Kiongozi cha mwalimu (teachers guide)Refarii ndiyo jibu sahihi kwa mujibu wa kingozi cha mwalimu (marking scheme).
Mwamzi ni jina jumuishi sana mfano mwamzi mahakamani anaitwa Hakimu/Jaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiongozi cha mwalimu (teachers guide)Refarii ndiyo jibu sahihi kwa mujibu wa kingozi cha mwalimu (marking scheme).
Mwamzi ni jina jumuishi sana mfano mwamzi mahakamani anaitwa Hakimu/Jaji.
Marking scheme kwa kiswahili inaitwaje?Kiongozi cha mwalimu (teachers guide)
Mwalimu hupima kile alichofundisha.Referee ni kiingereza , kiswahili n mwamuzi, mwalimu kakosea
Niunge mkono, mwanao yuko njema kwa mwandiko.Zimefika mkuu kasoma meseji yako kafurahi
Upo sawa kabisaMwalimu alishindwa kutunga swali. Alipaswa kuuliza hivi msimamizi wa mchezo uwanjani huitwa...... Ili jibu liwe mwamuzi.
Alichouliza ni mwamuzi kwa lugha nyingine huitwa......
Mwanao anaonekana anatumia akili sana katika kutatua matatizo. Yeye amejikita katika kutafsiri neno badala ya kujibu swali. Amekosa kwa kuwa mwamuzi wa mchezo katika mazingira yetu ni refarii na ndio jibu la swali aliloulizwa.Shule za msingi zinafungwa Leo, Niko hapa napitia mitihani na ripoti za wanangu!
Kuna swali hili; Mwamuzi wa mchezo wa mpira wa miguu anaitwa nani? Mwanangu kajibu MWAMUZI kakosa, eti mwalimu kawaambia jibu sahihi ni REFARII.
Je, jibu sahihi ni lipi hapo? Kosa ni la mtoto au mwalimu ndo hajielewi?
View attachment 1807716
View attachment 1807714
Huenda dogo angejibu 'kamisaa'.. 😊😊Mwalimu alishindwa kutunga swali. Alipaswa kuuliza hivi msimamizi wa mchezo uwanjani huitwa...... Ili jibu liwe mwamuzi.
Na pia hizo kategory hufundishwa kwa level mtoto wa darasa la pili atafundishwa in general kwamba mwamuzi wa mpira ni refa akienda level za juu ndo anaweza kuta mgawanyiko wa hao waamuziWaamuzi wa mpira wapo zaidi ya mmoja uwanjani,kwa ligi yetu wapo 4,,kwa ligi kubwa za ulaya baadhi ya mechi wapo 5.
Mwamuzi anayezungumziwa hapa ni mwamuzi wa kati,yaani REFARII. Hivyo swali lilipaswa kuwa:
Mwamuzi wa kati wa mpira wa miguu huitwa.............
Watoto wa sasa wanaweza wakasema VAR...maana nayo pia hutoa maamuzi[emoji848][emoji848]
Chuma kistafuLabda Mwamuzi anaitwa Piereluigi Collina[emoji116][emoji2223][emoji1787]
View attachment 1807717
Ye amerejea kamusi ya wapiRejea kwenye kamusi ya Kiswahili sanifu uone. Huenda tamko "Referee" limetoholewa na likawa "Refa" kwa Kisawahili.
Ila huko google uliporejea jibu lao lina ukakasi sababu hatujui huyo aliyeweka maana ya hiyo kwa Kiswahili amerejea wapi.
Almuhimu kama rejea inasema ni Muamuzi,basi mwalimu amekosea a atakiwa kusahihishwa na aambiwe.
Ni hayo tu.
Emu we baba mtoto ulitakajeWengi tunatumia lugha kwa mazoea,Mkuu mimi ningesema mwalimu kamkosesha dogo, yaani ka set swali bila ufahamu wa kutosha neno referee halijatoholewa kuwepo kwenye kiswahili
Tuangalie huko huko kwenye mpira,hilo neno Referee (Refa) ni kiingereza ila tumeozoea kulitumia tuu kwenye kiswahili kama vile Golikipa, Beki, Kamisaa na Fowadi?
Siku huyo ticha akija na swali akisema
mshambuliaji wa mbele anaitwa nani-- atataka mwanafunzi aseme fowadi.
Shule za msingi zinafungwa Leo, Niko hapa napitia mitihani na ripoti za wanangu!
Kuna swali hili; Mwamuzi wa mchezo wa mpira wa miguu anaitwa nani? Mwanangu kajibu MWAMUZI kakosa, eti mwalimu kawaambia jibu sahihi ni REFARII.
Je, jibu sahihi ni lipi hapo? Kosa ni la mtoto au mwalimu ndo hajielewi?
View attachment 1807716
View attachment 1807714