zinafungwa Leo, Niko hapa napitia mitihani na ripoti za wanangu!
Kuna swali hili; Mwamuzi wa mchezo wa mpira wa miguu anaitwa nani? Mwanangu kajibu MWAMUZI kakosa, eti mwalimu kawaambia jibu sahihi ni REFARII.
Je, jibu sahihi ni lipi hapo? Kosa ni la mtoto au mwalimu ndo hajielewi?
View attachment 1807716
View attachment 1807714
Ni njia ya kumfanya mwanafunzi asijisikie vibaya. Anamwekea tu alama kwamba kakosea.Alama ya kosa anaweka kidogooooo....hata hakaonekani vizuri...sijui ndo kubania wino!!!
Barabara ya Ocean road[emoji41][emoji41][emoji41]Mwanao yupo sahihi mwalimu ndio kajichanganya, mwalimu alipaswa kuuliza mchezeshaji wa mpira wa miguu anaitwa nani? Ili jibu liwe "mwamuzi"kwa kiswahili. Refarii ni lugha ya kiingereza tunayoitumi kimazoea, ni sawa na mtu anaposema naenda sheli kununua mafuta wakati kituo anachokwenda ni Total au Agip.
Kwa hiyo uwanjani ulimaanisha eneo la kuchezea mpira (pitch) pekee; siyo?Kamisaa haingii uwanjani
Aisee Tz maisha yanazidi kuwa magumu..! Vijana wanakosa furaha ya maisha kabisaSio mwalimu hajielwi bali mwanao ndio hajielewi na mpumbavu
WamevurugwaAisee Tz maisha yanazidi kuwa magumu..! Vijana wanakosa furaha ya maisha kabisa
MkuuJibu ni REFA
Neno mwamuzi limetumika kuuliza swali, kwahiyo huwez kulitumia kujibu swali. Mfundishe mwanao hii kitu isije kumuathiri huko mbele.
Unajiuliza swali na kukjijibu [emoji1787][emoji1787]Ikiwa REFEREE ni sawa basi tukubaliane hilo nini nila KUTOHOA kwenye kingereza.
Watag bakita watusaidieHuu uzi tuupeleke Jukwaa la Lugha.
hati ndio nini.!???...sema handwriting...na wala huwa haiitwi art kama mnavyodanganyana huko...usipaniki mkuu
Ila mtoto wako genious asee[emoji2], hadi hati ya mwandiko inaonyesha. Kongole sana
Hata huko mambo hayatakuwa rahisi mkuu, hili swali sio lakitoto hata kidogo sijui ilikuwaje tu hadi akaulizwa mtoto!? Angalia maveterani wa Jf wanavyosugua bongo bila muafaka kupatikana!!Huu uzi tuupeleke Jukwaa la Lugha.