Mwanasaikolojia: Wanaume wanaopenda kwenda Gym ndiyo Wanaongoza kusalitiwa na Kupungukiwa nguvu za Kiume

Ukishakuwa unadrive vieite yako mwenyewe, au hammer uko smart. Unashuka kwenye gari yako uko siriaz, hakuna mazoea ya ovyo na mademu, Unaingia kwenye Ghorofa yako.

Mbona watakugombania wenyewe, hakuna cha gym wala cha nini. Wengine watajileta wenyewe tuu. Utaskia shkamoo boss.
 
Utanusurika vipi na wazee wa mkongo kwenye kumegewa kimasihara....
 
Nguvu za kiume ni za kutunzwa sana, kimoja tu kinatosha mpaka baadae sana na siyo kupiga mabao mengi mfululizo. Ni aibu kubwa sana kushindwa kupanda mtungi kwa mkeo, aibu zaidi kwa demu mpitaji tu anaweza asifiche siri na udhaifu kwa wanawake wenzio ukaibika zaidi. Kula milo bora na kutokufanya mazoezi ya mwili yanayoathiri nguvu za kiume. Ni aibu jibaba la miraba minne lina six pack kifuani halafu halina nguvu za kiume
 
Anayehitaji mkongo anicheki inbox.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…