Mwanangu wa kiume miaka 4 lakini haongei ni kupiga makelele tu

Dawa zitapatikana as long as Watu bado wanafanya Studies nyingi ili kutuokoa kwenye hilo..
Inaitwa ASD (Autism spectrum disorder)
🤣🤣🤣🤣

Tumaini zuri kweli.

Ndio maana watu wepesi kiakili wanakimbilia kwa mwamposa, because the medical system is a CRAP.

Nyie madokta mnaishi kwenye boksi dogo sana.
 
Pole sana mkuu Mwenyezi Mungu akupe Wepesi Kwa mitihani huu, Naamini Mwanetu atakaa sawa Inshallah
 
Asante sana, sijawahi kukataa mimba Wala mtoto labda nifikirie dhambi zingine Niko tayari kutubu,sisi n binadamu tunawaza tofauti na mawazo ya Mungu
 
Usimkalishe kwanza mpaka miezi 5-6
Muda ukifika hua wanakaa wenyewe pamoja na kuanza kutambaa km yupo kwenye kitanda chake huanza hata kusimama mwenyewe mule mule ukifika muda wa kutembea huanza utundu wa kutaka kutoka utaona anaanza kupanda atoke kwenye kitanda kile usipokua makini atatoka ataanguka ataumia uangalizi unahitaji muda wote, kulea kulea kulea daah maisha haya
 
Hatoi udenda ,ila dalili zingine ni hizi
1. Hata baba Wala mama hawajui
2. Anachekacheka baadhi ya miezi
3. Hata ukimpungia mkono wa byebye kama watoto wengine hawez ku reply
4. Yuko busy muda wote hatulii sehem Moja
5. Jina lake halijui
 
Yaan shida ni kama ana tatzo la ubongo,hafundishiki kitu.
 
Hospital na kwa waganga kashaenda sana! Mungu atamsaidia
 
Hatoi udenda ,ila dalili zingine ni hizi
1. Hata baba Wala mama hawajui
2. Anachekacheka baadhi ya miezi
3. Hata ukimpungia mkono wa byebye kama watoto wengine hawez ku reply
4. Yuko busy muda wote hatulii sehem Moja
5. Jina lake halijui
Autism hiyo. Maombi na uwe na imani kweli kweli
 
Nahitaji msaada mtoto aongee
Keshaanza shule,ndio mtoto WA kwanza pekee hapo home.
Watoto uwahi kuongea wakiwa na wenzao mpeleke shule,wangu aliongea akiwa shule na miaka mitano sababu alikuwa pekee home hakuna watoto wengine
 
Naamini lkn pia Kuna nywele kichwani zlinyolewa isivyokawaida na huwa hazioti hiyo sehemu. Nisaidie namba ya huyo Dr pia,asante
Hapo ni ishu za kiimani inategemea mambo za Imani huwa unaegemea upande upi ndio msaada kwako.
 
Tafuta waonaji wenye uwezo wa kuona ya sirini watakiambia kama ana tatizo au ni utoto TU.
Wengine uchelewa kuongea tegemea na mazingira.
Mfano watoto wa uswahilini uwahi sana kuongea na kuwa wajanja mapema kuliko watoto wa geti Kali sababu ya zile vurugu za uswazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…