Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Akimpondea chakula atakuwa anamlemaza zaidi maana jinsi umri unavyoenda anatakiwa aweze kula vyakula vya kawaida.Pole sana nishajua mwanao anasumbuliwa na nini, Ila chakula mpondee pondee atakimaliza chote usimpe hivyo hivyo