Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani sijui hawa watoto maisha yako huko mbele yatakuwaje isee sikuendeleea nikamwambia akamwambie mama yake njaa inaniuma ila nimebaki na stress kila nikimwakilia na jamaii hii ilivyo kazi ipo.
Baba mwenyewe unajiita covid yaani corona.Yaani sijui hawa watoto maisha yako huko mbele yatakuwaje isee sikuendeleea nikamwambia akamwambie mama yake njaa inaniuma ila nimebaki na stress kila nikimwakilia na jamaii hii ilivyo kazi ipo.
Utakuwa umemuambukiza covd19Yaani sijui hawa watoto maisha yako huko mbele yatakuwaje isee sikuendeleea nikamwambia akamwambie mama yake njaa inaniuma ila nimebaki na stress kila nikimwakilia na jamaii hii ilivyo kazi ipo.
Baba mwenyewe covi19He he kama kuna kipindi wazazi mnatakiwa kufanya kazi ya ziada ni sasahivi
All in all, angalia shuleni, watoto anaocheza nao, na vipindi anavyoangalia kwenye TV. Kuna ujinga ujinga mwingi sana. Mfano mdogo, hebu sikiliza radio zetu kuanzia saa mbili hivi asubuhi mpaka mchana wanaongea vitu gani?Kiume..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baba mwenyewe unajiita covid yaani corona.
Sasa unategemea genetics ziende kwa nini?
Mtoto kakufanana masihara.
Labda Utanitutakana ila ukweli ndio huo
Kama ni wa kiume haina shidaKiume..
Kwani mashoga wenye taaluma za Media, wasiendeshee vipindii?All in all, angalia shuleni, watoto anaocheza nao, na vipindi anavyoangalia kwenye TV. Kuna ujinga ujinga mwingi sana. Mfano mdogo, hebu sikiliza radio zetu kuanzia saa mbili hivi asubuhi mpaka mchana wanaongea vitu gani?
Huwa najiuliza, hivi hizi radio mpaka zinaruhusu mavipindi ya umbea umbea na ujinga, kweli wamekosa program ambazo zinaweza kuwa interest watu kwa muda huo? mfano wakileta wataalamu wa biashara mbali mbali na kuwafundisha watu mida hiyo ya saa mbili mpaka saa nane mchana, si ingekuwa na tija sana. Hata mambo ya banking, maswala ya kutunza na kumanage hela. Kuna mengi sana. Wao wamekomalia maumbeya umbeya na udaku..mbaya zaidi kuna vipindi eti mashoga kabisa wanaendesha.
Kakulanga wewe mwenyewe, hilo ndiyo jibu aiseKiume..
Inawezekana wewe ndio una tatizo kichwani. Kwani wewe ulipokuwa darasa la pili mlifundishwa methali zote? Mimi nakumbuka tulianza darasa la tatu kama sio la nne.Yaani sijui hawa watoto maisha yako huko mbele yatakuwaje isee sikuendeleea nikamwambia akamwambie mama yake njaa inaniuma ila nimebaki na stress kila nikimwakilia na jamaii hii ilivyo kazi ipo.
Kwani mashoga wenye taaluma za Media, wasiendeshee vipindii?
Nyie mnaangalia anachokitoa mtu kutoka kichwani, au mnaangalia sexual orientation yake?
Ndo maana li nchi lenu maskini, na omba omba, kisa upuuzi uliowajaa nyie wananchi wake. Woooiiiiiii
Sasa hilo ni tatizo la hao Mashoga, au hizo Taasisi za Media? Kwanini wanaweka vipindi vya kijinga jinga? Km ambavyo wee unadai?Kwa bahati mbaya hao wanaoendesha mavipindi hayo ya kijinga jinga hawana hiyo taaluma. Ingekuwa wanayo wala usingejua, kwa wanachoongea na kutoa vichwani na vinywani mwao.
Pole sana, naona kidogo una hasira.
Za kurithi zinazidi. Ulitegemea mwanao aweje kama wewe ndo Baba?Yaani sijui hawa watoto maisha yako huko mbele yatakuwaje isee sikuendeleea nikamwambia akamwambie mama yake njaa inaniuma ila nimebaki na stress kila nikimwakilia na jamaii hii ilivyo kazi ipo.