Mwanangu wa drs la 2 nimemuuliza methali ya mtoto akililia wembe amenijibu mtoto kautaka..

Mwanangu wa drs la 2 nimemuuliza methali ya mtoto akililia wembe amenijibu mtoto kautaka..

All in all, angalia shuleni, watoto anaocheza nao, na vipindi anavyoangalia kwenye TV. Kuna ujinga ujinga mwingi sana. Mfano mdogo, hebu sikiliza radio zetu kuanzia saa mbili hivi asubuhi mpaka mchana wanaongea vitu gani?
Huwa najiuliza, hivi hizi radio mpaka zinaruhusu mavipindi ya umbea umbea na ujinga, kweli wamekosa program ambazo zinaweza kuwa interest watu kwa muda huo? mfano wakileta wataalamu wa biashara mbali mbali na kuwafundisha watu mida hiyo ya saa mbili mpaka saa nane mchana, si ingekuwa na tija sana. Hata mambo ya banking, maswala ya kutunza na kumanage hela. Kuna mengi sana. Wao wamekomalia maumbea umbea na udaku sijui kuchamba..mbaya zaidi kuna vipindi eti mashoga kabisa wanaendesha.
Ahsante kwa haya madini. Hakika umeongea vyema.
 
Endeleeni kuwasikilizisha mamiziki yenu ya kina zuchu hayo. Mnapandikiza maujinga kwa watoto wenu. Mimi mkristo, mwanangu anaimba nyimbo kwenye kitabu cha nyimbo za kristo na tenzi za rohoni. Kila siku ana kariri mafungu ya biblia kabla hajalala. Karibu miaka mitatu sasa hatuangalii TV wala kusikiliza miredio ya Bongo, Nakushauri uibe njia hizi.

Asilimia 90 ya miziki ya sasa hivi inaharibu hawa watoto sababu wanaimba upuuzi na ushetani.
All the best.
 
Yaani sijui hawa watoto maisha yako huko mbele yatakuwaje isee sikuendeleea nikamwambia akamwambie mama yake njaa inaniuma ila nimebaki na stress kila nikimwakilia na jamaii hii ilivyo kazi ipo.

Huyo ana akili, kwani yale majibu ya shuleni tulikubaliana wote ? Dogo ana Kili huyo
 
Inawezekana wewe ndio una tatizo kichwani. Kwani wewe ulipokuwa darasa la pili mlifundishwa methali zote? Mimi nakumbuka tulianza darasa la tatu kama sio la nne.
Huyo mtoto ana akili maana mtoto yoyote akililia kitu maana yake anakitaka. Yuko sahihi kabisa.
Mwenyewe nashangaa, std2 mbona bado mdogo tu. Watu wanajipa stress sana
 
Endeleeni kuwasikilizisha mamiziki yenu ya kina zuchu hayo. Mnapandikiza maujinga kwa watoto wenu. Mimi mkristo, mwanangu anaimba nyimbo kwenye kitabu cha nyimbo za kristo na tenzi za rohoni. Kila siku ana kariri mafungu ya biblia kabla hajalala. Karibu miaka mitatu sasa hatuangalii TV wala kusikiliza miredio ya Bongo, Nakushauri uibe njia hizi.

Asilimia 90 ya miziki ya sasa hivi inaharibu hawa watoto sababu wanaimba upuuzi na ushetani.
All the best.
Usijisifu wewe muombee Mungu akutunzie, kwani atasomea humo ndani hataenda Kwa wenzie? Muombe sana Mungu huyo anaweza kubadilika mpaka ukashangaa ikawa bora Kwa huyo mwingine
 
Sasa hilo ni tatizo la hao Mashoga, au hizo Taasisi za Media? Kwanini wanaweka vipindi vya kijinga jinga? Km ambavyo wee unadai?

Na kwanini wanawapa watu ajira iliyo nje ya taaluma au uwezo wao?

Mie cna hasira, nilijibu kulingana na comment yako.

Kiukweli nakubaliana na wewe shida ni hizi media zetu, ambazo sidhani kama wanajali taaluma. Wao wanaangalia tu ukiwa na followers Instgram unapata kazi. Sasa nadhani labda mambo hayo ya umbea umbea na ujinga ndio wameona yanawafaa hao jamaa. Lakini ona mfano tu mdogo Richard Quest, Anderson Cooper mbona wako sawa tu.
 
Mwenyewe nashangaa, std2 mbona bado mdogo tu. Watu wanajipa stress sana

Yaan watz sijui tukoje tupo kimuhemko sana wala hatuzingatii la msingi linalojadiliwa ktk mada

katika comments 27 nilizosoma ni wewe na RRONDO ndio mmetoa mawazo sahihi

ni hivi mtoto wa darasa la pili bado mdogo kujua methali, vitendawili au nahau
mtoto wa darasa la pili labda umulize kuhesabu, kusoma na kuandika

kumbuka darasa la kwanza mtoto anajifuza zile kkk 3 na wa darasa la pili anaongezewa elimu kiasi lkn sio mbali na hapo

hizo fasihi, aulizwe mtoto wa darasa la tano au la 6

ushauri tu, wazazi waelewe majukumu yao ktk kuboresha uelewa wa watoto wao, kama kukagua madaftari, kulipia masomo ya ziada, vitabu na mahitaji mengne ya elimu pamoja na lishe bora maana watoto wengi wamedumaa
 
Unasema maisha yake yatakuwaje, kwani wewe maisha Yako yapoje sasa baada ya kukariri methali 1500??
 
hapa sasa,
.. mtoto akililia wembe ..
joel - kinyonga
talk - hulia
nac - kulia
jen - mpe ajikate
vit - mpe ajikate atajua mwenyewe.

hiyo ni tuition ya Mamndenyi. ✍
 
Yaani sijui hawa watoto maisha yako huko mbele yatakuwaje isee sikuendeleea nikamwambia akamwambie mama yake njaa inaniuma ila nimebaki na stress kila nikimwakilia na jamaii hii ilivyo kazi ipo.
Kaiga/karithi akili zako.Wewe unajiona upo sawa kumutwe?🤣🤣🤣🤣
 
Methali nyingine zimepitwa na wakati.

Mtoto akililia wembe unatakiwa kumuelimisha wembe unaweza kumdhuru, si kumpa tu.

Mzazi ukimpa wembe mtoto anayelilia wembe utakuwa umeshindwa malezi.

Msiwarithishe watoto hizi methali za ujinga.
 
Kiukweli nakubaliana na wewe shida ni hizi media zetu, ambazo sidhani kama wanajali taaluma. Wao wanaangalia tu ukiwa na followers Instgram unapata kazi. Sasa nadhani labda mambo hayo ya umbea umbea na ujinga ndio wameona yanawafaa hao jamaa. Lakini ona mfano tu mdogo Richard Quest, Anderson Cooper mbona wako sawa tu.

Kwa kweli redio nyingi ukisiliza vipindi vyao kuanzia saa nne hadi saa 6 au saa 8 ni upuuzi tu wanajadili, vicheko visivyo na maana, makelele, umbea na hata habari zingine wanatoa hazina maadili na hazizngatii faragha za watu
hadi najiuliza kweli hawa wanawaza maendeleo au mambo ya uswahilini.
sijui lini tutaelimika ni heri wangekuwa wanapiga mziki tu wenye staha
 
Kuna namna moja au nyingine unatakiwa umpongeze dogo maana kama yupo darasa la pili afu anajua methali mpe big up kwa maana methali wanaanza kujifunza kuanzia darasa la tatu lakini pia wanasema mtoto akililia wembe kautaka maana ake mpe🤣🤣🤣🤣 mtoto kauta mtoto kauta mtoto kautaka.
 
Kwani mashoga wenye taaluma za Media, wasiendeshee vipindii?
Nyie mnaangalia anachokitoa mtu kutoka kichwani, au mnaangalia sexual orientation yake?

Ndo maana li nchi lenu maskini, na omba omba, kisa upuuzi uliowajaa nyie wananchi wake. Woooiiiiiii
Nina mashaka na wewe.
 
Kwa kweli redio nyingi ukisiliza vipindi vyao kuanzia saa nne hadi saa 6 au saa 8 ni upuuzi tu wanajadili, vicheko visivyo na maana, makelele, umbea na hata habari zingine wanatoa hazina maadili na hazizngatii faragha za watu
hadi najiuliza kweli hawa wanawaza maendeleo au mambo ya uswahilini.
sijui lini tutaelimika ni heri wangekuwa wanapiga mziki tu wenye staha
Sasa pata picha mama,dada na watoto wanatoka shule ndio vipindi wanasiliza hivi miaka nenda rudi, unategemea nini?
 
Yaani sijui hawa watoto maisha yako huko mbele yatakuwaje isee sikuendeleea nikamwambia akamwambie mama yake njaa inaniuma ila nimebaki na stress kila nikimwakilia na jamaii hii ilivyo kazi ipo.
Mkuu mfumo huo wa elimu hauna manufaa tena katika ulimwengu wa leo, kuna mabadiliko makubwa sana ya technolojia kiasi kwamba elimu ya kukariri mto mrefu zaidi Duniani ni upi imebaki kwetu sisi wahenga hivyo mweleweshe tuu polepole
 
Back
Top Bottom