Mwanangu wa drs la 2 nimemuuliza methali ya mtoto akililia wembe amenijibu mtoto kautaka..

Mwanangu wa drs la 2 nimemuuliza methali ya mtoto akililia wembe amenijibu mtoto kautaka..

Mkuu mfumo huo wa elimu hauna manufaa tena katika ulimwengu wa leo, kuna mabadiliko makubwa sana ya technolojia kiasi kwamba elimu ya kukariri mto mrefu zaidi Duniani ni upi imebaki kwetu sisi wahenga hivyo mweleweshe tuu polepole
Methali yenyewe inachochea utesaji wa watoto.

Ni methali ya kizamani, imepitwa na wakati, inatakiwa kuwa updated.
 
Usijisifu wewe muombee Mungu akutunzie, kwani atasomea humo ndani hataenda Kwa wenzie? Muombe sana Mungu huyo anaweza kubadilika mpaka ukashangaa ikawa bora Kwa huyo mwingine
Ukishamjaza kichwani mambo mazuri, hata akikutana na manyimbo ya hovyo hayawezi kumkaa kichwani.
 
Ukishamjaza kichwani mambo mazuri, hata akikutana na manyimbo ya hovyo hayawezi kumkaa kichwani.
Sawa dunia ni yako, nimekaa karibu na wanachuo mambo wanayo-yafanya japo siku anakuja alikuwa tofauti.
 
🤣🤣🤣🤣Huyo mtoto huyooooooo,mtoto kauta!mwanao muhuni sana
 
Yaani sijui hawa watoto maisha yako huko mbele yatakuwaje isee sikuendeleea nikamwambia akamwambie mama yake njaa inaniuma ila nimebaki na stress kila nikimwangalia na jamii hii ilivyo kazi ipo...
Taifa la kesho linabalaa sana.
Mimi niliona mtoto mmoja wa kama darasa la kwanza hivi anaimba
"Ulipita kwa bibi nyauuuu, au kwa mparangeee" 🤣 nikabaki nashangaa tu
 
Kiukweli nakubaliana na wewe shida ni hizi media zetu, ambazo sidhani kama wanajali taaluma. Wao wanaangalia tu ukiwa na followers Instgram unapata kazi. Sasa nadhani labda mambo hayo ya umbea umbea na ujinga ndio wameona yanawafaa hao jamaa. Lakini ona mfano tu mdogo Richard Quest, Anderson Cooper mbona wako sawa tu.
Msiba wa Dida ulifatilia? Sorry lakini.
 
Yaani sijui hawa watoto maisha yako huko mbele yatakuwaje isee sikuendeleea nikamwambia akamwambie mama yake njaa inaniuma ila nimebaki na stress kila nikimwangalia na jamii hii ilivyo kazi ipo...
Taifa la kesho linabalaa sana.
Maswali ya kijinga hayo yanampotezea mtoto Mb za ubongo tu
Kuna mwingine mwalimu alimuuliza mtoto baba yako anafanyq kazi gani ? Mtoto akamjibu anafanya kazi zote anazotumwa na mama

Watoto wasome masomo ya sayansi na teknolojia masomo ya kijinga kama hayo ya methali sijui Historia sijui history is the study of past human events yafutwe mashuleni

Nashukuru Mungu mno tena mno mtihani wa taifa kidato cha nne somo la history nilipata F

Sijuti kupata F nashukuru Mungu

Somo la kijinga sana
 
Back
Top Bottom