Mwanangu wa miaka 9 amekutwa na Virusi vya UKIMWI, sijui amevitoa wapi?

Mwanangu wa miaka 9 amekutwa na Virusi vya UKIMWI, sijui amevitoa wapi?

Omba yasikukute kama haya, mkuu nakuonea huruma sana maana mtoto kiukweli anauma aisee pole sana.
 
Mtoto kapimwa hajawahi kuingiliwa kimwili... bado fumbo,
KAUPATA WAPI???
naam ndio maana nika mwambia aende kule "" kuna mkuu anaitwa deception alishawahi kusema kuwa HIV+ ni fake "" so akienda kule na kukutana na hoja zake atajuwa wapi pakuanzia....lakini bado nimeona kuna michango ya members wengi tu Humu ambayo inamashiko "" kuna ambao wamemwambia akapime DNA huwenda walibadilishiwa mtoto wakat alivyozaliwa" kuna ambao waliosema huwenda mtoto alitumia vifaa vilivyotumiwa na mtu aliyeathirika"" kama nyembe .sindano .neel cuter etc ambavyo vimepelekea kumsababishia maambukizi"" so huwenda hizi sababu tajwa zikawa na tija zaidi na kufumbua fumbo linalotukabili
 
Naandika huku natetemeka kwa huzuni na uchungu
naelewa jinsi mlivyo sasa hivi poleni sana wazazi, pole kwa baby darling, she is too young to suffer like that,
She needs you guys more than ever plz msimnyanyape wala ndugu zake wasimbague.

Ooh poor innocent soul, wish ningekua hapo nikampa tight hug.

Guess what big bro, the kid will be fine and healthy kama tu mkimuanzishia dozi ya majani ya mlonge na mbegu zake, Mlonge unapandisha cd4 haraka sana na hata kuponesha HIV kikubwa msiuache katika kila diet yake.

Nina ushuhuda wa Mlonge anza sasa utakuja kunambia.

Tengeneza unga wa lishe, utafanya asubuhi unampa kijiko cha chai cha unga wa majani ya mlonge changanya kwenye uji mpe anywe, jioni mpe unga wa mbegu za mlonge kijiko cha chai changanya kwa uji mpe anywe.

Utaleta mrejesho.
 
Imenitouch sana hii asee! Hadi amefikia hatua ya kuharisha na kutapika viral load itakuwa heavy sana na stage yake itakuwa sio ya kuridhisha.

Muwaishe akapate medication mapema, but habari nzuri zipo kwamba kuna uwezekano mkubwa HIV ndani ya miaka 10 ikapatiwa cure kwani research za Dawa ya kutibu kabisa zimefikia karibu sana kugundua Dawa ya HIV akiwemo Dr Khalil mmarekani huyu amefanikiwa kutibu panya na sokwe kibao kwa tiba yake ya cell editing waliowapandikiza HIV na wote wàlipona kabisa.

Israeli wana Dawa yao inaitwa Gamorah iko katika hatua ya mwisho kabisa kukamilika.

USA tu ndio wanachelewesha maana HIV kwao ni fimbo ya kuchapia mataifa ya ulimwengu wa tatu kwa misaada via USAID.. Sasa ikipatikana tiba tutakuwa na kiburi so he is controlling us kwa kupitia HIV maana soon Dawa ikigunduliwa atapoteza ushawishi wake Duniani.

But its around the corner maana anataifa kibao yanavumbua Dawa na kupata nguvu.

Relax! We will survive!

Usife moyo mkuu..mwanao probably akapona kabisa kama atasurvive for the next 10 years to come which is possible akipata medication early.

Don't lose hope.

Though, I'm so sorry to hear this? Sometimes the world is cruel and heartless.
You are a real humble African mkuu...[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Mungu awatie nguv katika kipindi hiki kigum cha mpito[emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
naam ndio maana nika mwambia aende kule "" kuna mkuu anaitwa deception alishawahi kusema kuwa HIV+ ni fake "" so akienda kule na kukutana na hoja zake atajuwa wapi pakuanzia....lakini bado nimeona kuna michango ya members wengi tu Humu ambayo inamashiko "" kuna ambao wamemwambia akapime DNA huwenda walibadilishiwa mtoto wakat alivyozaliwa" kuna ambao waliosema huwenda mtoto alitumia vifaa vilivyotumiwa na mtu aliyeathirika"" kama nyembe .sindano .neel cuter etc ambavyo vimepelekea kumsababishia maambukizi"" so huwenda hizi sababu tajwa zikawa na tija zaidi na kufumbua fumbo linalotukabili
Najua mtu kinga yako ya mwili ikishuka lazima magonjwa yakupate, kula healthy food tuone kama kutakua na kitu kama hicho.
So kwa asilimia kadhaa nakubaliana na Deception.

Suala la DNA siliafiki sababu watazidi kumuweka mtoto pabaya, what if majibu yakawa kweli sio wao je familia itaweza kua nae au ndio watampeleka kituo cha mayatima.

Hoja ya kuipata masaloon au kujichoma na vitu vya ncha kali katika michezo nakubaliana nalo.
 
katika kucheza na wenzake na kuumiana vitafunwa mbalimbali ndo kinaweza kuwa chanzo
 
poleni sana.

Possible kaupata kwa zile njia nyingine kama kutobolewa na kitu chenye ncha kilichotoka kwa mwenye maambukizi, saluni, Hospitalini n.k.

Hizo njia zina percent ndogo sana lakini haimaanishi mtu hapati maambukizi, wengi tume stick kwenye njia kuu ya maambukizi kwa njia ya ngono.
 
Hapo majibu ni mawili tu.
Maana ashasema.mtoto hajaingiliwa naona watu hawasomi habari yote wanaanza kukoment.
1.Moja ni kuwa MTOTO sio wako ulibadilishiwa hospital
2.walishare kitu chenye ncha huko shuleni na watoto wenzake.
MAANA SIONI SABABU NJE YA HIZO MBILI.
 
Najua mtu kinga yako ya mwili ikishuka lazima magonjwa yakupate, kula healthy food tuone kama kutakua na kitu kama hicho.
So kwa asilimia kadhaa nakubaliana na Deception.

Suala la DNA siliafiki sababu watazidi kumuweka mtoto pabaya, what if majibu yakawa kweli sio wao je familia itaweza kua nae au ndio watampeleka kituo cha mayatima.

Hoja ya kuipata masaloon au kujichoma na vitu vya ncha kali katika michezo nakubaliana nalo.
okay "" nimekuelewa ktika hizo hoja zote ulizoziwakilisha hapa "" dhidi ya huu mkasa uliopo mbele Yetu " kwakweli nimejikuta na muelewa zaidi deception "" na ningekuwa mimi ndiye mtoa mada "" ningejitahidi kumtafuta haraka ili aangalie namna yakuweza kulitatua hilo fumbo ""
 
Kuna kama hio ilitokea katika shule moja (jina kwenye mabano) ni case ya kweli na mimi nipo karibu na shule hio ya msingi ilitokea kisa kama hicho baada ya wazazi kushindwa kuelewa ameupataje huyo mtoto na ni bikra, mzazi alianza kumuuliza kwa umakini mtoto wake akamuuliza swali lingine je hamchanjani na viwembe shuleni? Binti akajibu Kuna rafiki yetu anasemaga ambaye yupo tayari nimchanje tubadilishane damu nampa kitoli (viazi mviringo vilivyowekwa rangi ya njano sisi huku tunaita binzali) baba mzazi akaenda shuleni akaonana na walimu akawaelezea case akaitwa mtuhumiwa wakamwita na mzazi wake, mzazi wake akasema ukweli kua kijana wao alizaliwa na vvu, aisee ilitia simanzi mtoto alipoulizwa kwann anafanya hivyo akasema tuumwe wote. Jamani tuwape tafadhari watoto wetu na ikiwezekana hao watoto watangazwe wazi kua wanamaambukizi ili wenzio wanzao wawe na tafadhari
 
Nililazwa na binti yangu wa kwanza kwa takribani siku 6 baada kuugua homa (akiharisha na kutapika ) lakini tukaruhusiwa juzi baada ya afya yake kutengemaa(japo amethoofika).

Majibu ya ugonjwa aliokuwa anaumwa yametoka kuwa ni HIV +, tulipatwa na mstuko kwa majibu hayo ilibidi mimi na mke wangu tupime lakini majibu yametoka hatuna maambukizi.

Hatukutosheka na majibu hayo tulienda Consolota na The dream kupima tena wote watatu lakini majibu yale yale sisi wazima ila mtoto ndio Positive.

Tulikaa kujiuliza kavitoa wapi? Ilibidi nisombe nyumba nzima maana nipo mimi, mke wangu, wanangu watatu, msichana wa kazi na bibi yangu nikawapeleka kupima lakini majibu ni yale yale.

Ikabidi tukampime kama aliwahi kubakwa ila alituficha lakini vipimo havioneshi hivyo.

Mpaka dakika hii tunajiuliza amevitoa wapi?

Niko na huzuni sana ndugu zangu.
Kaa na binti yako muulize taratibu bila hasira atakuambia ukweli hawezi pata hiv kirahis hivo kuna kitu kafanyiwa au ka share vifaa
 
Duuu pole sana
1.Shuleni
2.Kama kulikuwa na housegirl before
3.Wageni
4.Majirani
5.Watoto ktk michezo
6.Mazingira yanayo mzunguka.. Labda kakutana na kitu cha ncha Kali.
 
Utata unaonisumbua ni siku tutakayo mwambia ila mpaka sasa yeye hatujamwambia.

Huu ni mtihani huko mbeleni mkuu.
pole sana mkuu, wakati mwingine maisha yanakatisha tamaa.

Mi nna mtoto wa anko wangu kazaliwa nao mpaka leo ni mwaka wa 23 yuko vzr afya njema.

nahisi kaupata kwenye vifaa vya ncha kali na michezo ya mashuleni huko
 
Back
Top Bottom