Niko form two tukagewa mtihani ambao ulikua na section ya Question Tags.
Sikumbuki swali ila lilikua la 'I am ...' so naassume..
I am a doctor, ... ?
Mi nikajibu ' ain't I?' nikakosa.
Nikaenda kwa mwalimu kulalamika akanijibu siyo kwamba haupo sahihi lakini sahihi zaidi ni 'aren't I?'
Nafikiri inaapply kwenye swala la hili swali. Mahakamani kuna watu wanafanya maamuzi, bungeni, mpaka kwenye maswala ya ndoa. Plus kutokana na kiswahili kukosa misamiati mingi tunakopa sana maneno hivyo mwalimu kuweka hiyo nyanjo siyo kwamba mtoto hayupo sahihi ila sahihi zaidi ingekua 'refarii'