Kiyumbi Yuga
Member
- Dec 13, 2017
- 92
- 165
- Thread starter
- #81
Ulipata msaada lakinPole sana mkuu, si tulivuka huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulipata msaada lakinPole sana mkuu, si tulivuka huko
Ni nguo ya ndani. Na ndio maana huivai kichwani, au huivai ikaonekana ukiwa barabarani as uvaapo T shirtDepal kwani chupi ina siri gani mpaka ifichwefichwe?
Soma comments umalize. Nilimalizana na kyup.. nikarudi kwenye ugonjwa kusema nikijuacho.Unaanzaje kuweka emoji ya kucheka kwenye habar kama hii? Ina maana ww umeona chupi ya mwanamke tu kuliko ujumbe uliopo
Mitaani tuna watoto wengi wenye shida hii ambao kama wazazi wao wangekutana na watu sahihi kwa wakati sahihi leo wasingekuwa walivyo ila kwa sababu watu tumekuwa tukipeana shauri kama hizi za kufurahishana wanazidi kuengezeka.Pole sana kwa mitihani unayopitia. kujaribu tu, kuna maalim yupo Mkulanga kwa mwarabu (kituo kwa Mwarabu) wanamwita Malamba. Kabla kwenda na mtoto nenda mwenyewe Kwanza ukajue siku hizi utaratibu wake ukoje. huduma zake ni bure kabisa labda siku hizi iwe tofauti
Inamuumiza sana..sasa km wengine mtoto akiwa anaumwa hata raha unakosa sasa mshikaji atakua na wakati mgum sana Mungu amtue nguvu na amponye mwanae.I feel you bro,I feel you!
Hii situation omba mtu usiipitie ukiwa kama mzazi,changamoto sana.
Amekwambia kashampeleka kwa Mwamposa kamnywesha na kummwagia maji na mafuta sana Ila wapi Ngoma ngumu mpaka kanyoosha mikono juu Mwamposa kashindwa sasa unataka kusemaje apuyange kila sehemu za wachungaji manabii na mitume kupigwa Hela za maji na mafuta?
Alilia ila mama yake alipatwa uchungu muda mrefu sanaWakati anazaliwa alilia au hakulia?
Mmh. Uko serious kweli Mkuu?Asante,Niko TAYARI kufanya lolote mwanangu aongee Jana nmetoka Kwa mganga nikamwambia hata akitaka mkono wangu Nampa ili tu mwanangu aongee hata akitaka nilete chochote including uhai wangu Niko tyr
Kuna mtu kasema ubongo wake una kuwa taratibu, so wewe ukisema hawezi ni kwamba anaweza ukilinganisha na kuelewa wako.Haongei hata umuongeleshe ataishia kukuangalia km kitu TU yaan km wewe unavyoiangalia smartphone hapo ukiiongelesha inaongea?
Yaani nakwambia Jana nmetoka Kwa mganga nikamwambia Niko hata akitaka mkono wangu Nampa hapohapo,hata akitaka kichwa au damu ya mtu namletea maana nmechanganyikiwa. Mtoto anacheka mwenyewe na ana nguvu kuliko kawaida. Hili la KUCHEKACHEKA mwenyewe ndio linanifanya mwanaume nalia bila kupigwa. Nashukuru wanaonifuata DM na wasapuDuuh mpaka kwa wagangaa ushampelekaaa..pole sana mambo ya watoto magumu sanaa.
Habari za majukumu ndugu zangu,Nina mtoto wa kiume miaka 4 Sasa lakini haongei ni kupiga makelele tu ana dalili hizi hapa chini
1. Ukimuita jina lake hageuki
2. Anapiga makelele tu
3.kuna wakati Anakuwa anaziba masikio
4. Anatamka sauti zinazojirudiarudia lkn hazieleweki
5. Anapenda kuning'iniza vitu mfano chaja za simu,waya,funguo,ama kitu chochote akishika yeye n kuning'iniza anaweza kutoka chumban na nguo ya ndani ya mamake akaja nayo sebuleni ananing'iniza ( anapenda sana hicho kitu)
6. Mikono yake kama imelegea hata kuanza kula mwenyewe alichelewa na saiv anakula mwenyewe Ila anasambaza chakula ukimpa wali maharage atakula 10% asilimia 90 utakuwa kasambaza chini
7. Anapigapiga kidevu chake
8. Anapenda vitu vyake tu ,
9. Hapendi kucheza na watoto wenzake anajitenga nao hata wakiwa 200 yeye atakaa pekeake anafanya vitu vyake
10. Ukimtuma kitu hawez kuleta maana hakuna kitu anaelewa
11. Kuna nywele zilinyolewa akiwa mchanga Hadi hazijaota. Sehem zingine znaota lakini hiyo sehem hazioto
Nilishampeleka Kwa waganga wanasema mizimu,kurogwa, hospital Wanasema usonji(Autism),maji ya mwamposa alishatumia ,Niko naendelea kutafuta tiba naomba mnisaidie Niko TAYARI kutoa MILION 5 CASH Kwa atakayenisaidia mtoto huyu kuongea. Naumia Kwa sababu ni mwanaume siwezi kuweka emoji za kulia. Naumia sana. Namba zangu ni 0689590080.
Asante sana Kwa ushauri ndugu yangu Mungu akubariki, nmechanganyikiwaKuna mtu kasema ubongo wake una kuwa taratibu, so wewe ukisema hawezi ni kwamba anaweza ukilinganisha na kuelewa wako.
Ukiwa unaongea naye mtazamane usoni na uongee NENO Hilo Hilo kwa same posi. Na Hilo NENO tamka taratibu, mfano unaweza ukasema NENO mma akiwa anakunywa maji. Kila unapompa maji unatamka mma. Liajengaka slow slow kwa brain.
Fanya mfano wa wewe kusikia na kuongea kingereza. Zile changamoto unazopitia Nia na matokea ya kile unachoongea vinakuwa tofauti.
Amini tu ataongea. Usimkatie tamaa. Na usimtangulie hela kwa watu unapotaka msaada. Mwamini Mungu kweli kweli
Asante sanaAcha kumshirikisha Mwenyezi Mungu.
Mpeleke kwa Sheikh akamsomewe, kwa uwezo wake Allah atakua sawa, na achana na hao waganga mara sijui kina mwamposa utapoteza pesa
Kila mtoto na ukuaji wakeMtoto inabidi aanze kukaa na kusimama akiwa na miezi mingapi maana wangu ana miezi mitatu ila hapendi kulala lala ana taka kusimama simama