BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Mi naona yuko sahihi dogo, sababu Referee=Mwamuzi/Msuluhishi
Mfuate mwalimu, huenda amepitiwa....
Mfuate mwalimu, huenda amepitiwa....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafikiria dogo kwelie janja mingi ila ili jibu liwe refarii, hapa watu wa kiswahili inabidi waconfirm kama hilo neno limetoholewa rasm kwenye lugha yetu, vinginevyo tafsiri ya referee ni mwamuzi, dogo kapatia.
Refarii ni kiswahili?
Kww hiyo mtoto alikuwa sahihi kabisa. Maana kama mwalimu akisema jibu ni Refarii, hicho siyo kiswahili.Referee ni english ,Red Giant.
Maana yake ni Mwamuzi/Msuluhishi
"Mwalimu hajielewi" maanayake nini ??
So kwako Mwalimu kutukanwa ni sawa na haikuumi...hii ni hekima kweli ??Mkuu inaweza kuwa kweli hajielewi kwani hakuna walimu machakaramu ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sawa, inabidi tujue tunamtafuta maeneo yapi na yapi ili iwe rahisi.
So kwako Mwalimu kutukanwa ni sawa na haikuumi...hii ni hekima kweli ??
Rejea kwenye kamusi ya Kiswahili sanifu uone. Huenda tamko "Referee" limetoholewa na likawa "Refa" kwa Kisawahili.Shule za msingi zinafungwa Leo, Niko hapa napitia mitihani na ripoti za wanangu!
Kuna swali hili; Mwamuzi wa mchezo wa mpira wa miguu anaitwa nani? Mwanangu kajibu MWAMUZI kakosa, eti mwalimu kawaambia jibu sahihi ni REFARII.
Je, jibu sahihi ni lipi hapo? Kosa ni la mtoto au mwalimu ndo hajielewi?
View attachment 1807716
View attachment 1807714
Lililotoholewa kutoka lugha ya Kiingereza.Refarii ni kiswahili?
HahahUwanja wa kuchora mti, mwlm kambania kwakweli.
Siyo mtoto tu,hata mzazi hajielewi.Sio mwalimu hajielwi bali mwanao ndio hajielewi na mpumbavu
Mwanamtu kaupata kwa nani, je, kwa mwalimu wake au kwa mleta hoja?Sio mwalimu hajielwi bali mwanao ndio hajielewi na mpumbavu