safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,837
- 17,412
Kakosa hilo.Shule za msingi zinafungwa Leo, Niko hapa napitia mitihani na ripoti za wanangu!
Kuna swali hili; Mwamuzi wa mchezo wa mpira wa miguu anaitwa nani?....mwanangu kajibu MWAMUZI kakosa...Eti mwalimu kawaambia jibu sahihi ni REFARII
Je; jibu sahihi ni lipi hapo? Kosa ni la mtoto Au mwalimu ndo hajielewi?
View attachment 1807698
View attachment 1807699
Mwambie mwanao kuwa refa pia ni neno la kiswahili hutumika