Sdhan kama ni usonji, umeambiwa anapenda kupiga piga kidevu rejea watu wenye mental retardation utaona tabia zaoHiyo ni Autistic Spectrum Disorder (ASD)
Ndio maana zinaitwa "Autistic Spectrum Disorders".Sdhan kama ni usonji, umeambiwa anapenda kupiga piga kidevu rejea watu wenye mental retardation utaona tabia zao
Mercury Ni sumu Hakuna Chanjo iliyo na mercury Bichwa!Zile Mercury kwenye chanjo ni hatarishi sana. Zinavuruga gastrointestinal system na mfumo mzima wa fahamu.
Hata immune system lazima ivurugike na kufubaa.
Watakwambia umuone PEDIATRICIAN ili mtoto akadungwe machanjo mengine tena.
Cc DR Mambo Jambo
With All Due Respect Mkuu, samahani kwa Maswali haya nitakayokuuliza!Anadalili za ububu
Ana dalili za polio
Ana dalili za mental retardation
Ana dalili za teratogenic conditions (fatilia kipindi cha mimba mama yake alikuwa anapenda kutumia vilevi au vyakula gan)
Wakat anazaliwa alilia? Na kama alilia alitumia muda gan Toka azaliwe mpka kulia?
Muanzishie doz ya mayai, vichwa vya samak wabichi, maziwa mabichi, mboga za majani, karanga na maharage. Yani kifupi apate protein ya kutosha
Ni kweli siku hizi watoto wengi wanasumbuliwa na usonji (Autism) inasemekana ni kutokana na chanjo wanazopigwa ambazo wanatumia thimerosal (Mercury), lakini hakuna tamko rasmi kutokana na hilo. Ni vigumu sana kumlea mtoto mwenye tatizo la Usonji. Hivyo ikiwezekana wazazi ambao watoto zao wameathirika na matatizo haya waishinikize serikali ili ifanye uchunguzi wa kina ili watu waweze kuwa na imani ya kupewa chanjo watoto zao. Kwani kuna nchi wamepiga marufuku chanjo zote za watoto zilizokuwa na Thimerosal, Kuna artice ambayo tuliipitia kuhusu Mercury, Vaccines, and Autism.Zile Mercury kwenye chanjo ni hatarishi sana. Zinavuruga gastrointestinal system na mfumo mzima wa fahamu.
Hata immune system lazima ivurugike na kufubaa.
Watakwambia umuone PEDIATRICIAN ili mtoto akadungwe machanjo mengine tena.
Asante sana kwa kushindilia msumari.Ni kweli siku hizi watoto wengi wanasumbuliwa na usonji (Autism) inasemekana ni kutokana na chanjo wanazopigwa ambazo wanatumia thimerosal (Mercury), lakini hakuna tamko rasmi kutokana na hilo. Ni vigumu sana kumlea mtoto mwenye tatizo la Usonji. Hivyo ikiwezekana wazazi ambao watoto zao wameathirika na matatizo haya waishinikize serikali ili ifanye uchunguzi wa kina ili watu waweze kuwa na imani ya kupewa chanjo watoto zao. Kwani kuna nchi wamepiga marufuku chanjo zote za watoto zilizokuwa na Thimerosal, Kuna artice ambayo tuliipitia kuhusu Mercury, Vaccines, and Autism.
Na kuna makala nyingine kutoka kwenye website ya DownToEarth itakuwa vizuri kama itasomwa na kujua nini kinachoendelea.
Heavy metal
Vaccines with mercury can cause autism, but removing the metal is uneconomical for developing countries such as...www.downtoearth.org.in
Measles vaccineMercury Ni sumu Hakuna Chanjo iliyo na mercury Bichwa!
Unaweza kunitajia Moja?
Mpeleke kanisani akaombeweHabari za majukumu ndugu zangu,Nina mtoto wa kiume miaka 4 Sasa lakini haongei ni kupiga makelele tu ana dalili hizi hapa chini
1. Ukimuita jina lake hageuki
2. Anapiga makelele tu
3.kuna wakati Anakuwa anaziba masikio
4. Anatamka sauti zinazojirudiarudia lkn hazieleweki
5. Anapenda kuning'iniza vitu mfano chaja za simu,waya,funguo,ama kitu chochote akishika yeye n kuning'iniza anaweza kutoka chumban na nguo ya ndani ya mamake akaja nayo sebuleni ananing'iniza ( anapenda sana hicho kitu)
6. Mikono yake kama imelegea hata kuanza kula mwenyewe alichelewa na saiv anakula mwenyewe Ila anasambaza chakula ukimpa wali maharage atakula 10% asilimia 90 utakuwa kasambaza chini
7. Anapigapiga kidevu chake
8. Anapenda vitu vyake tu ,
9. Hapendi kucheza na watoto wenzake anajitenga nao hata wakiwa 200 yeye atakaa pekeake anafanya vitu vyake
10. Ukimtuma kitu hawez kuleta maana hakuna kitu anaelewa
11. Kuna nywele zilinyolewa akiwa mchanga Hadi hazijaota. Sehem zingine znaota lakini hiyo sehem hazioto
Nilishampeleka Kwa waganga wanasema mizimu,kurogwa, hospital Wanasema usonji(Autism),maji ya mwamposa alishatumia ,Niko naendelea kutafuta tiba naomba mnisaidie Niko TAYARI kutoa MILION 5 CASH Kwa atakayenisaidia mtoto huyu kuongea. Naumia Kwa sababu ni mwanaume siwezi kuweka emoji za kulia. Naumia sana. Namba zangu ni 0689590080.
ThibitishaMeasles vaccine
Asante sanaMwanao ana Usonji....! Utapoteza pesa kwa Waganga wa Kienyeji....!
Nina jirani yangu kahamia Mtaani hivi karibuni, ana Mtoto wa Kiume wa miaka 4 pia...! Mwanzoni nikasema Baba ake anamdekeza sana Mtoto...!
- Mtoto analia bila sababu.
- Ukimkataza kufanya Jambo hasikilizi.
- Hawezi kuongea, japo anaongea Maneno machache lakini sio kwa Usahihi.
- Hana marafiki.
- Ameanza Kusoma Vidudu, walimu wanasema japo Mtoto haongei ila Ana akili Shupeni, na pale Mwalimu anapofundisha, anakua wa Kwanza kumuelewa Mwalimu kuliko Watoto wengine Timamu.
Kuna siku naongea na Baba wa Mtoto ananambia Mwanae na Usonji, naujua Ugonjwa wa Usonji, na huwa una Daraja tofauti, kuna Watoto wanaonhea japo taratibu, na wengine wanakua hawawezi kuongea...!
Nilimshauri ampeleke Mtoto Hospital, akasema alishanya hivyo, kwa sasa hakuna Vidonge ama Madawa ambayo Mtoto atapewa Hospital ili aanze kuongea, ila kuna Wataalamu Wachache wana Clinic za Watoto wenye Usonji kuwasaidia kuongea na kuwaweka sawa...! Na gharama ni kubwa wana charge mpaka 400,000 kila mwezi.
Huyu Mzazi hawezi kumudu, anachofanya ni kusoma Mtandaoni mbinu mbalimbali za kumsaidia mtoto then anamfanyia Mwanae.
Mfano moja ya mbinu, anakaa na Mtoto kwa saa kama moja, hafu ana cheza Nyimbo za Bongo fleva kwenye simu yake, huku akijifanya kama Nyimbo imemkolea, akiweka na Vibe, na mwanae nae akawa anamfatisha Baba ake kwa kutikisa kichwa, ana play nyimbo zile zile kwa saa nzima, ni baada ya siku 3 tu, mtoto kuna nyimbo akawa amezipenda, hawezi kuongea lakini unaona anavyohangaika kuimba kama Bubu.... Leo ni mwezi wa pili namsikia akiimba nyimbo lakini kaanza kutamka maneno machache kwenye Nyimbo anazopenda...!
Tiba ya Usonji ni Vitendo zaidi, tumia Google, tafuta group za Whatsapp za Wazazi wenye Watoto wenye Usonji.....!
Baada ya mwaka tu, mwanao hatabaki alivyo leo.
Soma viambata vyake.Thibitisha
Nipe email nikutafute.Asante sana
Mnawaaharibu watoto kwa MACHANJO halafu mnaleta MAIGIZO ya USONJI.Mwanao ana Usonji....! Utapoteza pesa kwa Waganga wa Kienyeji....!
Nina jirani yangu kahamia Mtaani hivi karibuni, ana Mtoto wa Kiume wa miaka 4 pia...! Mwanzoni nikasema Baba ake anamdekeza sana Mtoto...!
- Mtoto analia bila sababu.
- Ukimkataza kufanya Jambo hasikilizi.
- Hawezi kuongea, japo anaongea Maneno machache lakini sio kwa Usahihi.
- Hana marafiki.
- Ameanza Kusoma Vidudu, walimu wanasema japo Mtoto haongei ila Ana akili Shupeni, na pale Mwalimu anapofundisha, anakua wa Kwanza kumuelewa Mwalimu kuliko Watoto wengine Timamu.
Kuna siku naongea na Baba wa Mtoto ananambia Mwanae na Usonji, naujua Ugonjwa wa Usonji, na huwa una Daraja tofauti, kuna Watoto wanaonhea japo taratibu, na wengine wanakua hawawezi kuongea...!
Nilimshauri ampeleke Mtoto Hospital, akasema alishanya hivyo, kwa sasa hakuna Vidonge ama Madawa ambayo Mtoto atapewa Hospital ili aanze kuongea, ila kuna Wataalamu Wachache wana Clinic za Watoto wenye Usonji kuwasaidia kuongea na kuwaweka sawa...! Na gharama ni kubwa wana charge mpaka 400,000 kila mwezi.
Huyu Mzazi hawezi kumudu, anachofanya ni kusoma Mtandaoni mbinu mbalimbali za kumsaidia mtoto then anamfanyia Mwanae.
Mfano moja ya mbinu, anakaa na Mtoto kwa saa kama moja, hafu ana cheza Nyimbo za Bongo fleva kwenye simu yake, huku akijifanya kama Nyimbo imemkolea, akiweka na Vibe, na mwanae nae akawa anamfatisha Baba ake kwa kutikisa kichwa, ana play nyimbo zile zile kwa saa nzima, ni baada ya siku 3 tu, mtoto kuna nyimbo akawa amezipenda, hawezi kuongea lakini unaona anavyohangaika kuimba kama Bubu.... Leo ni mwezi wa pili namsikia akiimba nyimbo lakini kaanza kutamka maneno machache kwenye Nyimbo anazopenda...!
Tiba ya Usonji ni Vitendo zaidi, tumia Google, tafuta group za Whatsapp za Wazazi wenye Watoto wenye Usonji.....!
Baada ya mwaka tu, mwanao hatabaki alivyo leo.